TUTUO
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 3,251
- 2,030
Jamani nisaidieni jinsi ya kujiunga, navyojua mimi uber ni gari za watu binafsi sasa kwenye kurejista wananidai car sticker ni ipi hyo? pili wanataka commercial vehicle registration wakati ni gari binafsi je yanipasa kwenda kuchukua upya card ya gari ile ya biashara na plate no nyeupe?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app