Maelfu ya mbu waliobadilishwa vinasaba (GMO) wameachiliwa nchini Djibouti katika kukomesha kuenea kwa spishi vamizi malaria

Maelfu ya mbu waliobadilishwa vinasaba (GMO) wameachiliwa nchini Djibouti katika kukomesha kuenea kwa spishi vamizi malaria

Mbona wenzetu ulaya hakuna malaria je kwanini tusitumie mbinu zao au na wao watumie hao mbu basi.
 
Kichwa chako kimejaa makamasi mkuu,so you find releasing GMO mosquitoes into the environment normal.Wewe either ni kihiyo or part of the problem.Poyoyoyo wewe kwa kweli.Sio normal kwa kuwa hujui how they will react in the natural environment.Then nime eleza wazi kwamba Oxitec and the Globalists cannot be trusted for anything.Anyway niachane na wewe kwa kuwa it seems ni kilaza.

Finally nikukumbushe kwamba warning people of dangers ahead is one of the most moral things to do.Jesus Christ did the same.It is only Satan who hides things so that he may catch people by surprise so that they do not have time to prepare and kill them.God does not do that he alerts people,and that is exactly what I have done.
Tatizo lako hua unajiona bonge la Intelligent kumbe bumunda tu,
Hivi kama wengetaka kutumaliza si wangetumia njia nyepesi tu na zisizo na gharama since day one,
Wana donate vingapi vya bure na vinatusaidia angalau kimtindo kusogeza siku?
Drugs unapata kwa hati punguza kama Sio bure,hata viwanda vyetu vya ndani vinaagiza material kwao,
Haya nguo na takataka chungu mzima bado na mikopo wanawapa maskini nyie yaani waanze kutumia njia ndefu kuwaangamiza Ili wagundue nini?
Kipi unachokifanya hawajui hapa tu unatumia application zao ni Wana uwezo wa ku launch mionzi hatari kwenye hicho ki simu chako within a minute una dead?

Wapi utakwepa Mwamba?
Don't think you are great Elite than others here and people from JF whatcha you like
Punda wa Herode you know nothing about World but unajichoresha kama mfuasi wa mfufua misukule or is you nigga?
😁😁
 
Tatizo lako hua unajiona bonge la Intelligent kumbe bumunda tu,
Hivi kama wengetaka kutumaliza si wangetumia njia nyepesi tu na zisizo na gharama since day one,
Wana donate vingapi vya bure na vinatusaidia angalau kimtindo kusogeza siku?
Drugs unapata kwa hati punguza kama Sio bure,hata viwanda vyetu vya ndani vinaagiza material kwao,
Haya nguo na takataka chungu mzima bado na mikopo wanawapa maskini nyie yaani waanze kutumia njia ndefu kuwaangamiza Ili wagundue nini?
Kipi unachokifanya hawajui hapa tu unatumia application zao ni Wana uwezo wa ku launch mionzi hatari kwenye hicho ki simu chako within a minute una dead?

Wapi utakwepa Mwamba?
Don't think you are great Elite than others here and people from JF whatcha you like
Punda wa Herode you know nothing about World but unajichoresha kama mfuasi wa mfufua misukule or is you nigga?
😁😁
Ndio maana mimekuàmbia wewe poyoyo.So kwa kuwa the establishment wanaagiza vitu kwao basi ni sawa,you yourself can't have a second thought kuwa inawezekana kufanya hivyo ni makosa,kwa kuwa inawezekana vifaa hivyo kiafya havifai.Halafu eti najifanya mimi ni bonge la intelligent,mawazo ya chini kweli haya.Kwa hiyo mtu akikupa mawazo mbadala amejifanya bonge la intelligent.

Tatizo ni kwamba mnatetea vitu vya kijinga, utetezi ambao unaweza kuwafanya wasiojua waone vitu hivyo ni sahihi na kuvikubali,kitu ambacho lazima tukipinge kwa nguvu zetu zote.Hatuwezi kukubali watu wetu waharibiwe na uchumia tumbo wa watu wachache Kama ninyi.
 
