Maelfu ya Waislamu wenye msimamo mkali waandamana Ujerumani wakitaka uwepo wa Sheria za Kiislamu (Sharia Laws)

Maelfu ya Waislamu wenye msimamo mkali waandamana Ujerumani wakitaka uwepo wa Sheria za Kiislamu (Sharia Laws)

Yesu Kristo anakaribia kurudi
Kama bado hujamwamini amua Sasa kwa ajili unyakuo wa kanisa lake huku ulimwenguni

Kinachotupeleka mbinguni sio Dini ya kikirsto wa kiislamu Bali Kumwamini Yesu Kristo moyoni Mwako binafsi

Hao Kama ni raia halali wa uingereza wa uingireza wanahaki ya kudai haki zao

Na washika Dini ya kikirsto wataitisha nao maandamo ya christian nationalism Kama Usa,
MWISHO ni vurugu hapo katikati

Ukiona nchi ambayo illikuwa ya kidini Tena na chama Cha kikristo ikiangukia kwenye Hali Kama hii ni Dalili

Usiitegemee Dini yako kukupeleka mbinguni Bali Amini njia ya kweli na uzima Yesu Kristo
 
Yesu Kristo anakaribia kurudi
Kama bado hujamwamini amua Sasa kwa ajili unyakuo wa kanisa lake huku ulimwenguni

Kinachotupeleka mbinguni sio Dini ya kikirsto wa kiislamu Bali Kumwamini Yesu Kristo moyoni Mwako binafsi

Hao Kama ni raia halali wa uingereza wa uingireza wanahaki ya kudai haki zao

Na washika Dini ya kikirsto wataitisha nao maandamo ya christian nationalism Kama Usa,
MWISHO ni vurugu hapo katikati

Ukiona nchi ambayo illikuwa ya kidini Tena na chama Cha kikristo ikiangukia kwenye Hali Kama hii ni Dalili

Usiitegemee Dini yako kukupeleka mbinguni Bali Amini njia ya kweli na uzima Yesu Kristo

Wapi Yesu Alikuambia umfuate yeye , usimpakazie Yesu
 
Kwani Sharia Law ndio
Uislamu?
Ninavyojua Uislamu imeandikwa kwenye Qurani nje ya hapo ni tamaduni za watu tu.
Ni Sheria za zama za Giza.
Kulazimisha watu waishi kama tamaduni za Waarabu.
Sharia law ndio kitu gani?
 
Back
Top Bottom