Maelfu watii amri ya kuondoka Gaza huku Israel ikiandaa wanajeshi 300,000 kuanza fagia fagia

Jamani Iran wako wapi? Mbona muda wa kuifuta kabisa Israel kwenye ramani ya dunia ndio imewadia? Mbona sasa wako kimya au wamebadili msimamo na kwamba sasa wanaamini kuwa Israel ni taifa teule....??

Kwa nini Iran sasa wanataka kuwasaliti kipenzi chao Hamas kikundi cha kigaidi walichokiunda wao wenyewe ili kuifuta Israel kwenye ramani ya dunia..??

Kama Iran wataendelea kukaa pembeni na kubaki kupiga chabo mithili ya kibaka basi huu ndio utakuwa mwisho wa sera yao ya kuanzisha na kufadhili vikundi vya kigaidi duniani.
 
Ulitaka akubali kitu ambacho ajakifanya.Hamas wametumia madhaifu ya jeshi la Israel kufanya uvamizi.

Kila mtu watamuona mbaya mwaka huu.kila mtu wanamshika uchawi kuhusu kuwasaidia Hamas.hii aibu ni ngumu kufutika bali itadumu kizazi na kizazi
Aibu Tena sio kama hamas ndio wanaona aibu kuwaingiza mamilion ya watu wapalestina matatizon sasa wao na raia wote hawana pakuish
 
Wewe siku zinakuja hutaonekana kabisa humu na labda hata msikitini hutaenda kwa maana utahoji uwezo wa allah kuwalinda wale wanaojitolea mhanga kumpigania kama anavyolazimisha apiganiwe.
 
Watu wanadhania zile Hollywood za wayahudi wa America ni uongo, universal soldiers ni wauni flani hivi maroboti yenye nyama
 
Hotuba ya Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu

Inafaa Kusoma

Bw. Netanyahu alisema:
Miaka 70 tu iliyopita! Wayahudi walichukuliwa kwenda kuchinjwa kama kondoo.
[emoji838] Miaka 60 iliyopita!
[emoji838] hakuna nchi. Hakuna Jeshi.

Nchi saba za Kiarabu zilitangaza vita dhidi ya dola hiyo ndogo ya Kiyahudi, saa chache tu baada ya kuundwa kwake!
[emoji838] tulikuwa Wayahudi 650,000 dhidi ya mamilioni mengi katika ulimwengu wa Kiarabu!

Hakukuwa na IDF yenye nguvu (Vikosi vya Ulinzi vya Israeli).

Hakuna jeshi la anga lenye nguvu la kutuokoa bali ni watu wa Kiyahudi wajasiri wasio na mahali pengine pa kwenda.
[emoji838]Lebanon, Syria, Iraq, Jordan, Egypt, Libya, Saudi Arabia zote zilishambulia kwa wakati mmoja.
[emoji838]Nchi ambayo Umoja wa Mataifa ulitupa ilikuwa ni jangwa 65%.

[emoji838] Miaka 35 iliyopita! Tulipigana na majeshi matatu yenye Nguvu zaidi katika mashariki ya kati, na tukayafagilia kwa siku sita.

Tulipigana dhidi ya miungano mbalimbali ya nchi za Kiarabu, ambayo ilikuwa na majeshi ya kisasa na silaha nyingi za Soviet, na sisi daima tumewapiga!

Leo tunayo:

[emoji838] Jimbo (Nchi)
[emoji838] Jeshi,
[emoji838] Jeshi la Anga lenye Nguvu,
[emoji838] Uchumi wa Hali ya Juu na mauzo ya nje yenye thamani ya mabilioni ya dola.
[emoji838] Intel - Microsoft - ibm na kampuni nyingi za teknolojia ya juu hutengeneza bidhaa za kisasa nchini Israeli
[emoji838] Madaktari wetu hupokea tuzo kwa ajili ya utafiti wa kimatibabu.
[emoji838] Tunafanya jangwa kuchanua, na kuuza machungwa, maua na mboga kote ulimwenguni.

[emoji838] Israel imetuma satelaiti zake angani!

