Maelfu ya mbu waliobadilishwa vinasaba (GMO) wameachiliwa nchini Djibouti katika kukomesha kuenea kwa spishi vamizi malaria

Maelfu ya mbu waliobadilishwa vinasaba (GMO) wameachiliwa nchini Djibouti katika kukomesha kuenea kwa spishi vamizi malaria

Na wasiwasi wangu ni huu. Mara wameevolve sijui ikawaje kikazaliwa kitu kingine tofauti kabisa, kiumbe cha ajabu kisichodhibitika.
Yes,hiyo ni likehood.Sasa binadamu tumekuwa wajinga kiasi kwamba we support things which we are not even sure of.Wengine wanao support ofcourse ni makarai ya zege ya akina Bill Gates na Globalists na wapo kwenye payrolls zao,Ila sisi wengine tunaojua ubaya wa tekinolojia hii ni lazima tupinge kwa nguvu zetu zote.
 
Yes,hiyo ni likehood.Sasa binadamu tumekuwa wajinga kiasi kwamba we support things which we are not even sure of.Wengine wanao support ofcourse ni makarai ya zege ya akina Bill Gates na Globalists na wapo kwenye payrolls zao,Ila sisi wengine tunaojua ubaya wa tekinolojia hii ni lazima tupinge kwa nguvu zetu zote.
Point. Binafsi sioni kwanini wachache waplay around na nature kwa ajili ya wengi ilihali pakitokea tatizo moja kwa moja wengi wanaangamia.
 
Jibu maswali niliyo weka,usiniletee ujinga.After all hata Msukuma alikuwa sahihi 100 %.Huwezi kufanya research bila a "Null Hypothesis." Ya Msukuma ilikuwa a Hypothesis which needs to be proved by Scientific Research.Mambo msiyo yajua msiyaingilie mnaonekana vilaza.
Huna akili na hustahili majibu sahihi narudia tena HUNA AKILI akili Yako ni ya mtoto wa Sekondari inaongozwa na hisia
 
Huna akili na hustahili majibu sahihi narudia tena HUNA AKILI akili Yako ni ya mtoto wa Sekondari inaongozwa na hisia
Mkuu, embu tuwe neutral. Tuassume tu kila mtu yupo sawa katika hili halafu tulichunguze.

Mfano, Kuku wa kisasa, mbegu za mazao ya kisasa zimeleta tatizo la kansa ambalo halikuwa kubwa, hawa mbu wa kisasa huoni kama wanaweza leta kitu?
 
"My take" hizo take zako umezidraw kutoka wapi? Watu wako maabara miaka na miaka kufanya tafiti we unakuja kutoa opinion zako hivyo tu.

Tafiti inapingwa na tafiti brother kaka.
 
Mkuu, kwani kwanini wazungu wanataka tufe wote?
1.Shetani kazi zake ni kuua, kuiba, na kuharibu.Sasa kwa kuwa Globalists na kwa ukweli Wazungu wote wanatawaliwa na Shetani,ni obvious watataka kutekeleza matakwa ya Shetani,kuua.
2.Wazungu hawataki kabisa Waafrika.Why?Sisi ndio umbaji halisi wa Mungu,na ndio maana tuna Melanin,na Wazungu hawana.Wazungu wametokana na sisi kama walivyo Albinos,na wanalijua hili.Ndio maana wanatuchukia sana,na wanajaribu kutumia kila mbinu kuficha ukweli huu na kutudhalilisha.Kwa bahati mbaya sana kwao ukweli huu sasa umefahamika and they have no where to hide .Mkuu hivi unajua kwamba kwa kiasi kikubwa Wazungu wana matatizo ya ngozi waliyonayo Albinos?Jitambueni,tembeeni kifua mbele.Wazungu ni sub-human.

Fuata link ifuatayo uone ukweli huo.