Yani Hao wenye bongo zao wakiamua kutuua Waafrika Wote ni swala dogo sana
Ulikuwa umejichimbia wapi wewe karibu tena.Anyway Otorong'ong'o kama kawaida yako wewe Mungu is out of your equation.Ila nikuambie hivii,kama ingekuwa rahisi kama unavyodhani,they would have wiped us all by today,kwa kuwa hilo ndilo lengo lao.But they can't because they do what God only allows them to do.Infact hata wao wenyewe wanakiri kwamba,it is proving difficult to do what they want to do.Remember they want the World population to be reduced to 500 zombies people only.
 
Umeongea kitoto sana...Toa takwimu madhara halisi ya hao Mmbu na sio kuhisi tu...apo ulipo unatumia simu za wazungu, dawa za wazungu na vitu kibao kutoka kwao...Next time uje Na Data za kutosha
Mtaalamu anajua kufanya hivyo si sawa.Wamefanya kitu kama hicho Brazil kimeback fire na nilileta mada hapa kuonyesha tatizo hilo.Nilishaleta mada hapa full kuhusu ubaya wa Oxitec kuachia Mbu kwenye wild Florida US.Tatizo ni kwamba vitu muhimu mnavipa lip service mnataka udaku.Hii sio mara ya kwanza Oxitec wana-release GMO mosquitoes to the Wild,na hakuna ushahidi kwamba wanasaidia kudhibiti Malaria,ni utapeli tu wa Bill Gates.Infact anayemjua Bill Gates na Globalists kwa ujumla hawezi kukubali ujinga huu.
 
Hapo imetafutwa style ya kuzalisha tatizo jipya ili watu wauziwe dawa.

Wameushindwa ukimwi miaka karibia 50 sasa ni danadana tu huku waafrika wanaangamia. Badala wangekomaa waumalize kwanza wanahangaika na kuleta vifurushi vya mbu.
 
Kwani wafrika mkiifa wote mnafaida gani kwenye hii dunia zaidi ya hasara tu.......wenda ni mpango wa Mungu kuifuta hii rangi nyeusi iriyotoroka mbinguni kabla haijamaliziwa kuumbwa vizuri.........
 
CHANZO NI BBC SWAHILI

Mbu dume wasiouma aina ya Anopheles stephensi mbu waliotengenezwa na Oxitec, kampuni ya teknolojia ya kibayoteknolojia yenye makao yake makuu nchini Uingereza, hubeba jeni inayoua watoto wa kike kabla ya kukomaa.

Mbu jike pekee ndio wanaouma na kusambaza malaria na magonjwa mengine ya virusi.

Ni mara ya kwanza kwa mbu wa aina hiyo kutolewa Afrika Mashariki na mara ya pili barani humo.

Teknolojia kama hiyo imetumika kwa mafanikio nchini Brazil, Visiwa vya Cayman, Panama, na India, kulingana na Vituo vya Marekani vya Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa (CDC).

Zaidi ya mbu kama hao bilioni moja wameachiliwa kote ulimwenguni tangu 2019, CDC inasema.

Kundi la kwanza la mbu hao waliachiliwa hewani siku ya Alhamisi huko Ambouli, kitongoji cha jiji la Djibouti.

Ni hatua ya majaribio katika ushirikiano kati ya Oxitec Ltd, serikali ya Djibouti na shirika lisilo la kiserikali la Mutualis.

“Tumetengeneza mbu wazuri wasiouma, wasioambukiza magonjwa. Na tunapowaachilia mbu hawa rafiki, wao hutafuta na kujamiiana na mbu wa kike mbaya,” mkuu wa Oxitec Gray Frandsen aliambia BBC.

