Maendeleo hayana chama wala ukabila au udini. Prof. Lipumba angetuvusha kama angeteuliwa kuwa Waziri wa Mipango, aliivusha Rwanda

Maendeleo hayana chama wala ukabila au udini. Prof. Lipumba angetuvusha kama angeteuliwa kuwa Waziri wa Mipango, aliivusha Rwanda

Dr Akili

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2011
Posts
5,119
Reaction score
4,569
Haina ubishi kwamba huyu mnyamwezi ni mahili sana wa mipango ya kiuchumi. Anatambuliwa na nchi mbali mbali hapa duniani. Mafanikio ya kiuchumi na mipango mizuri ya nchi kama Rwanda yametokana na mchango wa nguli huyu waliyemkodi kwa mwaka mmoja nchini kwao. Hata Uganda walimtumia.

Watu kama hawa ni hadhina kubwa kwa nchi. Hata Freeman Mbowe ni miongoni mwao. Si busara tukasubiri hadi wapate uraisi ndiyo tuweze kufaidika na vipaji vyao kwani uraisi kamwe hawataweza kuupata, iwe jua au mvua haiwezekani. Tuwatumie kwa kuwateua kuwa mawaziri kwenye wizara walizonazo kipaji kama ilivyofanyika kwa James Mbatia ambaye hakuweza ku perform vizuri na hivyo kukosa uwaziri.
 
Profesa Pumba, zamani tulidanganywa eti huyu ni Profesa wa uchumi namba moja duniani.

Kama hiyo ndio hoja yako basi tumteuwe Zitto Kabwe maana ni mshauri wa uchumi wa Ujerumani, najuwa utashangaa kwa sababu huelewi hata maana ya consultant ni nini kwamba hata Mo Dewji ni mshauri wa uchumi Ramaphosa wa South Africa
 
Haina ubishi kwamba huyu mnyamwezi ni mahili sana wa mipango ya kiuchumi. Anatambuliwa na nchi mbali mbali hapa duniani. Mafanikio ya kiuchumi na mipango mizuri ya nchi kama Rwanda yametokana na mchango wa nguli huyu waliyemkodi kwa mwaka mmoja nchini kwao. Hata Uganda walimtumia.

Watu kama hawa ni hadhina kubwa kwa nchi. Hata Freeman Mbowe ni miongoni mwao. Si busara tukasubiri hadi wapate uraisi ndiyo tuweze kufaidika na vipaji vyao kwani uraisi kamwe hawataweza kuupata, iwe jua au mvua haiwezekani. Tuwatumie kwa kuwateua kuwa mawaziri kwenye wizara walizonazo kipaji kama ilivyofanyika kwa James Mbatia ambaye hakuweza ku perform vizuri na hivyo kukosa uwaziri.

KATIBA YA RWANDA UNAIJUA?KWA KATIBA YA TANZANIA HATA HATA UWALETE VIONGOZI WA NCHI ZOTE ZA G20 HAZIWEZI KUTUVUSHA
 
Haina ubishi kwamba huyu mnyamwezi ni mahili sana wa mipango ya kiuchumi. Anatambuliwa na nchi mbali mbali hapa duniani. Mafanikio ya kiuchumi na mipango mizuri ya nchi kama Rwanda yametokana na mchango wa nguli huyu waliyemkodi kwa mwaka mmoja nchini kwao. Hata Uganda walimtumia.

Watu kama hawa ni hadhina kubwa kwa nchi. Hata Freeman Mbowe ni miongoni mwao. Si busara tukasubiri hadi wapate uraisi ndiyo tuweze kufaidika na vipaji vyao kwani uraisi kamwe hawataweza kuupata, iwe jua au mvua haiwezekani. Tuwatumie kwa kuwateua kuwa mawaziri kwenye wizara walizonazo kipaji kama ilivyofanyika kwa James Mbatia ambaye hakuweza ku perform vizuri na hivyo kukosa uwaziri.

Hiyo Rwanda imepiga hatua gani kiuchumi!!!??? Walau ungesema Kenya ungeishawishi mamlaka ya uteuzi.
 
Haina ubishi kwamba huyu mnyamwezi ni mahili sana wa mipango ya kiuchumi. Anatambuliwa na nchi mbali mbali hapa duniani. Mafanikio ya kiuchumi na mipango mizuri ya nchi kama Rwanda yametokana na mchango wa nguli huyu waliyemkodi kwa mwaka mmoja nchini kwao. Hata Uganda walimtumia.

Watu kama hawa ni hadhina kubwa kwa nchi. Hata Freeman Mbowe ni miongoni mwao. Si busara tukasubiri hadi wapate uraisi ndiyo tuweze kufaidika na vipaji vyao kwani uraisi kamwe hawataweza kuupata, iwe jua au mvua haiwezekani. Tuwatumie kwa kuwateua kuwa mawaziri kwenye wizara walizonazo kipaji kama ilivyofanyika kwa James Mbatia ambaye hakuweza ku perform vizuri na hivyo kukosa uwaziri.
ni lipumba yupi unayemsema? Huyu huyu aliyemshauri mwinyi kuchapisha noti mpaka ya elfu kumi badala ya kuimarisha ukusanyaji kodi mwinyi alipomshtukia akamtimua?

Akaokotwa na museveni nako akashtukiwa....Bila shaka ulikuwa bado mdogo hujui haya

Lipumba is good as a critic aliye nje kufurahisha mashabiki wake kama wewe si katika utekeleza.
 