View: https://youtu.be/_8gKT7M2EGk?si=1jg7O1_6FSbq44JD
 
CHANZO NI BBC SWAHILI

Mbu dume wasiouma aina ya Anopheles stephensi mbu waliotengenezwa na Oxitec, kampuni ya teknolojia ya kibayoteknolojia yenye makao yake makuu nchini Uingereza, hubeba jeni inayoua watoto wa kike kabla ya kukomaa.

Mbu jike pekee ndio wanaouma na kusambaza malaria na magonjwa mengine ya virusi.

Ni mara ya kwanza kwa mbu wa aina hiyo kutolewa Afrika Mashariki na mara ya pili barani humo.

Teknolojia kama hiyo imetumika kwa mafanikio nchini Brazil, Visiwa vya Cayman, Panama, na India, kulingana na Vituo vya Marekani vya Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa (CDC).

Zaidi ya mbu kama hao bilioni moja wameachiliwa kote ulimwenguni tangu 2019, CDC inasema.

Kundi la kwanza la mbu hao waliachiliwa hewani siku ya Alhamisi huko Ambouli, kitongoji cha jiji la Djibouti.

Ni hatua ya majaribio katika ushirikiano kati ya Oxitec Ltd, serikali ya Djibouti na shirika lisilo la kiserikali la Mutualis.

“Tumetengeneza mbu wazuri wasiouma, wasioambukiza magonjwa. Na tunapowaachilia mbu hawa rafiki, wao hutafuta na kujamiiana na mbu wa kike mbaya,” mkuu wa Oxitec Gray Frandsen aliambia BBC.

Mbu hao wanaozalishwa katika maabara hubeba jeni ya "kujizuia" ambayo huzuia watoto wa mbu wa kike kuishi hadi utu uzima wanapooana.

Ni watoto wao wa kiume pekee wanaosalia lakini hatimaye wangekufa, kulingana na wanasayansi wa mradi huo.

Tofauti na mbu dume aina ya Anopheles colluzzi waliotolewa nchini Burkina Faso mwaka wa 2018, mbu hao rafiki wa stephensi bado wanaweza kupata watoto.

Kuachiliwa kwa mbu hao ni sehemu ya Mpango Rafiki wa Mbu wa Djibouti ambao ulianzishwa miaka miwili iliyopita ili kukomesha kuenea kwa Anopheles stephensi, aina vamizi ya mbu waliogunduliwa kwa mara ya kwanza nchini humo mwaka 2012.

Wakati huo nchi ilikuwa kwenye hatihati ya kutokomeza malaria, wakati ilirekodi karibu visa 30 vya malaria. Tangu wakati huo, kesi za malaria zimeongezeka kwa kasi nchini hadi 73,000 kufikia 2020.

Spishi hiyo sasa ipo katika nchi nyingine sita za Afrika - Ethiopia, Somalia, Kenya, Sudan, Nigeria na Ghana.

MY TAKE:
Naomba niseme yafuatayo bila kupepesa macho na bila kumuogopa yoyote,kwa kuwa huu ni uovu wa kupindukia.
1.Hakuna aliyethibitisha kwamba yaliyo ripotiwa kwenye matokeo ya awali ya utafiti wa mradi huo ni kweli.Hata hivyo kutokana na taarifa za ndani za Oxitec,na tabia ya Oxitec,tunajua matokeo hayo yamepikwa na zipo ajenda ya siri ya mauaji ya halaiki.
2.Viongozi waliokubali kuachiwa kwa mbu hawa ni waovu kupindukia.
3.Viongozi waliokubali kuachiwa mbu hawa wamehongwa pesa nyingi.
4.After all they have always intended to exterminate Africans,and this is another chance come true.
4.Viongozi waliokubali kuachiwa kwa mbu hawa au kwa kujua au kutokujua wanashiriki kwenye mpango mwovu kabisa wa kuwau binadamu kwa wingi kwa njia zifuatazo:-
i)Kuzalisha aina ya Mbu ambao watasambaza Malaria isiyo na tiba.
ii)Kuzalisha aina ya Mbu ambao watasambaza Dengue isiyo na tiba.
3.Mbu hawa watatumiwa kama sindano zinazotembea wakisambaza sumu, magonjwa na chanjo za aina mbali mbali zilizolengwa na Globalists kwa bibadamu ikiwa pamoja na chanjo ya Corona bila ridhaa ya mtu.Sindano hizo zinazo-fly kiufupi zitakuwa janga la Dunia na binadamu.

