Maelezo ya kina kuhusu Uber. Usafiri salama na wa bei ya chini kwa mtanzania

Maelezo ya kina kuhusu Uber. Usafiri salama na wa bei ya chini kwa mtanzania

Toto ya musukuma!! Respect JF chupi za humu zimekuumbua

Mlioumbuka ni nyie kwa kuamini naitwa Julius wakati siitwi Julius!

The joke is on you!

Hakuna anayenijua humu na ndo maana nawadharau sana na kuwacheka!

Wapumbavu nyie.
 
Wewe ndo mpumbavu uliyenaswa kizembe kwa ukora wako.... Yaani umeingizwa line kiulainiiiii ukatoa vyote!! Huna tofauti na Samson na Delila

Hahahaaaa! Hakika mpumbavu ni mpumbavu tu.

Yaani ni kama tapeli aje akutapeli halafu akwambie kwamba kakutapeli ila wewe unambishia kuwa hajakutapeli. Huo ndo upumbavu wenyewe.

Mimi wala sijakamatika. Ndiyo, nimekutana na wadada kadha wa kadha na nimewala. Fact.

Lakini hakuna hata mmoja wao niliyemwambia jina langu la ukweli. Wote nimewaambia naitwa ‘Julius Magembe’.

Lakini hilo si jina langu. Hilo jina ni mahsusi kwa ajili ya JF tu.

Na ndo maana si wewe na si wao wawezao kutoa ushahidi kuwa kweli hilo ndo jina langu.

Sasa katika akili yenu ya kipumbavu mnadhani eti nimekamatika. Nimekamatikaje wakati hao wachuchu nimewapa jina feki [ na wao kwa vile hawana akili kunizidi hakuna hata mmoja wao aliyeomba hata kuona kitambulisho changu kuthibitisha kama kweli naitwa hivyo] na wao wakalitangaza huko wakidhani ndo wananikomesha!

Nacheka saaaaana. Nimekutapeli halafu nakuja kukwambia kuwa nimekutapeli halafu wewe unabisha kuwa sijakutapeli!!!

Think. Just think.

Mimi ni mtoto wa chuo. Nimezaliwa, nimekulia, na nimesomea Dar.

Ni nani chuo kikuu alikuwa anaitwa Julius Magembe? Nani Shaaban Robert alikuwa anaitwa Julius Magembe?

Kama Julius Magembe ndo jina langu kweli basi wala haitakuwa shida kujua au kupata taarifa zangu.

Mdingi wangu kafundisha UDSM kwa miaka 30! Ni profesa gani hapo UDSM alikuwa anaitwa Magembe?

Hahahahaaaa nyie watu ni wapumbavu sana. Nawaambia kuwa nimewatapeli lakini eti mnabisha.

Wekeni basi ushahidi hapa kuwa kweli hilo ndo jina langu. Hizi ni zama za information technology. Taarifa nyingi sana kuhusu watu zipo mtandaoni. Ziwekeni hapa.

Weka jina la baba yangu [anbaye ni marehemu kwa sasa....], weka mahali ninapoishi na mengineyo.

Kudai kuwa nimekamatika kirahisi ni kujiaminisha uongo. Hakuna anayejua jina langu la ukweli humu. Hakuna. Hakuna. Hakuna. Na huo ndo ukweli 100%.
 
Hahahaaaa! Hakika mpumbavu ni mpumbavu tu.

Yaani ni kama tapeli aje akutapeli halafu akwambie kwamba kakutapeli ila wewe unambishia kuwa hajakutapeli. Huo ndo upumbavu wenyewe.

Mimi wala sijakamatika. Ndiyo, nimekutana na wadada kadha wa kadha na nimewala. Fact.

Lakini hakuna hata mmoja wao niliyemwambia jina langu la ukweli. Wote nimewaambia naitwa ‘Julius Magembe’.

Lakini hilo si jina langu. Hilo jina ni mahsusi kwa ajili ya JF tu.

Na ndo maana si wewe na si wao wawezao kutoa ushahidi kuwa kweli hilo ndo jina langu.

Sasa katika akili yenu ya kipumbavu mnadhani eti nimekamatika. Nimekamatikaje wakati hao wachuchu nimewapa jina feki [ na wao kwa vile hawana akili kunizidi hakuna hata mmoja wao aliyeomba hata kuona kitambulisho changu kuthibitisha kama kweli naitwa hivyo] na wao wakalitangaza huko wakidhani ndo wananikomesha!

Nacheka saaaaana. Nimekutapeli halafu nakuja kukwambia kuwa nimekutapeli halafu wewe unabisha kuwa sijakutapeli!!!

Think. Just think.

Mimi ni mtoto wa chuo. Nimezaliwa, nimekulia, na nimesomea Dar.

Ni nani chuo kikuu alikuwa anaitwa Julius Magembe? Nani Shaaban Robert alikuwa anaitwa Julius Magembe?

Kama Julius Magembe ndo jina langu kweli basi wala haitakuwa shida kujua au kupata taarifa zangu.

Mdingi wangu kafundisha UDSM kwa miaka 30! Ni profesa gani hapo UDSM alikuwa anaitwa Magembe?

Hahahahaaaa nyie watu ni wapumbavu sana. Nawaambia kuwa nimewatapeli lakini eti mnabisha.

Wekeni basi ushahidi hapa kuwa kweli hilo ndo jina langu. Hizi ni zama za information technology. Taarifa nyingi sana kuhusu watu zipo mtandaoni. Ziwekeni hapa.

Weka jina la baba yangu [anbaye ni marehemu kwa sasa....], weka mahali ninapoishi na mengineyo.

Kudai kuwa nimekamatika kirahisi ni kujiaminisha uongo. Hakuna anayejua jina langu la ukweli humu. Hakuna. Hakuna. Hakuna. Na huo ndo ukweli 100%.
Picha ni yako jina ni lakooo.... najua nafsi inakusuta na unashindwa kabiliana na ukweli.... but the reality ndo hiyo
 
Mlioumbuka ni nyie kwa kuamini naitwa Julius wakati siitwi Julius!

The joke is on you!

Hakuna anayenijua humu na ndo maana nawadharau sana na kuwacheka!

Wapumbavu nyie.
Bangi mbaya sana
IMG_20180411_002946_018.jpg
 
Back
Top Bottom