Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 35,812
- 107,628
Kweli asee ngoja niende insta nikamchungulie vzrHahahaha we si unamuona hapo kwa avatar?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli asee ngoja niende insta nikamchungulie vzrHahahaha we si unamuona hapo kwa avatar?
Halafu ana bichwa baya kama boga la kiangazi muda wote anavaa kofiaKweli asee ngoja niende insta nikamchungulie vzr
Sawa kakaNaaah
Bado kabisa hapajakucha.
Pangekuwa pamekucha wangeshalijua jina langu la ukweli.
Sasa hivi bado wapo usingizini na wanaota tu.
Siitwi Julius Magembe mimi hahahahahaaaaaa.
Lusungo hebu nielekeze manake nimepitwaa hata sielewi pa kuanziaaa mkuu imekuwaje tena??Halafu ana bichwa baya kama boga la kiangazi muda wote anavaa kofia
I appreciate Fisadi kuu
Alitumia bonge la akili kumuumbua mzee baba, Daah very geniuz FK
Chupi za humu sio dili asee
Kweli asee ngoja niende insta nikamchungulie vzr
Wewe umejiita hivyo sisi lazima tuheshimu unavyojiita wewe vinginevyo kila mtu atakupa jina analotaka yeye nawe utakasirika.
Ulikusudia kutumia ID hii au ile ingine ya kubebea box????
Uzuri kwenye saga la Ontario nili mu alert mapema kua utaumbuliwa. Akaniona fara ngoja video ziwekwe maana aligusa pabaya.
Mke wa Mwandishi wa Jf sasa yanamtokea makalioni
Uzuri kwenye saga la Ontario nili mu alert mapema kua utaumbuliwa. Akaniona fara ngoja video ziwekwe maana aligusa pabaya.
Mke wa Mwandishi wa Jf sasa yanamtokea makalioni
Haha chupi zimemfumua fumua huyu mbeba box na wana wanamsubiri Arudi wamfanye kutu mbaya
Wewe muongo haupo bongo now!!! Ukirudi lazima watu wachane rinda!! Una bichwa baya kama jiweNirudi wapi wakati nipo???
Juzi tu nimepanda Uber toka Mwenge mpaka Tabata.
Tatizo mnamtafuta Julius ambaye hayupo teh teh.
I’m right here and whoever wants it can get it!
Wewe muongo haupo bongo now!!! Ukirudi lazima watu wachane rinda!! Una bichwa baya kama jiwe
Kwani kuna nn jamani?Haha chupi zimemfumua fumua huyu mbeba box na wana wanamsubiri Arudi wamfanye kutu mbaya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Halafu ana bichwa baya kama boga la kiangazi muda wote anavaa kofia
The saga inaanzia Jangid plaza kwa bwana mdogo na mwandishi mashuhuri Jf intelligenceDaaaah mbona haka kastory nakataman nikajue lkn inashindikana......oya nini kinaendelea au kilitokea kwa huyo bwana magembe wakuu...[emoji856][emoji856]
Nakushauri tu usome kimya kimya Jf ni zaidi ya uijuavyo utaumbuliwa humu uichukie Jf.Kwani kuna nn jamani?
Inahusu akili kubwaz tukwani vip jamn
The saga inaanzia Jangid plaza kwa bwana mdogo na mwandishi mashuhuri Jf intelligence