Mstoiki
JF-Expert Member
- Oct 9, 2020
- 4,365
- 8,384
😂😂 Haya.. MwanambeyaNadhani huelewi hoja yetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂 Haya.. MwanambeyaNadhani huelewi hoja yetu
Lissu nasikia amesusa anataka watu wagawane mbao ,Mbowe anataka kumpa sugu nafasi ya kugombea uraisi ila mpaka sasa sugu anahaha kuingiza bil 5 kwenye a/c binafsi ya Mbowe ndio maana sugu haishi kutembelewa na balozi wa marekani hizi za ndani mtupu mwepesi tu huwezi zipata!Alama za Nyakati ni taarifa za Maono ya Mambo yanayokuja, kuna kila dalili kwamba Joseph Mbilinyi anaandaliwa Jambo kubwa zaidi na Mungu
Huyu kwa sasa ni Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa, ni Mwanasiasa ambaye hahitaji mambo mengi ili kufanikisha jambo lake, hana haja ya Matarumbeta, Mang'oma au Ipenenga (Wanyakyusa wananielewa), huyu ni jeshi la mtu mmoja.
Taarifa Mpya zinasema kwamba, NDIYE MWANASIASA ANAYEONGOZA KWA USHAWISHI MKOANI MBEYA, KWA MAANA YA MKOA MZIMA WA MBEYA.
Huu hapa ni Mkutano wake kwenye Stendi ya Kabwe Jijini Mbeya, Hakuna Mwanasiasa aliye hai leo Nchini Tanzania mwenye uwezo wa kujaza watu namna hii kwenye eneo hili, Na siyo kuwajaza tu bali kujaza watu wanaomsikiliza kwa dhati yote mpaka mwisho kabisa
View attachment 3038715View attachment 3038716View attachment 3038717
Kakuwekea umati waliokwenda juziKwa mwana Mbeya mwamposa mkutanoni😀Hiyo nini?
Miss Slim anasemajeAlama za Nyakati ni taarifa za Maono ya Mambo yanayokuja, kuna kila dalili kwamba Joseph Mbilinyi anaandaliwa Jambo kubwa zaidi na Mungu
Huyu kwa sasa ni Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa, ni Mwanasiasa ambaye hahitaji mambo mengi ili kufanikisha jambo lake, hana haja ya Matarumbeta, Mang'oma au Ipenenga (Wanyakyusa wananielewa), huyu ni jeshi la mtu mmoja.
Taarifa Mpya zinasema kwamba, NDIYE MWANASIASA ANAYEONGOZA KWA USHAWISHI MKOANI MBEYA, KWA MAANA YA MKOA MZIMA WA MBEYA.
Huu hapa ni Mkutano wake kwenye Stendi ya Kabwe Jijini Mbeya, Hakuna Mwanasiasa aliye hai leo Nchini Tanzania mwenye uwezo wa kujaza watu namna hii kwenye eneo hili, Na siyo kuwajaza tu bali kujaza watu wanaomsikiliza kwa dhati yote mpaka mwisho kabisa
View attachment 3038715View attachment 3038716View attachment 3038717
Kwa sasa Mwamposa angekuwa Mwanasiasa ndiye angeweza kuchuana na Sugu kwa kujaza viwan
Waliokuwepo wamesikiaAmewaambia wana Mbeya nini? Nadhani ndio jambo la mwingi.
HayaLissu nasikia amesusa anataka watu wagawane mbao ,Mbowe anataka kumpa sugu nafasi ya kugombea uraisi ila mpaka sasa sugu anahaha kuingiza bil 5 kwenye a/c binafsi ya Mbowe ndio maana sugu haishi kutembelewa na balozi wa marekani hizi za ndani mtupu mwepesi tu huwezi zipata!
Sugu Moto chini sugu kiboko ya wachungaji uchwara suuuguuuuuuuAlama za Nyakati ni taarifa za Maono ya Mambo yanayokuja, kuna kila dalili kwamba Joseph Mbilinyi anaandaliwa Jambo kubwa zaidi na Mungu
Huyu kwa sasa ni Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa, ni Mwanasiasa ambaye hahitaji mambo mengi ili kufanikisha jambo lake, hana haja ya Matarumbeta, Mang'oma au Ipenenga (Wanyakyusa wananielewa), huyu ni jeshi la mtu mmoja.
Taarifa Mpya zinasema kwamba, NDIYE MWANASIASA ANAYEONGOZA KWA USHAWISHI MKOANI MBEYA, KWA MAANA YA MKOA MZIMA WA MBEYA.
Huu hapa ni Mkutano wake kwenye Stendi ya Kabwe Jijini Mbeya, Hakuna Mwanasiasa aliye hai leo Nchini Tanzania mwenye uwezo wa kujaza watu namna hii kwenye eneo hili, Na siyo kuwajaza tu bali kujaza watu wanaomsikiliza kwa dhati yote mpaka mwisho kabisa
View attachment 3038715View attachment 3038716View attachment 3038717
HakikaIli sisiemu ipate raia kama hao nilazima utumike ulaghai shule sifungwe ili walimu na wanafunzi wake kuongeza idadi
Unafaidika na nini? Mbeya inazo kata nyingi na mkutano huu ni mmojawapo kati ya itakayofanyika Mbeya, umezoea utumwa unaogopa kuwa huru.Mbona sio wengi mkuu. Kwa mbeya nayoijua
Baab KubwaWaliokuwepo wamesikia

Mwamposa yeye anawavuta watu kwa majini.😂😂😂 Hamuwezi kua siriaz nyinyi
Mata.ko weweLissu nasikia amesusa anataka watu wagawane mbao ,Mbowe anataka kumpa sugu nafasi ya kugombea uraisi ila mpaka sasa sugu anahaha kuingiza bil 5 kwenye a/c binafsi ya Mbowe ndio maana sugu haishi kutembelewa na balozi wa marekani hizi za ndani mtupu mwepesi tu huwezi zipata!
Wewe umesikia wapi ??? Siyo kila tako likikuwasha unakuja kujikunia hapaLissu nasikia amesusa anataka watu wagawane mbao ,Mbowe anataka kumpa sugu nafasi ya kugombea uraisi ila mpaka sasa sugu anahaha kuingiza bil 5 kwenye a/c binafsi ya Mbowe ndio maana sugu haishi kutembelewa na balozi wa marekani hizi za ndani mtupu mwepesi tu huwezi zipata!