BongoTz
JF-Expert Member
- Nov 3, 2006
- 272
- 3
Hii hapa ndo' facebook page: http://www.facebook.com/pages/Katiba-Mpya2010/112231008845580#!/pages/Katiba-Mpya2010/112231008845580?v=wallMkuu kwanini usiitengenezee group page Facebook...?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii hapa ndo' facebook page: http://www.facebook.com/pages/Katiba-Mpya2010/112231008845580#!/pages/Katiba-Mpya2010/112231008845580?v=wallMkuu kwanini usiitengenezee group page Facebook...?
Ruksa!Mkuu Guevara, those are some great points. Nitaziongeza wenye hard copy ya petition (kwa ruhusa yako lakini)
Shukrani, mkuu!! Nitafanya hivyo. Umesaini petition lakini?Ruksa!
Hujakosea. Kuna Petition mbili zenye malengo tofauti. Petition ya jana yenye watu zaidi ya 100+, inahusu kuishinikiza serikali kuwekeza kwenye mradi wa umeme wa Stieglers Gorge. Petition yenyewe inapatikana hapa:TATIZO LA UMEME: TUPATIENI 'STIEGLERS GORGE' PetitionMkuu(Bongo TZ) hivi kuna Petition mbili? hebu check again niliyoiona jana watu karibu 90 walikua wamesha sign hii ya leo naona 3 tu vp??
Nimependa wazo la wakuu wa mikoa kupigiwa kura. Rais wa Tanzania ana madaraka mno ya kuijichagulia tu watu anaowataka yeye
Tutapigia kura vingozi wangapi wandugu? Sometimes muwe realistic! Na hao viongozi wa kuchaguliwa ndio huwa hawafanyi madudu?
Tutapigia kura vingozi wangapi wandugu? Sometimes muwe realistic! Na hao viongozi wa kuchaguliwa ndio huwa hawafanyi madudu?
Mkuu, Buchanan: I think suala la kuwapigia wakuu wa mikoa kura, is a very realistic thing. So far tunapiga kura za aina tatu kama sikosei: (a) Udiwani (b) Ubunge, and (c) Urais. Kama Diwani anayeongoza Kata anapewa umuhimu wa kupigiwa kura, iweje useme kuwa kumpigia mkuu wa mkoa kura ni jambo lisilowezekana? Binafsi, nadhani pendekezo la mkuu wa mkoa kupigiwa kura, ni pendekezo la muhimu zaidi ya hata ya lile la kuwapigia kura madiwani, na wabunge.Tutapigia kura vingozi wangapi wandugu? Sometimes muwe realistic! Na hao viongozi wa kuchaguliwa ndio huwa hawafanyi madudu?
Thanks Seniorita kwa kuwahimiza watu wasaini petition. Nawashuru wale wote ambao wamefanya hivyo tayari. I mean, hapa JF kuna ideas nzuri sana. Lakini tusipoamka na kuanza kutranslate hizo aideas kwenda kwenye vitendo, tutakuwa tunaifanyia nchi yetu disservice. Please go and sign the petition.Wale ambao hawajafanya hivyo, hima hima basi tuweke vidole vyetu kwenye petition; people's power=democracy
Mkuu, Edward Teller: unaruhusiwa pia kutoa mapendekezo yako kuhusu ni nini ungependa kiwemo kwenye Katiba Mpya tunayodai. Ukisha sign petition, kuna sehemu inakuruhusu kuweka comment, please put your comment there. Hizo comment zitapitiwa na watu wenye utaalamu kwenye mambo ya sheria, then comment zote zilizokaa vizuri, zitaingizwa kwenye hard copy ya petition. Naona Dr. Wilbroad Slaa ameitikia wito na kusaini petition. Naomba akina Zitto, Lissu,na Mbowe pia waige mfano wa mzee wetu, wasaini petition. Hope nimejibu swali lako.mchakato wa katiba nimeupenda-ila sijaona alezungumzia swala la muungano-naombeni pia liwe kwenye priorities zetu
nimekusoma mkuu-nitafanya hivyomkuu, edward teller: Unaruhusiwa pia kutoa mapendekezo yako kuhusu ni nini ungependa kiwemo kwenye katiba mpya tunayodai. Ukisha sign petition, kuna sehemu inakuruhusu kuweka comment, please put your comment there. Hizo comment zitapitiwa na watu wenye utaalamu kwenye mambo ya sheria, then comment zote zilizokaa vizuri, zitaingizwa kwenye hard copy ya petition. naona dr. Wilbroad slaa ameitikia wito na kusaini petition. naomba akina zitto, lissu,na mbowe pia waige mfano wa mzee wetu, wasaini petition. Hope nimejibu swali lako.