Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Ukraine ni hatari sasa ni mwendo wa piga nikupige
Ukraine anazidi kukomaa kila siku.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukraine ni hatari sasa ni mwendo wa piga nikupige
sio ukrain ni NATOUkraine anazidi kukomaa kila siku.
Unaandika kama umekatika kichwaBila shaka hapo ndipo utaelewa hoja ya Russia kuwa Ukraine asijiunge na NATO, maana yake ni kuwa usalama wa Urusi utakuwa hatarini iwapo Ukraine atakuwa mwanachama wa NATO.
Vv
Wakati mwigine ni vigumu watu kukuelewa ulivyo kuwa wired upstairs by your MAKER!! Muda wote una overwhelm JF international server folder na adithi za kitoto toto tu - hata ujishitukii, mfano ukilinganisha source anazo ziquote akalingaisha a tafsiri zako za ku- exaggerate mambo vinaonekana ni vitu viwili tofauti kama Mbingu na Dunia.
Ujinga wa Russia wa kutaka kujitanua ndio itawafanya wasiwe na imani Ukraine ikijiunga na Nato kwani Nato hawatakubali huu upumbavu.Bila shaka hapo ndipo utaelewa hoja ya Russia kuwa Ukraine asijiunge na NATO, maana yake ni kuwa usalama wa Urusi utakuwa hatarini iwapo Ukraine atakuwa mwanachama wa NATO.
Vv
Ukiitwa mpumbavu usiseme umeonewa.Bila shaka hapo ndipo utaelewa hoja ya Russia kuwa Ukraine asijiunge na NATO, maana yake ni kuwa usalama wa Urusi utakuwa hatarini iwapo Ukraine atakuwa mwanachama wa NATO.
Vv
Hakuna counter offensive iliyofanywa na Ukraine ikakosa matokeo chanya. Hii ya awamu hii inaweza ikafanya Ukraine akarejesha eneo kubwa zaidi na zaidi kuliko ilivyofikiriwa.Kumbe ukraine akipigwa makombora usalama wa urusi upo sawa, lakini ukraine akigawana maumivu na russia hapo usalama wa urusi unakuwa mashakani. Usalama wa urusi ni kuachana na nchi ya watu. Bwege ameshtuka anataka haki yake kwa vyovyote, huwezi kumnyamazisha kwa kumziba mdomo lazima Crimea irudi ukraine ili urusi iwe na amani. Subirini kimbunga kinachokuja siku chache zijazo.
Ha ha haUnaandika kama umekatika kichwa
Upo sahihi kiongozi, mzigo ukipigwa hapo Russia hakika juhudi za kutafuta amani zitapatikana.Njia pekee kuisha hii vita ni kama Ukraine ataweza kuhamishia vita Urusi, ikibidi pale Moscow kabisa.
Aliivamia Ukraine hata kabla haijanza fikiria kujiunga na NATO hlf kama Putin anapenda amani kwann asingerekebisha yale yaliyomlazim Ukraine kutaka kujiunga na umoja wa Ulaya sio NATO maana Ukraine haijawai tuma maombi NATOWell said,be blessed - swali hapa ni,je, ni wangapi wanalichukulia seriously Urusi inapo weka wazi their concern kuhusu usalama wa taifa lao pindi Ukraine ikijiunga na NATO.
Angalia kinacho endelea hivi sasa huko Ukraine which goes to proves that Putin concerns about his Nation's security was right all along