[emoji838] satelaiti tatu kwa wakati mmoja!
[emoji838] Tunajivunia kuwa katika daraja sawa na:
[emoji838] Marekani, ambayo ina wakazi milioni 250,
[emoji838] Urusi, ambayo ina wakazi milioni 200,
[emoji838] China, ambayo ina wakazi bilioni 1.3;
[emoji838] Wazungu - Ufaransa, Uingereza, Ujerumani - yenye wakazi milioni 350.
[emoji838] nchi pekee ulimwenguni kutuma vitu angani!

[emoji838] na kusema kwamba miaka 60 tu iliyopita,
[emoji838] tuliongozwa, tukaaibishwa na kukosa matumaini, kuchinja!
[emoji838] tumepitia magofu ya uvutaji sigara ya Uropa,
[emoji838] tumeshinda vita vyetu hapa Israel bila chochote

[emoji838] tulijenga "Empire" yetu ndogo bila chochote.

Hamas ni nani wa kunitisha?
[emoji837] ili kunitisha?
[emoji837] unanichekesha!
[emoji837] Pasaka iliadhimishwa;

Tusisahau Pasaka ni nini:
[emoji837] tuliokoka kwa Farao,
[emoji837] tulinusurika na Wagiriki,
[emoji837] tuliokoka Warumi,
[emoji837] tulinusurika kwenye mahakama ya kidini nchini Uhispania,
[emoji837] tunayo mauaji nchini Urusi,
[emoji837] tulinusurika na Hitler,
[emoji837] tulinusurika na Wajerumani,
[emoji837] tulinusurika kwenye mauaji ya Holocaust,
[emoji837] tulinusurika na majeshi ya nchi saba za Kiarabu,
[emoji837] tulinusurika Saddam.
[emoji837] tutanusurika na maadui waliopo

Fikiria wakati wowote katika historia ya mwanadamu [emoji615]

Fikiria juu yetu, kwa ajili yetu, watu wa Kiyahudi,
[emoji841] hali haijawahi kuwa nzuri!
[emoji841] basi tukabiliane na ulimwengu,

Wacha tukumbuke:
[emoji840] mataifa yote, himaya au tamaduni zote
[emoji840] ambaye wakati fulani alijaribu kutuangamiza,
[emoji840] haipo tena leo - tungali tunaishi!
[emoji840] Misri?
[emoji840] Babeli?
[emoji840] Wagiriki?
[emoji840] Alexander wa Makedonia?
[emoji840] Warumi? (kuna mtu bado anazungumza Kilatini siku hizi?)
[emoji840] Reich ya Tatu?

Na tuangalie

[emoji838] Watumwa wa Misri,
[emoji838] Watu wa Musa
[emoji838] Taifa la Biblia,
[emoji838] Bado tupo hapa,

Na Kiebrania bado ni lugha rasmi ya Jimbo la Israeli leo:

[emoji626] tangu wakati wa Biblia na sasa!
[emoji626] Waarabu bado hawajajua,
[emoji626] lakini watajifunza kuwa kuna Mungu.
[emoji626] mradi tu tunahifadhi utambulisho wetu, tuko milele.

Basi tusamehe kwa kutokuwa na wasiwasi,
[emoji840] sio kulia,
[emoji840] kutoogopa.
[emoji840] Mambo ni sawa hapa.
[emoji840] bila shaka wangeweza kuwa bora,

Hata hivyo:
[emoji837] Usiamini vyombo vya habari,
[emoji837] hawakuambii mambo mengi mazuri kuhusu Israeli
[emoji837] sherehe zinaendelea kufanyika katika Israeli,
[emoji837] watu wanaendelea kuishi,
[emoji837] watu wanaendelea kutoka,
[emoji837] watu wanaendelea kuona marafiki.

Wengine wanadai ari yetu iko chini.
[emoji838] ili iweje?

Ni kwa sababu tu tunaomboleza vifo vyetu huku adui zetu wakifurahia damu iliyomwagika na vita.

[emoji838] ndio maana tutashinda, mwisho.

