Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Ww ulitaka watumie mbinu ipiYaani majina mengi sana, serikali sijui inawaza nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ww ulitaka watumie mbinu ipiYaani majina mengi sana, serikali sijui inawaza nini
Kila la kheri kwenu mliopata
Umeona wapi ?Nimeona kila somo wameita kivyake
Itakuaje mtu akifaulu somo moja kwenye mchujo, ataendelea na oral?
Majina yametoka kwa masomo, mfano English kivyao na Geography kivyao...Umeona wapi ?
Hayo majina umeyaona wapi ?Majina yametoka kwa masomo, mfano English kivyao na Geography kivyao...
Umefungua PDF?Hayo majina umeyaona wapi ?
Sijaiona.Umefungua PDF?
Angalia hapo juu imewekwa.Sijaiona.
Kwahiyo kusoma kwako hujaonaHayo majina umeyaona wapi ?
Duh!Sijaiona
NimeyaonaDuh!
NimeyaonaKwahiyo kusoma kwako hujaona
Hapo watatoa ya masomo au na Yale ya chuo poa mbona kimbembe, ila haina shida kama ni machaguo tutabeti shida ni ya maelezo tu
HahaMkuu unafahamu kwamba wewe unaenda kufundisha watoto wetu? Itakuaje??
Hapa wanaotakiwa kupita ni 552 max kwenda oral..Kuna watu wameitwa 28,000 nafasi 184 😅 hapa ukipata chini ya 90 umekwisha
Kama umeshaona jina lako na application status yako, unahangaika ku log in ili kufanya nini cha muhimu sana kwa leo ?Pdf lenye majina limetoweka!! akaunti inakataa kufufunguka inasema INCORRECT LOG IN. Jamaa mmoja mwalimu mtarajiwa alilalamika!! Je wengine mnakutana na changamoto hiyo?
Ajira zimekuwa ngumu kweli yaan🙌Kuna watu wameitwa 28,000 nafasi 184 😅 hapa ukipata chini ya 90 umekwisha
Hii ni furusha ya vijana kuharibu nauli zao wakiuelekea mchakato wa kusaka ajira...endeleeni kupambanaa mtaani ipo siku MUNGU atawafungulia njia...ila kupata ajira hizi ambazo walioitwa elfu 20..wanaotakiwa Mia mbili..🤣🤣🤣🤣Hatimaye mchakato wa kupata Majina ya waliofanikiwa kupenya katika Hatua ya usaili imekamilika, na Orodha hiyo tayari imetolewa ambapo mwombaji anatakiwa kuangalia status ya maombi yake katika account mtandao ya Ajira.
Aidha mwombaji anatakiwa kujiandaa vizuri katika usaili utakao fanyika baada ya wiki mbili kutoka Sasa kwani ushindani nimkubwa
Soma majina MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI AJIRA ZA UALIMU 2024