Mbu hao wanaozalishwa katika maabara hubeba jeni ya "kujizuia" ambayo huzuia watoto wa mbu wa kike kuishi hadi utu uzima wanapooana.

Ni watoto wao wa kiume pekee wanaosalia lakini hatimaye wangekufa, kulingana na wanasayansi wa mradi huo.

Tofauti na mbu dume aina ya Anopheles colluzzi waliotolewa nchini Burkina Faso mwaka wa 2018, mbu hao rafiki wa stephensi bado wanaweza kupata watoto.

Kuachiliwa kwa mbu hao ni sehemu ya Mpango Rafiki wa Mbu wa Djibouti ambao ulianzishwa miaka miwili iliyopita ili kukomesha kuenea kwa Anopheles stephensi, aina vamizi ya mbu waliogunduliwa kwa mara ya kwanza nchini humo mwaka 2012.

Wakati huo nchi ilikuwa kwenye hatihati ya kutokomeza malaria, wakati ilirekodi karibu visa 30 vya malaria. Tangu wakati huo, kesi za malaria zimeongezeka kwa kasi nchini hadi 73,000 kufikia 2020.

Spishi hiyo sasa ipo katika nchi nyingine sita za Afrika - Ethiopia, Somalia, Kenya, Sudan, Nigeria na Ghana.

MY TAKE:
Naomba niseme yafuatayo bila kupepesa macho na bila kumuogopa yoyote,kwa kuwa huu ni uovu wa kupindukia.
1.Hakuna aliyethibitisha kwamba yaliyo ripotiwa kwenye matokeo ya awali ya utafiti wa mradi huo ni kweli.Hata hivyo kutokana na taarifa za ndani za Oxitec,na tabia ya Oxitec,tunajua matokeo hayo yamepikwa na zipo ajenda ya siri ya mauaji ya halaiki.
2.Viongozi waliokubali kuachiwa kwa mbu hawa ni waovu kupindukia.
3.Viongozi waliokubali kuachiwa mbu hawa wamehongwa pesa nyingi.
4.After all they have always intended to exterminate Africans,and this is another chance come true.
4.Viongozi waliokubali kuachiwa kwa mbu hawa au kwa kujua au kutokujua wanashiriki kwenye mpango mwovu kabisa wa kuwau binadamu kwa wingi kwa njia zifuatazo:-
i)Kuzalisha aina ya Mbu ambao watasambaza Malaria isiyo na tiba.
ii)Kuzalisha aina ya Mbu ambao watasambaza Dengue isiyo na tiba.
3.Mbu hawa watatumiwa kama sindano zinazotembea wakisambaza sumu, magonjwa na chanjo za aina mbali mbali zilizolengwa na Globalists kwa bibadamu ikiwa pamoja na chanjo ya Corona bila ridhaa ya mtu.Sindano hizo zinazo-fly kiufupi zitakuwa janga la Dunia na binadamu.

Nimalizie kwa kusema hivi,Shetani ameamua "total onslaught" on humanity.Kwa hiyo nitoe rai kwamba sasa msaada wetu kama binadamu unatoka kwa Mungu tu.Kwa hiyo kila mmoja wetu kama binadamu, amgeukie Mungu na kumlilia kwa msaada.
fanyaa utafiti ili uthibitishe unayoyasema otherwise hizo ni speculations tu.
 
Mbona wenzetu ulaya hakuna malaria je kwanini tusitumie mbinu zao au na wao watumie hao mbu basi.
watuletee na ile baridi yao kali basi.

Kuna aina ya maradhi ambayo huwa yanapatikana katika ukanda wa tropiki tu na ndiyo hayo akina malaria, dengue, ebola, vichocho na kadhalika. Na pia wao wanayo magonjwa yao ambayo huwa hayapatikani huku kwetu.
 
