Huyo atakuwa ajajenga nyumba. Amerithi nyumba ushindwe kulipa Tshs15,000 au Tshs 45,000 kwa mwaka. Na akiuza anarudi katika Umasikini wa kufa mtuuuNimefurahi kufahamu....kwa sababu kuna mtu namfahamu anaplan ya kuuza nyumba kwa sababu ya taarifa za uongo kuhusu hii issue ya kodi
Bado ni nyumba ya makazi unless kama unaifanyia biashara kama zile za Masaki wanazolipa kwa dola' wanachoangalia mkuu kwa kuwa kinachoangaliwa ni matumizi ya jengo, yaani ni kiwango kidogo kama kuchangia serikaliNdugu what if unaghorofa,hakuna ongezeko lolote la kodi (meaning ni nyumba ya kuishi lakini ni ghorofa)...naomba ufafanuzi
Sikiliza hiyo mkuu hapo chiniNdugu what if unaghorofa,hakuna ongezeko lolote la kodi (meaning ni nyumba ya kuishi lakini ni ghorofa)...naomba ufafanuzi
hiyo uliyotoa ndio fomula ya kodi ya jengo ila kwa ubabe ama kwa kuwaona watu wajinga TRA na halmashauri za majiji wamekuwa wakijikadiria bila kufata taratibu zinazotakiwaKodi ya nyumba uwa ni 0.15% ya thamani ya nyumba na ndio maana nyumba nyingi za zamani unakuta wanalipa Tshs15,000.
Wanachukulia thamani ya mwisho ya nyumba kwa apa mjini ni Tshs 10,000,000.
Mfano mzuri
Thamani ya nyumba ni
Tshs 10,000,000*0.15%= Tshs15,000.
Kodi ya jengo ni 0.1% ya thamani ya jengo.........Hapana haiwezi kuwa hivyo, haiwezi kuzidi 0.3% ya thamani ya jengo. Maeneo mengi inatozwa kati ya 0.005% hadi 0.1% ya thamani ya jengo.