Nimalizie kwa kusema hivi,Shetani ameamua "total onslaught" on humanity.Kwa hiyo nitoe rai kwamba sasa msaada wetu kama binadamu unatoka kwa Mungu tu.Kwa hiyo kila mmoja wetu kama binadamu, amgeukie Mungu na kumlilia kwa msaada.
Hizi hofu na uhafidhina wa dini ndio kumeifanya dunia ichelewe kimaendeleo,hao mbu lengo lake kuu ni kukomesha kizazi cha mbu hao waenenzao magonjwa,umekili wazi mpango huo umefanikiwa katika nchi mbalimbali kudhibiti magonjwa,sasa hofu yako ni nini?acha uhafidhina wa kidini waza kuhusu maendeleo na sayansi yenye majibu yanayoonekana kuliko hizo dini.
 
Hizi hofu na uhafidhina wa dini ndio kumeifanya dunia ichelewe kimaendeleo,hao mbu lengo lake kuu ni kukomesha kizazi cha mbu hao waenenzao magonjwa,umekili wazi mpango huo umefanikiwa katika nchi mbalimbali kudhibiti magonjwa,sasa hofu yako ni nini?acha uhafidhina wa kidini waza kuhusu maendeleo na sayansi yenye majibu yanayoonekana kuliko hizo dini.
Sio suala la Dini,fuata link ifuatayo,najua nisemayo,sibahatishi.

 
"My take" hizo take zako umezidraw kutoka wapi? Watu wako maabara miaka na miaka kufanya tafiti we unakuja kutoa opinion zako hivyo tu.

Tafiti inapingwa na tafiti brother kaka.
Mkuu,
Binafsi kila nikitazama mabanda ya kuku huwa nawaza kwanini hawafikirii kuhusu upendo tunaowaonyesha kwa kuwajengea banda la kuishi? Ukweli ni kwamba hata sisi binadamu tumezidiana akili sana kama tulivyowazidi kuku akili. Huenda kuna ambaye anatazama binadamu wenzake kama kuku tu. Hofu kama hizi ndo huzaa mawazo kama ya mleta mada.
 
Huna akili na hustahili majibu sahihi narudia tena HUNA AKILI akili Yako ni ya mtoto wa Sekondari inaongozwa na hisia
Fuata link ifuatayo mkuu,sibahatishi.Ninayosema nayajua.Niseme pia kwamba huhitaji PhD kujua kwamba tekinolojia hiyo ni mufilisi and defunct hata kabla haija tumiwa,IQ ndogo tu should make that clear.Ninyi aidha mnatumiwa au hamna independent minds.Mnapaswa kuhurumiwa sana,yaani mna endorse vitu vya kijinga kabisa.
 
1.Shetani kazi zake ni kuua, kuiba, na kuharibu.Sasa kwa kuwa Globalists na kwa ukweli Wazungu wote wanatawaliwa na Shetani,ni obvious watataka kutekeleza matakwa ya Shetani,kuua.
2.Wazungu hawataki kabisa Waafrika.Why?Sisi ndio umbaji halisi wa Mungu,na ndio maana tuna Melanin,na Wazungu hawana.Wazungu wametokana na sisi kama walivyo Albinos,na wanalijua hili.Ndio maana wanatuchukia sana,na wanajaribu kutumia kila mbinu kuficha ukweli huu na kutudhalilisha.Kwa bahati mbaya sana kwao ukweli huu sasa umefahamika and they have no where to hide .Mkuu hivi unajua kwamba kwa kiasi kikubwa Wazungu wana matatizo ya ngozi waliyonayo Albinos?Jitambueni,tembeeni kifua mbele.Wazungu ni sub-human.

