Maelfu wamlilia Ali Kamwe,ni vilio na simanzi jangwani asubuhi hii

Maelfu wamlilia Ali Kamwe,ni vilio na simanzi jangwani asubuhi hii

Hao wanao kusanyika asubuhi hii hawana kazi za kufanya
Mkuu hujawahi kupita klabu ya yanga asubuhi?kariakoo kuna watu wana miaka 60 wapo kwao nanaanisha kwenye nyumba za baba zao,jobless kutwa wapo klabuni
 
pale fire hakuna miti mirefu
Wakongwe wamenielewa kusema nipande mti pale kuwachungulia watu wa jangwani maana sijaisema picha ya leo ya FIRE Ila naisema picha ya FiRE na jangwani kipindi hiko ambacho raisi nyerere alikuwa anakuja shuleni kwetu kuhudhuria kikao Cha wazazi ,upo hapo bwana Uto ?
 
Watu makini wangeshatengeneza namna ya kuwabakisha wote kisha pumba na mchele vingejichuja tu vyenyewe hapo mbeleni...

Unaunda nafasi, unam-promote Ali kutokana na shule yake, Manara chini ya Ali, game over
Wewe unaweza kufanyakazi na Manara?
 
Maigizo haya ya kuendelea kuwapumbaza watz ambao wengi wao ni Wajinga Kwa mambo ya kipuuzi wakaacha kufanya mambo ya Msingi zaidi kwenye mustakabali wa Maisha Yao na Taifa Kwa ujumla,,##HayatokeiKwaBahatiMbaya##Yamepangaliwa haswaa.
 
"Manara aende magomeni alipokuwa anajibinua wakati amelewa".....by Magoma the great.
 
Kwani kazi nyingine hamna .mpaka kumfanyia UBAYA mtoto wa watu.
Usemaji sio AJIRA manara tafuta kazi
Sasa Kama Walisema Wenye Akili Ni Wawili Ujue Wazi Wengi Huko Ni Wehu
Ally Kamwe Aendelee Kuchapa Kazi Tu
 
Kama ni kweli au si kweli, ila watakua wamefanikiwa kupata engagement ktk social media
 
GSM ndio anayelipa mshahara. Asipangiwe wala kuingiliwa.

Inapokuja katika suala la kupiga mdomo/promo Manara ni namba 1.

Pia GSM soon analeta sokoni bidhaa toka kwenye kiwanda chake kipya cha vinywaji atazalisha Energy drink na Maji ya kunywa. Lazima Manara atahitajika ili kupiga promo maji ya gsm na energy ya GSM.


Kwa hiyo GSM anataka kutumia brand ya Yanga kupiga promo ya bidhaa zake mpya. Na manara ndio mpiga promo namba 1.
 
Mzungu ameshamaliza waganga, juzi Priva kaja ofisini analalamika kwamba usiku mzima watu wanamkaba, na yeye hawaoni, yaani jamaa ni hatari
 
Furaha za ushindi wa yanga jana dhidi ya Kaizer Chief zimeingia dosari kufuatia sintofahamu ya afisa habari wa klabu hiyo kutoa chapisho lenye utata.
Maelfu ya mashabiki na wanachama wamekusanyika nje ya klabu yao asubuhi hii mitaa ya Jangwani na Twiga,mazungumzo yanayotawala ni kuhusu Alli Kamwe
..tutaendelea kuwajuza
Karudi kwenye nafasi yake,kapewa mkataba wa miaka miwili.
Screenshot_20240729_105626_Instagram.jpg
 
Back
Top Bottom