Maelfu ya Waislamu wenye msimamo mkali waandamana Ujerumani wakitaka uwepo wa Sheria za Kiislamu (Sharia Laws)

Maelfu ya Waislamu wenye msimamo mkali waandamana Ujerumani wakitaka uwepo wa Sheria za Kiislamu (Sharia Laws)

Yaani hawa watu wedekezwa sana,mwisho wa siku wanajiona ni special fulani ksbb ya kupewa Uhuru kupitiliza. Nchi za ulaya muda si mrefu zitachoka kuwalea hawa. Muda si mrefu wataanza kutengenezwa. Muda utaongea
 
View attachment 3125049
Tamasha la kunywa Beer huko Hamburg Germany.

Mnataka kuwapekea Sheria za Kijinga za Ilmu ya kesho Kiama😁

Eti Waswali sana wakishakufa ndio watakunywa Beer huko Peponi?!

Wajerumani ni Watu Smart kamwe hamuwawezi.

Na ni Watu waluosoma sana hawadanganyiki kirahisi na Story za Mzee wa Kiarabu aliyeishi Jangwani karna ya Saba.
Yaani wahaamiaji wanataka hawa kinadada wavae Yale mavazi Yao ya kufunika mwili mzima wakati watu wameshazoea kujiachia! Wakapimwe ubongo hao wahamiaji. Na hapa ndipo nakubaliana na sera za Trump. Ukiona hauwezi kuendana na desturi za eneo husika, Baki kwenu.
 
ni bora kwa macho yako na sio macho ya wengine, kama ni culture bora kuliko zingine si hao wengine wote wangeifuata? je kuna mtu ambae hapendi kufuata au kupata kile kilicho bora zaid?
Nakushangaa wewe, siyo hao wengine.

Unangoja nini?
 
Hapana huu ni uwongo bi’mkubwa

Halaf fungua dm yako kuna kitu ningependa unisaidie
 
Nakushangaa wewe, siyo hao wengine.

Unangoja nini?
kilicho bora always kinafuatwa bila kipingamizi chochote we ajuza... kabla hujanishangaa mimi unatakiwa kwanza ukishangae hicho ambacho unakisema ni bora kuliko vyote na kinalindwa kwa upanga
 
Impact za illegal and mass migration zimeanza kuonekana huko Ujerumani na hii ni baada ya maelfu ya waislamu kuonekana wakiandamana huko Ujerumani wakitaka kuwepo na sheria za kiislamu kwenye nchi hiyo yaani Sharia Laws.

I have no words, video inajieleza!

Soma Pia: Wakristo wa Yemen walishinikizwa kufuata sheria za Kiislamu: ‘Tulilazimishwa kuvaa hijabu’



Siku zote nikisema mudi ni janga la dunia, watu hawanielewi.
 
Uislam popote.
Unaona watu wa mudi majanga ambayo wanaleta kwa wengine. Kwa hiyo wanalazimisha uislam yaani, kile chombo cha kueneza utamaduni wa kiarabu kitaasisishwe katika ulimwengu wa magharibi.
😛
 
Uongo.
. Sharia ni bora kuliko sheria yoyote za kibinadam duniani.

Chombo gani kinachoaminika kilicho pasisha sharia law kuwa ndiyo sheria bora kabisa duniani kuwahi kutokea. Kama siyo ujinga wenu wa kutaka kuanza kueneza tamaduni, mila na desturi za waarabu kwa mabeberu.
 
Hakuna culture bora duniani zaidi ya Uislam.

Asante sana kwa kukubali kwa uwazi kabisa kuwa uislam ni culture ya waarab.
Ila kwa ubora wake duniani sikubaliani nawe, maana hakuna chombo huru kilichowahi thibitisha kuwa culture ya waarabu ni bora kuliko nyingine yoyote duniani.
 
Tulijitahidi hata kutumia Google Translation kumsihi Chancellor Angel Mercel aachane na hawa wakimbizi fake wakatudharau. Sasa ndiyo wamejua hawajui. Muda si mrefu wataanza kuonyesha wakiwachinja wenyeji.

Halafu wanazaana utafikiri nyegere. Kabinti miaka around 15 kameanza kuzaa. Je akifika 35 si katakuwa na timu ya mpira kabisa
 
Wewe pia kuna muda akili huwa zinakutoka, jiuliwe wewe ni warabu? Au huo ujinga wenu hujui kuwa umetoka kwa waarabu! Jaribu kujipa thamani wewe kama wewe na siyo hayo majitu. Mbona ni mzee na una elimu lakini unajifana kama Lucas Mwashambwa

Huyu FaizaFoxy anawaona waarabu na chombo chao cha kueneza tamaduni, mila na desturi (uislam) zao kuwa ni bora sana kuliko chochote
 
Back
Top Bottom