Fuata link ifuatayo uone ukweli huo.

View: https://youtu.be/_8gKT7M2EGk?si=1jg7O1_6FSbq44JD

Ok, sawa. Let say upo sahihi 100% swali linakuja, Hakuna watu weusi wauaji? Hawa tuwaweke kundi lipi? Maana hapo congo tu kuna watu wanachinja kabisa bila woga.
 
Mkuu,
Binafsi kila nikitazama mabanda ya kuku huwa nawaza kwanini hawafikirii kuhusu upendo tunaowaonyesha kwa kuwajengea banda la kuishi? Ukweli ni kwamba hata sisi binadamu tumezidiana akili sana kama tulivyowazidi kuku akili. Huenda kuna ambaye anatazama binadamu wenzake kama kuku tu. Hofu kama hizi ndo huzaa mawazo kama ya mleta mada.
Nikuambie nini mkuu,wala sio hofu,ni ukweli.Mimi naongelea vitu ambavyo nina uhakika navyo na hata akina Bill Gates,Claus Schwab,Noah Hariri,Rothschild, Rockefeller na Globalists wengine wanakiri ukweli huu.Wanataka kupunguza wanadamu dunianiani wabaki 500 million zombies tu.Jamani hivi ninyi mbona mmelala sanaa!Eh!!

Sasa huu mradi wa Mbu wa GMO ni nini,ni mradi mmoja wapo you Kati ya mingi ya kupunguza watu duniani,amkeni jamani,mbona mmelala sanaa,tunamalizwa.
 
Ok, sawa. Let say upo sahihi 100% swali linakuja, Hakuna watu weusi wauaji? Hawa tuwaweke kundi lipi? Maana hapo congo tu kuna watu wanachinja kabisa bila woga.
Hakuna race ovu kama Wazungu,I know their schemes,wewe inawezekana hujui.Weusi wauaji wapo,ila wameiga kwa wlWazungu.Waafrika Ni very spiritual people,hata Wazungu(Ma-Albino) wanakiri.

Na hapo Congo unajua nani wapo hapo,Mmarekani na Khazarian Mafia(Wanaojiita Waisraeli kumbe sio.Hawa ndio wanaotawala Israel).Hawa ndio wanao wafundisha Wakongomani kuua.
 
Hakuna race ovu kama Wazungu,I know their schemes,wewe inawezekana hujui.Weusi wauaji wapo,ila wameiga kwa wlWazungu.Waafrika Ni very spiritual people,hata Wazungu(Ma-Albino) wanakiri.
Ok boss
 
Nikuambie nini mkuu,wala sio hofu,ni ukweli.Mimi naongelea vitu ambavyo nina uhakika navyo na hata akina Bill Gates,Claus Schwab,Noah Hariri,Rothschild, Rockefeller na Globalists wengine wanakiri ukweli huu.Wanataka kupunguza wanadamu dunianiani wabaki 500 million zombies tu.Jamani hivi ninyi mbona mmelala sanaa!Eh!!

Sasa huu mradi wa Mbu wa GMO ni nini,ni mradi mmoja wapo you Kati ya mingi ya kupunguza watu duniani,amkeni jamani,mbona mmelala sanaa,tunamalizwa.
Kuna wakati ambao idadi ya binadamu ilipungua ghafla duniani? Au imekuwa ikiongezeka tu?
 
Kuna wakati ambao idadi ya binadamu ilipungua ghafla duniani? Au imekuwa ikiongezeka tu?
Nchi nyingi duniani birth and fertility rates are at all time low.Hata watu wanaongezeka, but it is at a decreasing rate.

