Simba mundu
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 767
- 1,058
Yeah ubaya unaenea kulko uzuri ,Wacha uenee na wote tuwe waisilamu alaf baadae tuunde vikundi vya kigaidi tuuane wote dunia ubaki Haina watuUislam mnavozidi kuupinga na kuuchukia na wenyewe unazidi kueneaaa ,,na hamna kitu mnafanya zaidi ya hasira tuh
Na usikute asilimia kubwa ya hao waandamanaji ni migrants waliokimbia makwao kwasababu ya machafukoKwanini hawaendi kwenye nchi za Kiislam?
Wawaachie Waislam nchi yao.Wajerumani wachague moja wapitishe hiyo sheria au wahame ujerumani hata kama ni kwao
Katiba ya Ujeruman inaruhusu sharia ya dini ya kiisilamu?Sasa watoa comment mnalalamika nini wavaa kobazi wakiandamana ujerumani?
Ujerumani ni moja ya nchi zinazonasibishwa na uliberali pamoja na demokrasia.
Hivyo maandamano hayo ni sehemu ya kutimiza madai ya demokrasia.
sasa ikiwa waislamu wa kijerumani wanatimiza haja za kidemokrasia tatizo liko wapi?
Kwa kwelWajerumani wachague moja wapitishe hiyo sheria au wahame ujerumani hata kama ni kwao
Ukiona hivyo ujue kuna ka kikundi ka watu kameshatamani kuwa na nguvu ya kisiasa kupitia dini ili nao wafaidi keki ya taifa hata kama hawana elimu ya kuajiriwa au kuingia moja kwa moja kwenye mfumo.Imagine ujerumani iwe na Ayatollah anayemzidi nguvu waziri mkuu,kama walivyotaka kujipatia ajira za bure kwa mgongo wa serikali ya bongo kupitia mahakama ya kadhiZanzibar kuna wajomba zako wanataka bongo flavour ipigwe marufuku
Kwan yule afande LGTBQ wa Zanzibar naye ni mzungu? Mbona Zanzibar mpaka kweny shereh kubwa kubwa Hawa mashoga wanapewa nafas waimbe?Badala ya kwenda uarabuni kuandamana wanaandamana ujerumani,uislamu ni kueneza chuki na uarabu tu hakuna jipya...Yani Bila uislamu Dunia ingekuwa mahali salama sana kuishi sema tu nawapenda kwenye kukataa mambo ya kizungu kama LGTBQ
Wahenga walisema: "Familiarity breeds contempt" kibongo-bongo unaweza kusema "Mazoea huleta dharau".Yani hawa watu wanatafuta tu uchokozi kwenye nchi za watu……Huwezi ukamkuta Mzungu yupo Saudi Arabia au Iraq anaomba serikali za huko waruhusu uwepo wa shughuli za kikristo kwenye nchi hzo
Lakini hawa waarab wamepewa hifadhi ya kuishi kwenye nchi za kikristo,wanaanza kuleta mambo ya Middle East
Hawa wanapaswa warudi kwao tu,wakaendelee kuvaa makobazi
Kwa sababu nchi za Kiislam zimeharibiwa na NATOKwanini hawaendi kwenye nchi za Kiislam?
Yani hawa watu wanatafuta tu uchokozi kwenye nchi za watu……Huwezi ukamkuta Mzungu yupo Saudi Arabia au Iraq anaomba serikali za huko waruhusu uwepo wa shughuli za kikristo kwenye nchi hzo
Lakini hawa waarab wamepewa hifadhi ya kuishi kwenye nchi za kikristo,wanaanza kuleta mambo ya Middle East
Hawa wanapaswa warudi kwao tu,wakaendelee kuvaa makobazi
Waislamu wakiwa kwenye umati ambao wao ndio wachache(minority) wanapigania haki za wachache lakini wao wakiwa ndio wengi (majority), wachache hawana haki.
Ushahidi huu hapa tena siyo wa mbali, ni kutoka hapa Zenji...Siyo kweli.
leta ushahidi wako kama u mkweli.
Kwani hawali kitimoto hawa?? Hasa hawa wabongo, hawa wenzetu tu sema wanazuga ili vimisaada vya tende viendelee kuja toka kwa akina ami wa arabuni, ila ukiwakuta chimbo wanafakamia sana kitimoto, pombe ndo kabisaa wanapeleka kama chaiNdio mle na kitimoto