Maelfu waitwa kwenye usaili ajira za ualimu 2024

Maelfu waitwa kwenye usaili ajira za ualimu 2024

Hapo watatoa ya masomo au na Yale ya chuo poa mbona kimbembe, ila haina shida kama ni machaguo tutabeti shida ni ya maelezo tu

Mkuu unafahamu kwamba wewe unaenda kufundisha watoto wetu? Itakuaje??
 
Pdf lenye majina limetoweka!! akaunti inakataa kufufunguka inasema INCORRECT LOG IN. Jamaa mmoja mwalimu mtarajiwa alilalamika!! Je wengine mnakutana na changamoto hiyo?
 
Pdf lenye majina limetoweka!! akaunti inakataa kufufunguka inasema INCORRECT LOG IN. Jamaa mmoja mwalimu mtarajiwa alilalamika!! Je wengine mnakutana na changamoto hiyo?
Kama umeshaona jina lako na application status yako, unahangaika ku log in ili kufanya nini cha muhimu sana kwa leo ?
 
Hatimaye mchakato wa kupata Majina ya waliofanikiwa kupenya katika Hatua ya usaili imekamilika, na Orodha hiyo tayari imetolewa ambapo mwombaji anatakiwa kuangalia status ya maombi yake katika account mtandao ya Ajira.

Aidha mwombaji anatakiwa kujiandaa vizuri katika usaili utakao fanyika baada ya wiki mbili kutoka Sasa kwani ushindani nimkubwa

Soma majina MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI AJIRA ZA UALIMU 2024
Hii ni furusha ya vijana kuharibu nauli zao wakiuelekea mchakato wa kusaka ajira...endeleeni kupambanaa mtaani ipo siku MUNGU atawafungulia njia...ila kupata ajira hizi ambazo walioitwa elfu 20..wanaotakiwa Mia mbili..🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom