songo mwene
Member
- Jan 12, 2014
- 91
- 101
Maendeleo huletwa na wananchi wenyewe kwa kulipa kodi, ni jukumula Serikali kuhakikisha inatengeneza sera na namna bora ya kuhakikisha kila Mwananchi analipa kodi,
Serikali ya awamu ya Sita iliona ni bora kuziingiza kodi kwenye miamala ya simu ili kila unapofanya muamala ikatwe kodi moja kwa moja.
Jambo Hilo ni zuri pengine linaweza kuwa na changamoto zake pengine kuhusu ukubwa wa makato lkn nia ni njema.
Siku za hivi karibuni kupitia mitandao ya kijamii tuliona wachina wakitaka kuumiliki uwanja wa ndege wa nchi ya Uganda baada ya kushindwa kulipa deni lao hii inatupa funzo kuwa kila Mwananchi aendelee kulipa kodi ili kuepuka mikopo kutoka mataifa makubwa kwani mikopo hiyo huwa na riba kubwa kwahiyo Serikali iendelee kubuni vyanzo vya mapato bila kumuumiza Mwananchi wa kawaida.
Serikali ya awamu ya Sita iliona ni bora kuziingiza kodi kwenye miamala ya simu ili kila unapofanya muamala ikatwe kodi moja kwa moja.
Jambo Hilo ni zuri pengine linaweza kuwa na changamoto zake pengine kuhusu ukubwa wa makato lkn nia ni njema.
Siku za hivi karibuni kupitia mitandao ya kijamii tuliona wachina wakitaka kuumiliki uwanja wa ndege wa nchi ya Uganda baada ya kushindwa kulipa deni lao hii inatupa funzo kuwa kila Mwananchi aendelee kulipa kodi ili kuepuka mikopo kutoka mataifa makubwa kwani mikopo hiyo huwa na riba kubwa kwahiyo Serikali iendelee kubuni vyanzo vya mapato bila kumuumiza Mwananchi wa kawaida.