Maelezo ya kisayansi kumaliza utata wa mpira wa kona mechi ya Simba vs Singida

Maelezo ya kisayansi kumaliza utata wa mpira wa kona mechi ya Simba vs Singida

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Embu angalieni clip hii.




Saidoo alipoupiga mpira, kwa angle na mguu aliotumia, ule mpira bila kuingiliwa na mtu mwingine ulitakiwa uzungukezunguke kwenda upande wa kulia lakini kutokana na kuparazwa na mchezaji wa Singida, ule mzunguko ukabadili uelekeo na kuanza kuzungukazunguka kushoto. Utauona vizuri huo mzunguko mpira ukifika juu na ukianza kushuka chini.

Hata hivyo, kwa nini tunatumia nguvu kubwa kuwaelewesha wale wasiotutakia mema?
 
Embu angalieni clip hii.


View attachment 2868720

Saidoo alipoupiga mpira, kwa angle na mguu aliotumia, ule mpira bila kuingiliwa na mtu mwingine ulitakiwa uzungukezunguke kwenda upande wa kulia lakini kutokana na kuparazwa na mchezaji wa Singida, ule mzunguko ukabadili uelekeo na kuanza kuzungukazunguka kushoto. Utauona vizuri huo mzunguko mpira ukifika juu na ukianza kushuka chini.

Hata hivyo, kwa nini tunatumia nguvu kubwa kuwaelewesha wale wasiotutakia mema?
Mwenyekiti wa kamati ya waamuzi mapinduzi cup akiwa anahojiwa na vyombo vya habari anasema, Baada ya mechi ya Simba vs Singida kumalizika Kamati walijaribu kupitia marejeo ya tukio la Kona ya utata iliyo zaa goli na walibaini haikustahili kuwa Kona.
Alisema yaliyotokea ni makosa ya kibinadamu.
 
Mwenyekiti wa kamati ya waamuzi mapinduzi cup akiwa anahojiwa na vyombo vya habari anasema, Baada ya mechi ya Simba vs Singida kumalizika Kamati walijaribu kupitia marejeo ya tukio la Kona ya utata iliyo zaa goli na walibaini haikustahili kuwa Kona.
Alisema yaliyotokea ni makosa ya kibinadamu.
Hapa hatukuchambulii wewe tu,ni mpaka huyo mwenyekiti wako. Ile ni kona
 
Hapa hatukuchambulii wewe tu,ni mpaka huyo mwenyekiti wako. Ile ni kona
Kwasasa unazidi kujiaibisha, Kwamujibu wa Mwenyekiti wa kamati ya maamuzi baada ya mechi kamati yake ilifanya marejeo ya matukio tata.

Refa pia alihojiwa kuhusu Kona aliyotoa na kusababisha goli la kusawazisha, Yeye akajibu : Alifikiri mchezaji wa Singida Ali ugusa mpira.
kamati ikafanya marejeo ya tukio husika lakini hawakuona tukio la mchezaji wa Singida kugusa mpira.
Kamati ikatoka na majibu kuwa ni makosa ya kibinadamu.
 
Mimi kwa maoni yangu kusema ukweli mimi naona ukweli usemwe tu maana naona naweza nikaongea na katika hatua hii ndugu zangu nafikiri na naona kabisa kuwa kwa muda huu naona na natamani niongee kuhusu haya na nina mengi ya kusema moyoni lakini kuhusu hili acha nichangie hoja kwa kusema ni kweli mnayosema na mimi sina la kusema[emoji38]
 
Mimi kwa maoni yangu kusema ukweli mimi naona ukweli usemwe tu maana naona naweza nikaongea na katika hatua hii ndugu zangu nafikiri na naona kabisa kuwa kwa muda huu naona na natamani niongee kuhusu haya na nina mengi ya kusema moyoni lakini kuhusu hili acha nichangie hoja kwa kusema ni kweli mnayosema na mimi sina la kusema[emoji38]
Mthenge ww
 
Sawa tujadili kisayansi kama ulivyotaka, tuambie alipiga kwa nyuzi ngapi? Maana huwezi kusema kuwa ulitakiwa uwende kulia ukaenda kushoto bila ku consider kiwango cha huo mkunjo ni nyuzi ngapi. Hizo nyuzi ndizo zitakafanya accuracy ya mpigaji itaelekea wapi
Embu angalieni clip hii.