Kwani wafrika mkiifa wote mnafaida gani kwenye hii dunia zaidi ya hasara tu.......wenda ni mpango wa Mungu kuifuta hii rangi nyeusi iriyotoroka mbinguni kabla haijamaliziwa kuumbwa vizuri.........
Hujitambui mkuu.Ungejua Waafrika ndio watu Mungu aliokusudia na Wazungu ni Mazeruzeru tu.Hivi hamjiulizi kwa nini Wazungu hawana Melanin na kwa nini sisi tuna Melanin.Curiosity zero.

Wazungu sio original race,wametokana na sisi kama Mazeruzeru tu,jiongezeni
 
CHANZO NI BBC SWAHILI

Mbu dume wasiouma aina ya Anopheles stephensi mbu waliotengenezwa na Oxitec, kampuni ya teknolojia ya kibayoteknolojia yenye makao yake makuu nchini Uingereza, hubeba jeni inayoua watoto wa kike kabla ya kukomaa.

Mbu jike pekee ndio wanaouma na kusambaza malaria na magonjwa mengine ya virusi.

Ni mara ya kwanza kwa mbu wa aina hiyo kutolewa Afrika Mashariki na mara ya pili barani humo.

Teknolojia kama hiyo imetumika kwa mafanikio nchini Brazil, Visiwa vya Cayman, Panama, na India, kulingana na Vituo vya Marekani vya Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa (CDC).

Zaidi ya mbu kama hao bilioni moja wameachiliwa kote ulimwenguni tangu 2019, CDC inasema.

Kundi la kwanza la mbu hao waliachiliwa hewani siku ya Alhamisi huko Ambouli, kitongoji cha jiji la Djibouti.

Ni hatua ya majaribio katika ushirikiano kati ya Oxitec Ltd, serikali ya Djibouti na shirika lisilo la kiserikali la Mutualis.

“Tumetengeneza mbu wazuri wasiouma, wasioambukiza magonjwa. Na tunapowaachilia mbu hawa rafiki, wao hutafuta na kujamiiana na mbu wa kike mbaya,” mkuu wa Oxitec Gray Frandsen aliambia BBC.

Mbu hao wanaozalishwa katika maabara hubeba jeni ya "kujizuia" ambayo huzuia watoto wa mbu wa kike kuishi hadi utu uzima wanapooana.

Ni watoto wao wa kiume pekee wanaosalia lakini hatimaye wangekufa, kulingana na wanasayansi wa mradi huo.

Tofauti na mbu dume aina ya Anopheles colluzzi waliotolewa nchini Burkina Faso mwaka wa 2018, mbu hao rafiki wa stephensi bado wanaweza kupata watoto.

Kuachiliwa kwa mbu hao ni sehemu ya Mpango Rafiki wa Mbu wa Djibouti ambao ulianzishwa miaka miwili iliyopita ili kukomesha kuenea kwa Anopheles stephensi, aina vamizi ya mbu waliogunduliwa kwa mara ya kwanza nchini humo mwaka 2012.

Wakati huo nchi ilikuwa kwenye hatihati ya kutokomeza malaria, wakati ilirekodi karibu visa 30 vya malaria. Tangu wakati huo, kesi za malaria zimeongezeka kwa kasi nchini hadi 73,000 kufikia 2020.

Spishi hiyo sasa ipo katika nchi nyingine sita za Afrika - Ethiopia, Somalia, Kenya, Sudan, Nigeria na Ghana.