Lipumba kwenye uchumi ni super bright... kwenye mipango ya kiuchumi .one of the best...
Lakini vile vile kwenye kuwatambua watu best kwenye uchumi WA kufaa kushika nafasi Kama waziri wa fedha,gavana wa bank .n.k. Lipumba Yuko na connection ya vichwa vingi vya ndani na nje ambavyo vimesambaa duniani vinaweza kuwa na msaada kuliko Mwigulu na Gavana WA sasa .....

Shida ni siasa
 
Haina ubishi kwamba huyu mnyamwezi ni mahili sana wa mipango ya kiuchumi. Anatambuliwa na nchi mbali mbali hapa duniani. Mafanikio ya kiuchumi na mipango mizuri ya nchi kama Rwanda yametokana na mchango wa nguli huyu waliyemkodi kwa mwaka mmoja nchini kwao. Hata Uganda walimtumia.

Watu kama hawa ni hadhina kubwa kwa nchi. Hata Freeman Mbowe ni miongoni mwao. Si busara tukasubiri hadi wapate uraisi ndiyo tuweze kufaidika na vipaji vyao kwani uraisi kamwe hawataweza kuupata, iwe jua au mvua haiwezekani. Tuwatumie kwa kuwateua kuwa mawaziri kwenye wizara walizonazo kipaji kama ilivyofanyika kwa James Mbatia ambaye hakuweza ku perform vizuri na hivyo kukosa uwaziri.
Lakini kwanza tujiulize hivi nia zetu ni kufanya maendeleo ya Nchi nzima au ni maendeleo ya familia moja moja zilizo teule ?
 
Mzee, sio kwamba hizi kazi huwa tunatoa tu kwa yeyote.

Kuna swala la maslahi ya kikundi mpaka Mtu mmoja mmoja, yaani Mtoa kazi.

Kama unajua mfumo unaotumika kwa zile kazi zetu zile za kusimamia barabarani utakuwa umenielewa.
 
Rwanda???
Ndiyo, Rwanda na Uganda walimtumia na aliwavusha. Rwanda ndiyo inaongoza kwa kasi ya ukuaji wa uchumi katika nchi za Afrika Mashariki ikifuatiwa na Uganda. Kasi ya uchumi kukua ya Rwanda ni asilimia 7.5% na Uganda ni 6.5%. Sisi ni 4.5%. Yote haya ni kwa sababu ya mchango mkubwa wa Prof Lipumba.
 
Haina ubishi kwamba huyu mnyamwezi ni mahili sana wa mipango ya kiuchumi. Anatambuliwa na nchi mbali mbali hapa duniani. Mafanikio ya kiuchumi na mipango mizuri ya nchi kama Rwanda yametokana na mchango wa nguli huyu waliyemkodi kwa mwaka mmoja nchini kwao. Hata Uganda walimtumia.

Watu kama hawa ni hadhina kubwa kwa nchi. Hata Freeman Mbowe ni miongoni mwao. Si busara tukasubiri hadi wapate uraisi ndiyo tuweze kufaidika na vipaji vyao kwani uraisi kamwe hawataweza kuupata, iwe jua au mvua haiwezekani. Tuwatumie kwa kuwateua kuwa mawaziri kwenye wizara walizonazo kipaji kama ilivyofanyika kwa James Mbatia ambaye hakuweza ku perform vizuri na hivyo kukosa uwaziri.
Siku hizi chawa wengi mno
 
Jambo la kukimbilia kweny siasa tu tulimemfanya asitumie akili yake na kuchagua kuwa mtu wa propaganda what if angekuwa mtaalamu tu wa mambo ya uchumi...kwamba alishindwa kuisaidia nchi mpaka ateuliwe kuwa raisi?

Kujiingiza kweny siasa ndo kaharibu taaluma yake.
 
Jambo la kukimbilia kweny siasa tu tulimemfanya asitumie akili yake na kuchagua kuwa mtu wa propaganda what if angekuwa mtaalamu tu wa mambo ya uchumi...kwamba alishindwa kuisaidia nchi mpaka ateuliwe kuwa raisi?

Kujiingiza kweny siasa ndo kaharibu taaluma yake.
Ile brief case yake iliyo na taulo dawa ya mswaki na mswaki pamoja na sabuni , angali bado anatembea nayo ?
by the way lile godoro lake lingalipo kule Buguruni ?
 
Haina ubishi kwamba huyu mnyamwezi ni mahili sana wa mipango ya kiuchumi. Anatambuliwa na nchi mbali mbali hapa duniani. Mafanikio ya kiuchumi na mipango mizuri ya nchi kama Rwanda yametokana na mchango wa nguli huyu waliyemkodi kwa mwaka mmoja nchini kwao. Hata Uganda walimtumia.

Watu kama hawa ni hadhina kubwa kwa nchi. Hata Freeman Mbowe ni miongoni mwao. Si busara tukasubiri hadi wapate uraisi ndiyo tuweze kufaidika na vipaji vyao kwani uraisi kamwe hawataweza kuupata, iwe jua au mvua haiwezekani. Tuwatumie kwa kuwateua kuwa mawaziri kwenye wizara walizonazo kipaji kama ilivyofanyika kwa James Mbatia ambaye hakuweza ku perform vizuri na hivyo kukosa uwaziri.
@jiwe angavu njoo uzi wako huu #maendeleo hayana chama.
 
ni lipumba yupi unayemsema? Huyu huyu aliyemshauri mwinyi kuchapisha noti mpaka ya elfu kumi badala ya kuimarisha ukusanyaji kodi mwinyi alipomshtukia akamtimua?

Akaokotwa na museveni nako akashtukiwa....Bila shaka ulikuwa bado mdogo hujui haya

Lipumba is good as a critic aliye nje kufurahisha mashabiki wake kama wewe si katika utekeleza.
Ni mwanasiasa zaid ya intellectual
 
Back
Top Bottom