Muhamala
Senior Member
- Oct 1, 2017
- 101
- 88
Ni 25% mkuu au wameshusha???Mdada uber sio biashara ni parttime job ya kawaida, ni kama mtu unatoka kigamboni unaenda mlimani city kuliko uende long way bila faida unaweka uber on upate abiria u save hela ya mafuta, Lakini Tz ajira hazitoshi tunaona bora tutumie uber kama kazi goodluck mkuu in fact by uber u can make up to $200/mth hapa Tz lakini majuu madereva wa uber wanapata hadi $2000-3000/mth pia usisahau kutoa 20% yao