MY TAKE:
Naomba niseme yafuatayo bila kupepesa macho na bila kumuogopa yoyote,kwa kuwa huu ni uovu wa kupindukia.
1.Hakuna aliyethibitisha kwamba yaliyo ripotiwa kwenye matokeo ya awali ya utafiti wa mradi huo ni kweli.Hata hivyo kutokana na taarifa za ndani za Oxitec,na tabia ya Oxitec,tunajua matokeo hayo yamepikwa na zipo ajenda ya siri ya mauaji ya halaiki.
2.Viongozi waliokubali kuachiwa kwa mbu hawa ni waovu kupindukia.
3.Viongozi waliokubali kuachiwa mbu hawa wamehongwa pesa nyingi.
4.After all they have always intended to exterminate Africans,and this is another chance come true.
4.Viongozi waliokubali kuachiwa kwa mbu hawa au kwa kujua au kutokujua wanashiriki kwenye mpango mwovu kabisa wa kuwau binadamu kwa wingi kwa njia zifuatazo:-
i)Kuzalisha aina ya Mbu ambao watasambaza Malaria isiyo na tiba.
ii)Kuzalisha aina ya Mbu ambao watasambaza Dengue isiyo na tiba.
3.Mbu hawa watatumiwa kama sindano zinazotembea wakisambaza sumu, magonjwa na chanjo za aina mbali mbali zilizolengwa na Globalists kwa bibadamu ikiwa pamoja na chanjo ya Corona bila ridhaa ya mtu.Sindano hizo zinazo-fly kiufupi zitakuwa janga la Dunia na binadamu.

Nimalizie kwa kusema hivi,Shetani ameamua "total onslaught" on humanity.Kwa hiyo nitoe rai kwamba sasa msaada wetu kama binadamu unatoka kwa Mungu tu.Kwa hiyo kila mmoja wetu kama binadamu, amgeukie Mungu na kumlilia kwa msaada.
Wazubgu wangekuwa na Nia ya kuwamaliza waafrica wasingehangaika na madawa wangezuia misaada ya chakula na madawa tu mkaisha kwa njaa na magonjwa.
 
fanyaa utafiti ili uthibitishe unayoyasema otherwise hizo ni speculations tu.
Naomba ufuate link ifuatayo uone ukweli wa ninayo ongea.It is not speculation.


Ila ukweli ni kwamba huhitaji PhD kujua kwamba the technology is dangerous.Yaani it is so obvious,Ninachoshangaa ni Wanadamu kuwa na IQ ndogo kiasi kwamba wanakubali vitu ambavyo it is even a danger to themselves.Very pathetic indeed.
 
Wazubgu wangekuwa na Nia ya kuwamaliza waafrica wasingehangaika na madawa wangezuia misaada ya chakula na madawa tu mkaisha kwa njaa na magonjwa.
Hapa ndipo inapo onekana wazi kwamba ninyi watu hamjitambui.Laiti mngejua Waafrika ni watu gani duh!We are the original people who God created mkuu,Wazungu ni Mazeruzeru tu.Have you ever asked yourself kwa nini Wazungu hawana Melanin na sisi tuna Melanin.Takeni kujua mambo,msikae kihasara hasara tu.

Anzia kwenye link ifuatayo ili ujitambue na ujue Wazungu ni watu wa namna gani.


View: https://youtu.be/_8gKT7M2EGk?si=u7J7nPDcHOmeooJ-
Historia yenu imefutwa ili msijitambue na muwaone wao ni watu wa maana kumbe si lolote ni Mazeruzeru tu.Mkuu kama ngozi ya Mzungu ingekuwa original wasingekuwa na matatizo ya magonjwa ya ngozi mengi hasa Cancers za ngozi wakikaa juani.Matatizo yao ya ngozi yanafanana sana na ya Albino.Hamjiulizi kwa nini?
 
Hujitambui mkuu.Ungejua Waafrika ndio watu Mungu aliokusudia na Wazungu ni Mazeruzeru tu.Hivi hamjiulizi kwa nini Wazungu hawana Melanin na kwa nini sisi tuna Melanin.Curiosity zero.

Wazungu sio original race,wametokana na sisi kama Mazeruzeru tu,jiongezeni
Ayo maneno ya melanin, curiosity zero umeandika kwa lugha yao alafu unasema nini mkuu ,mzungu akufundishe kila kitu kuhusu mwili wako alafu useme umemzidi nini..........
 
Back
Top Bottom