Kidagaa kimemwozea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 3,680
- 6,554
Hatimaye mchakato wa kupata Majina ya waliofanikiwa kupenya katika Hatua ya usaili imekamilika, na Orodha hiyo tayari imetolewa ambapo mwombaji anatakiwa kuangalia status ya maombi yake katika account mtandao ya Ajira.
Aidha mwombaji anatakiwa kujiandaa vizuri katika usaili utakao fanyika baada ya wiki mbili kutoka Sasa kwani ushindani nimkubwa
Soma majina MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI AJIRA ZA UALIMU 2024
Aidha mwombaji anatakiwa kujiandaa vizuri katika usaili utakao fanyika baada ya wiki mbili kutoka Sasa kwani ushindani nimkubwa
Soma majina MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI AJIRA ZA UALIMU 2024