View attachment 2868720

Saidoo alipoupiga mpira, kwa angle na mguu aliotumia, ule mpira bila kuingiliwa na mtu mwingine ulitakiwa uzungukezunguke kwenda upande wa kulia lakini kutokana na kuparazwa na mchezaji wa Singida, ule mzunguko ukabadili uelekeo na kuanza kuzungukazunguka kushoto. Utauona vizuri huo mzunguko mpira ukifika juu na ukianza kushuka chini.

Hata hivyo, kwa nini tunatumia nguvu kubwa kuwaelewesha wale wasiotutakia mema?
 
Tatizo ni Azam tv, wanaweka camera chache wanasababisha tunabishana bila sababu ya msingi
Azam ni wahuni tu kama wahuni wengine. Inawezekana wanayo hiyo video ila wameamua kuibania.

Juzi juzi kwenye hatua ya makundi kwenye mechi moja ya Simba kuna mpira uligonga mwamba ukadunda nje, wakawa wanarudia ile clip na badala ya kumaliza utata kwa kustop kuonyesha jinsi mpira ulipodundia nje ya mstari, wao wakaendelea tu kurudia clip ikiendelea kucheza na matokeo yake wakazidi kukuza mjadala ikaonekana kama Simba imependelewa.

Kumbuka matukio mengine ya offside uwanja wa Uhuru yanayoihusisha Simba, mengine wanakuwaga hawana video, unakuta camera ya usawa wa goli imesogea imekatia upande wa pili mstari wa ulinzi wa Simba kiasi hauwezi kuitumia kujua kama offside ilitokea ama la. Ndiyo maana nawaona kama wahuni tu.
 
Kwasasa unazidi kujiaibisha, Kwamujibu wa Mwenyekiti wa kamati ya maamuzi baada ya mechi kamati yake ilifanya marejeo ya matukio tata.

Refa pia alihojiwa kuhusu Kona aliyotoa na kusababisha goli la kusawazisha, Yeye akajibu : Alifikiri mchezaji wa Singida Ali ugusa mpira.
kamati ikafanya marejeo ya tukio husika lakini hawakuona tukio la mchezaji wa Singida kugusa mpira.
Kamati ikatoka na majibu kuwa ni makosa ya kibinadamu.
Hayo marejeo waliyofanya nao wametumia clip hizi hizi tunazozijadili wote. Refa alikuwa sahihi. Timu za Tanzania hasa hizi zisizo na uzoefu zina tatizo sugu la kulia lia viwanjani kutafuta huruma ya waamuzi hata pale wanapofanya makosa wenyewe.

Hayo makosa ya kibinadamu ndiyo yaliinyima Simba penati ndani ya dakika 90 na wala wachezaji wa Simba hawakuleta zogo wakaendelea na mpira.
 
Embu angalieni clip hii.


View attachment 2868720

Saidoo alipoupiga mpira, kwa angle na mguu aliotumia, ule mpira bila kuingiliwa na mtu mwingine ulitakiwa uzungukezunguke kwenda upande wa kulia lakini kutokana na kuparazwa na mchezaji wa Singida, ule mzunguko ukabadili uelekeo na kuanza kuzungukazunguka kushoto. Utauona vizuri huo mzunguko mpira ukifika juu na ukianza kushuka chini.

Hata hivyo, kwa nini tunatumia nguvu kubwa kuwaelewesha wale wasiotutakia mema?
Sayansi na simba haviwezi kukaa sehem moja
 
Si mmeshaingia fainali kwanini mnatumia nguvu nyingi sana kujitetea? Kamati ya waamuzi Zanzibar wameshatoa maelezo kuwa refa alitoa kona kimakosa.
Na nyie si mlishakimbia haya mashindano, mnafanya nini kwenye majadiliano ya mashindano haya?
 
Back
Top Bottom