Sura yako je nayo haijulikani? Teh teh teh unamfahamu huyu mzee?Nipo wapi?
Hahahaaaa eti nanuka hahahhaaa.
Daaaaah hahahahaaa.
Umenichekesha saaaaaaana aisee.
Eti natumia pafyumu nyuma ya keyboard teh teh teh
Ila nyie watu ni majuhaa kweli.
Yaani mpaka sasa hamjajua mimi ni nani, niko wapi, nafanya nini.....
Ukisikia akili kubwa ndo hii sasa!
Mmebaki kuponda tu....mara sijui masikio....mara kichwa....mara nanuka.
Ukiona hivyo basi ujue hamjui lolote.
Mimi nanuka? Ahahahahahahahaaaaaaaaaaaa
Nyie ni wa kuwahurumia tu.
Nimekuuliza unamfahamu? Sijakwambia ni nani!!!Hakika sasa umechanganyikiwa kabisa!
So huyo ndo mzee Magembe?
Hahahaaaaaa daaaah!
Nimekuuliza unamfahamu? Sijakwambia ni nani!!!
Kijana JF imekuumbua sana!! Uzinzi umekuponza!! Teh teh teh
Sura vipi mbona huikani? Mzee wa Triple 7 teh teh teh
Tumeshakujuaaa sura yako mbayaaa unanuka kama fungo!!Nimeumbuka nini wakati hakuna anijuaye?
Naitwa nani vile....?
Hahahahahaaa.
Halafu nanuka kama nini?
Hahahahaaa mtahangaika sana na kamwe hamtonijua.
Akili kubwa hii.
Tumeshakujuaaa sura yako mbayaaa unanuka kama fungo!!
Kichwa chako kama boga muda wote unavaa kapelo na hauna masikio 😀
Wadada wanakusema una kilemutuzHujui chochote ndo maana umebaki unapayuka kama mtoto.
Mara sina masikio....mara nanuka....sijui kichwa kama boga....mara unazungumzia uume wangu!!
Seriously dude? Hahahahahaaa
You don’t know shit about me.
Wadada wanakusema una kilemutuz
Sura yako mbovu na bichwa kama boga
Aisee hadi nyumba yenu nimeijua kumbe tulikua majirani tu!!! Teh teh teh mtoto wa profeseri
Da vinci naomba ubuyuNakushauri tu usome kimya kimya Jf ni zaidi ya uijuavyo utaumbuliwa humu uichukie Jf.
Vita vya tembo nyasi ndo huumia
Inahusu akili kubwaz tu
Da vinci naomba ubuyu
Haahahaha sawa bwana davinciOk. Kama umedhamilia kweli nitupie no yako ya wasap. Nikumwagie ubuyu wotee uliosheheni na Mapichapicha..
Na Alert special ajili yako.
NB. Kama utaona nataka no yalo tu, au hutaki kujulikana waweza potezea tu maana sina shida hio
Wewe wajua... teh teh we mwehu kweli kweli!! Then umechanganyikiwa!! Unauliza kwenu au kiwanja chako? Ahahahahah sifa na majivuno nyuma ya keyboard kumbe bichwa limegawanyika kama tuta la viazi.... afu huna masikio umeyapeleka wapiii.....Hahahaaaa! Tulikuwa majirani wapi tena?
Enheee so nyumba yetu iko wapi? Mwananyamala au Triple 777?
Ok sawaHaahahaha sawa bwana davinci
HahahahMbonaa kashatoaaa pichaaa jamani au ni yeye kweli?????
Hahaa naona julius katupa kitaulo kakimbia pambanoOk sawa
Boya huyo mchumb tu..Hahaa naona julius katupa kitaulo kakimbia pambano