Mungu wa Israeli aliziumba Mbingu na Nchi.
Mlinzi wa Israeli hasinzii wala halali!
Mungu wa Ibrahimu, Isaka na Yakobo , Nipo ambaye nipo haangalii wingi wa Jeshi wala idadi ya farasi anajipigania mwenyewe

Copy & paste
Nimeikuta pahali
 
Nimepata kitu , dawa ni moja raia kuama , ili eneo husika pasiwepo cha gof pawe flat
 
So hawa 300,00 askari wote ni

Sayeret Matkal?​

 
Kutii ni bora kuliko dhabihu. Watoto wa Yakobo wamefanya kazi nzuri kabisa, kobazi zimechapika kweli kweli. Ashukuriwe Mungu wa Abraham, isaka na Yakobo.
 
Nimepata kitu , dawa ni moja raia kuama , ili eneo husika pasiwepo cha gof pawe flat
Ni sawa na kuwaambia watu wa Dar wote wahame ndani ya masaa24, watakuuliza' tuhamie wapi?....

Ukiwajibu around eneo la uwazi la Mikese ..watakuuliza tutaishije?
..ukishindwa kuwajibu watabaki hapo hapo.

Huko Gaza wapo walioondoka, wapo watakaobaki mpaka mwisho....km Ukraine tu.
 
Kiongoz wao yuko Doha Qatar anakula bata hotelin. Wakati masikin wa kipalestina aliowasababishia msala wanateketea.
 
Hatari sana
 
Wewe siku zinakuja hutaonekana kabisa humu na labda hata msikitini hutaenda kwa maana utahoji uwezo wa allah kuwalinda wale wanaojitolea mhanga kumpigania kama anavyolazimisha apiganiwe.
Acha ufala vita sio kuchaza sindimba na ndio maana mpaka sasa Israel haijaingia gaza amekalia kurusha mabomu hovyo hovyo tu kutoka mbali.
 
Kiongoz wao yuko Doha Qatar anakula bata hotelin. Wakati masikin wa kipalestina aliowasababishia msala wanateketea.
Mkuu hiyo ndio siasa hata upande wa Israel iwapo wataanza vita ya ardhini kuna wanajeshi kibao watapitia matatizo makubwa na vifo wakati Netanyau atakuwa Telavivu ana chakata mbususu ya mkewe.
 
Mkuu hiyo ndio siasa hata upande wa Israel iwapo wataanza vita ya ardhini kuna wanajeshi kibao watapitia matatizo makubwa na vifo wakati Netanyau atakuwa Telavivu ana chakata mbususu ya mkewe.
Huwajui Jews wewe. Wao wanapambana ni either wafe au wapone. Kuna wakati ikifika utawaona front kila mtu. Maana wakichemka hapo hawana pengine pa kwenda. Jews around the world wako njian wote kupigania taifa lao
 
Huwajui Jews wewe. Wao wanapambana ni either wafe au wapone. Kuna wakati ikifika utawaona front kila mtu. Maana wakichemka hapo hawana pengine pa kwenda. Jews around the world wako njian wote kupigania taifa lao
Ya kwamba Netanyau atakuwa moja wapo ya watakao kwenda gaza kupambana na hamas au unamanisha nn?
 
[emoji845][emoji1134][emoji3538][emoji1193] Photos of the destroyed IDF CH-53D helicopter that was destroyed exactly a week ago. #IsraelPalestineConflict #Palestine #Hamas

According to some reports all 50 IDF soldiers were killed.

According to some Israeli sources they managed to survive.
 
Acha ufala vita sio kuchaza sindimba na ndio maana mpaka sasa Israel haijaingia gaza amekalia kurusha mabomu hovyo hovyo tu kutoka mbali.
Wee unaona yanarushwa hovyoeee

Akili za madrasa bhana
 
Mkuu hiyo ndio siasa hata upande wa Israel iwapo wataanza vita ya ardhini kuna wanajeshi kibao watapitia matatizo makubwa na vifo wakati Netanyau atakuwa Telavivu ana chakata mbususu ya mkewe.
Kuna Vita isiyo na vifo!?
Au unatukumbusha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…