Kidagaa kimemwozea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 3,680
- 6,554
DuhKuna watu wameitwa 28,000 nafasi 184 [emoji28] hapa ukipata chini ya 90 umekwisha
😃😃
90% mbona ndogo sana, sababu katika 28,000 watakaopata zaidi 97% wanaweza kufika zaidi 300Kuna watu wameitwa 28,000 nafasi 184 😅 hapa ukipata chini ya 90 umekwisha
Nikweli mkuu Ila wanaweza kuchukua hata 600 wakapungue kwenye oral90% mbona ndogo sana, sababu katika 28,000 watakaopata zaidi 97% wanaweza kufika zaidi 300
Ni balaaa aisewHizo ajira zenyewe sasa
Ni balaaaHizo ajira zenyewe sasa
Fursa yenyewe sasa ni kufight.furusha ya kuingia kwenye mfumo wa ajira serikalini kwa jobless.
Changamoto sanaYaani majina mengi sana, serikali sijui inawaza nini
Wajiandae vizuriKila la kheri kwenu mliopata
Siasa tu hiyo kwa ajili ya uchaguzi.Hatimaye mchakato wa kupata Majina ya waliofanikiwa kupenya katika Hatua ya usaili imekamilika, na Orodha hiyo tayari imetolewa ambapo mwombaji anatakiwa kuangalia status ya maombi yake katika account mtandao ya Ajira.
Aidha mwombaji anatakiwa kujiandaa vizuri katika usaili utakao fanyika baada ya wiki mbili kutoka Sasa kwani ushindani nimkubwa
Soma majina MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI AJIRA ZA UALIMU 2024