Fuata link ifuatayo uone fertility rates na birth rates za US, they are at all time low.Sitakuambia kwa nini,but it is worth knowing,find out yourself why.


Hii ndio trend ya almost all countries world-wide.
 
Nchi nyingi duniani birth and fertility rates are at all time low.Hata watu wanaongezeka, but it is at a decreasing rate.

Fuata link ifuatayo uone fertility rates na birth rates za US, they are at all time low.Sitakuambia kwa nini,but it is worth knowing,find out.

Kwa hiyo tunaongezeka kwa kupungua. Ok, hofu ya idadi kuwa kubwa sana inasababishwa na nin? Kwanini Wenye akili hao unaowaita Albino hawataki tuwe wengi sana?
 
Fuata link ifuatayo mkuu,sibahatishi.Ninayosema nayajua.Niseme pia kwamba huhitaji PhD kujua kwamba tekinolojia hiyo ni mufilisi and defunct hata kabla haija tumiwa,IQ ndogo tu should make that clear.Ninyi aidha mnatumiwa au hamna independent minds.Mnapaswa kuhurumiwa sana,yaani mna endorse vitu vya kijinga kabisa.
Kwamba iko hivyo au haiko hivyo ila uhalisia ni kuwa una kiwango Cha kawaida sana Cha akili na uwezo wa kuzuia hisia
Mkuu, embu tuwe neutral. Tuassume tu kila mtu yupo sawa katika hili halafu tulichunguze.

Mfano, Kuku wa kisasa, mbegu za mazao ya kisasa zimeleta tatizo la kansa ambalo halikuwa kubwa, hawa mbu wa kisasa huoni kama wanaweza leta kitu?
Inawezekana kuwa mleta mada akawa sahihi lakini mtindo mpya wa maisha umeathiri jamii yote iwe wazungu au waafrika Sasa hizi hoja kuwa wazungu wanataka kuondoa kizazi Cha waafrika sidhani kama ni sawa.
Bidii kubwa sana inafanywa kupambana na magonjwa duniani na kuweza kumudu mabadiliko ya tabia nchi hatuwezi kujificha katika hisia na kurudisha nyuma bidii hizo
 
Inawezekana kuwa mleta mada akawa sahihi lakini mtindo mpya wa maisha umeathiri jamii yote iwe wazungu au waafrika Sasa hizi hoja kuwa wazungu wanataka kuondoa kizazi Cha waafrika sidhani kama ni sawa.
Bidii kubwa sana inafanywa kupambana na magonjwa duniani na kuweza kumudu mabadiliko ya tabia nchi hatuwezi kujificha katika hisia na kurudisha nyuma bidii hizo
Ni kweli. Side effect ya bidii kama ya mbu wa kisasa wangeziweka wazi. Maana tumeona mambo mengi ya kisasa yanakuja na side effect.
 
Kwa hiyo tunaongezeka kwa kupungua. Ok, hofu ya idadi kuwa kubwa sana inasababishwa na nin? Kwanini Wenye akili hao unaowaita Albino hawataki tuwe wengi sana?
Ngoja nikupe pia picha ya fertility rates duniani kote,hii hapa👇

Hao unaowaita wana akili,hawana akili yeyote, nimesoma nao darasa moja,najua wanavyoteseka kwenye jua,na harufu mbaya wanayotoa wakiwa kwenye jua, so mtu haniambii kitu kuhusu wao.

Mkuu mnajua,haya mambo by now mnapaswa muwe mnayajua tayari.Hivi unajua kwa nini Vita haishi Congo,Syria,Iraq,Israel-Palestine,Russia-Ukraine nk.?Struggle for power and resources.Nadhani Sina haja ya kuendeleza zaidi,the rest utamaliza mwenyewe,labda kama wewe ni poyoyo.
 
Back
Top Bottom