Wakijua kwa kuwa Israel wana maendeleo makubwa, na kila auna ya maisha mazuri basi watakua ni waoga waoga na watu wa jukiakia. Kumbe wenzao ni watu ku dance to the tune.Yeye anaingia na kutoka hata leo alikuwa mpakan. Na waziri mkuu aliyepita yuko front line. Unajua waarabu walikuwa wanajiona wao ni wazee wa kujitoa mhanga wamekuta muisrael yuko tayar kufa mara kumi yake ndipo alipochoka. Jews wanapambana ile ya survive of the fittest. Akishindwa wanafutwa
Kwamba Leo hakuwa mpakan au. Unavyomuona Rais wa Ukraine anaenda front kuwapa moyo na kuongea na wapiganaji ndivyo wanavyofanya Jews kwa taarifa yakoThis is not true
Hilo lipo wazi kabisa Israel anaenda kujiongezea eneo huko gaza Palestine inazidi kufutika.. sababu ya wajinga hamasSasa hata raia wakiondoka hao hammas siwatajichanganya na raia na wenyewe wataondoka nao
Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
Tangu jenerali wao amedunguliwa na na drone hawana hamu na infidelsWaajemi wanachungulia without any comment. May be watafanya surprise attacks kuifuta Israel kwenye uso wa dunial kama wanavyojiapiza daily!
Amepata kisingizio, labda hata walilipanga hiloHilo lipo wazi kabisa Israel anaenda kujiongezea eneo huko gaza Palestine inazidi kufutika.. sababu ya wajinga hamas
Acha uongo, hao 300k wengi ni majeshi ya akiba only 170k ndio regular army. Why Wakenya mnapenda kushabikia vita wakati mmeona Al shabaab wanavyowatoa jasho huko NorthEastern!Kitu wengi wasichokifahamu, hao wanajeshi 300,000 sio wa kawaida
Acha uongo, hao 300k wengi ni majeshi ya akiba only 170k ndio regular army. Why Wakenya mnapenda kushabikia vita wakati mmeona Al shabaab wanavyowatoa jasho huko NorthEastern!
Hakika Mwenyezi Mungu ni shahidi kwa yale mmayoyapitia ndugu zangu wapalestina. Bila shaka haki yenu mtaipata siku ya kuyama. Kwa hakika Mwenyezi Mungu ni hakimu juu ya mahakimu
Mkuu ni kweli wameamua kujitoa muhanga!
Operation ya nchi kavu ni ngumu!
Changamoto iliyopo pale ni kwamba chini ya ardhi ya Gaza kuna mahandaki mengi na njia za chini (tunnels) ambazo kule wapiganaji wa Hamas wanajificha na silaha, na inasemekana kuna hata viwanda vya silaha!
Sasa IDF nchi kavu, wanapenyaje kwenye mahandaki hayo kirahisi?
Vita haziendi hivyo, majeshi mengi yanategemea air cover ikiwemo Israel ila hizo militias kama hamas zimezoea Street to Street Battle same as Cuba invasion au Vietrnam War zimeonyesha mara zote kwamba kuwa na jeshi kubwa na hatari haina impact kwenye ground warfare.Punguza mihemko uelewe nilichomaanisha, rudi usome upya bila hisia za kijinga.
Wanajeshi wa Israel sio wa kawaida kama mlivyozoea, hawa huwa ni watu ambao hupigana wakiwa tayari kujitoa mhanga, maana wanapigana na adui walioaminishwa kidini kuwafuta kabisa kwenye dunia hii.
Kasome nini maana ya kiapo wanachokula wanajeshi wa Israel kinachoitwa "Samson option".
Hivyo ndugu zako wanapojifanya mahodari wa kujitoa mhanga, basi wanakuja kupambana na machizi zaidi yao mara kumi.
Wapelestina wengi wamegoma kuhama, wamesema tutafia majumbani kwetu. Kuhamisha wapelestina zaidi ya millions moja ni ndoto ya mchana- utter madness. Wounded bull Israel runs amok-soon to be slaughtered in the tunnels of Gaza.
Amepata kisingizio, labda hata walilipanga hilo
Sasa waambieni kama kweli wanapenda wale mabikira wenu, basi wasiondoke wakae hapo wajichimbie, huwa mnajinasibu kama msiojali kifo, haya wanakuja machizi zaidi yenu mara kumi, Muisraeli anapopigania kizazi chake huwa zombi yaani tayari kufa kwa lolote, hao magaidi wenu wa dini watafagiwa mpaka mtakoma huu ujinga huwa mnaufanya kila sehemu.
Miarabu yote ipo pembeni inajiangalizia isijue la kufanya....
Vita ina ibada.yani mpo vitani alafu useme kanivizia nilikuwa kwenye ibada[emoji23][emoji23]Aibu gani?. Kuvizia watu wapo kwenye ibada na sherehe ndio aibu. Jumamosi ni siku ya ibada kwa Israel, Hamas wakalijua Hilo, so wakaona wachukue mateka na kuua watu. Sasa ngoja tuone mwisho maana Israel akichukua eneo lote la Gaza, hasara itakuwa kwa Hamas.
Mbona Hitler aliwachinja million 6 na hakuna kitu walifanya!!? Hao wana back up ya USA tu ndio inayowapa lifeline otherwise sielewi exaggerations za humu ndani.Kwa hivyo wazee wa kujitoa mhanga kisa dini wanakwenda kupambana na wanajeshi ambao wapo tayari kujitoa mhanga mara kumi yao,
Vita haziendi hivyo, majeshi mengi yanategemea air cover ikiwemo Israel ila hizo militias kama hamas zimezoea Street to Street Battle same as Cuba invasion au Vietrnam War zimeonyesha mara zote kwamba kuwa na jeshi kubwa na hatari haina impact kwenye ground warfare.
Doesn't matter atashinda nani ila vifo ni vingi sababu ni hand to hand combat so tuache ushabiki. Mbona Kenya mna jeshi imara ila mnashindwa na wezi wa ngombe kule kapedo au Trans mara??
Wengi humu mnashabikia tu ila hamjawahi ona madhara ya vita hasa streetfight!!