Kidagaa kimemwozea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 3,680
- 6,554
- Thread starter
- #41
Nikweli mkuuHapa wanaotakiwa kupita ni 552 max kwenda oral..
1:3
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikweli mkuuHapa wanaotakiwa kupita ni 552 max kwenda oral..
1:3
Mbaga psrs junior AKA msabato 😅Ww ulitaka watumie mbinu ipi
Ningumu Sana mkuuHii ni furusha ya vijana kuharibu nauli zao wakiuelekea mchakato wa kusaka ajira...endeleeni kupambanaa mtaani ipo siku MUNGU atawafungulia njia...ila kupata ajira hizi ambazo walioitwa elfu 20..wanaotakiwa Mia mbili..🤣🤣🤣🤣
afu boss nakutafta tufanye biashara flan hv, si bado uko hapa hapa town??Hizo ajira zenyewe sasa
afu boss nakutafta tufanye biashara flan hv, si bado uko hapa hapa town??
nimeku PMYah nipo mkuu!
Hilo ni somo ganKuna watu wameitwa 28,000 nafasi 184 😅 hapa ukipata chini ya 90 umekwisha
Ulitaka wawapunguze kienyejiYaani majina mengi sana, serikali sijui inawaza nini
😆😆Ulitaka wawapunguze kienyeji
Muanze kulalamika
That is life, it aint fair and never will it beSasa mnaenda kugombea nafasi 184 watu 28,000 huku mkijua wazi watu 27,826 hawatopata 😁 dah hili nitatizo
Watu elf 27 wanachoma nauli.Sasa mnaenda kugombea nafasi 184 watu 28,000 huku mkijua wazi watu 27,826 hawatopata 😁 dah hili nitatizo
Ni shida mkuuUmaskini
Unadhani Kwanini pdf la waliokuwa shortlisted, limeondolewa kwenye pages za PSRS ?Kuna watu wameitwa 28,000 nafasi 184 😅 hapa ukipata chini ya 90 umekwisha
KwaniniUnadhani Kwanini pdf la waliokuwa shortlisted, limeondolewa kwenye pages za PSRS ?
Asking for a friend.