Maelfu ya Wananchi Wamiminika Katika Mapokezi Mazito ya Balozi Dkt Emmanueli Nchimbi na CPA Amos Makala Mkoani Simiyu

Na walivyo maskini, mmewachota Kwa Hadi ya nyama na ubwabwa mkutanoni. Napajua Simiyu kuliko neno lenyewe Simiyu
 
Na walivyo maskini, mmewachota Kwa ahadi ya nyama na ubwabwa mkutanoni. Napajua Simiyu kuliko neno lenyewe Simiyu
 
Naona unaumia sana na kuteseka sana moyoni mwako unapoona mafuriko ya watu wakiminika katika mikutano ya CCM
Mafuriko ya CCM au wananchi mkuu!?? Hapo naona watu wamevaa CCM pamoja na wanafunzi waliolazimishwa kwenda kumpokea kiongozi wa CCM
 
Nikionaga picha kama hizi ndiyo huwa najiuliza hivi hii nchi ina wagonjwa wa akili kiasi gani? Je kwa nini Mungu aliwanyima akili waTanzania?
Wakitoka hapo 9 katika 10 ya hao hawajui kesho wataishije. Lakini kesho wapo na watesaji (sadists) wao, Tundu Lisu anawapa nadharia ya demokrasia lakini hawaelewi!

Vanity! Huwezi kumwokoa asiyejijua. It is striving after wind.

…..,,,,,,, niepushi nisinywe kikombe hiki cha sumu ya CCM
 
Wivu utakuuwa mwaka huu.
 
Mafuriko ya CCM au wananchi mkuu!?? Hapo naona watu wamevaa CCM pamoja na wanafunzi waliolazimishwa kwenda kumpokea kiongozi wa CCM
Kama unaweza kuwalazimisha mamillioni ya watu kuhudhuria.basi nenda na wewe ukaandae mkutano mkubwa wa aina hiyo.
 
Ni ukweli usiopiopingika,wewe uko kwenu huko ya huku huyajui ila huyu mtu hatumpendi,bisha utakavyo lakini huku ataangukia pua labda mchakachue kama kawaida yenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…