Maendeleo sio kipaumbele cha Wananchi wa Tanzania, Tunachotaka ni Katiba mpya.

Maendeleo sio kipaumbele cha Wananchi wa Tanzania, Tunachotaka ni Katiba mpya.

ProMagufuli

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2021
Posts
253
Reaction score
270
"Sasa sisi tuna simple solution kuwasaidia haya yote;
👉 Hatuko tayari kuendelea na hizi nonsense theories zenu za kukuza uchumi
👉Tumeridhika hapa tulipo na hatutaki kwenda hata hatua moja mbele mpaka tupate katiba
👉CCM hamna uwezo tena wa kukuza uchumi wala kuleta maendeleo" (Asiyefahamika july 16 2021)
Mimi naunga mkono hoja.
Kwa sasa sisi wananchi hatuhitaji maendeleo tena. Hapa tulipofika panatutosha. Tunahitaji katiba mpya kwanza ndio itatuletea uchumi thabiti.
Tunahitaji revolutionary ili tuelewane. Tujadiliane tukiwa na makovu. Kama kwa hiari imeshindikana.

#Katibampyakwamaendeleo.
#katibampyakwanza.
 
Hata ifike mwaka 2500, CCM haiwezi kuleta maendeleo Tanzania [emoji23]
 
"Sasa sisi tuna simple solution kuwasaidia haya yote;
[emoji117] Hatuko tayari kuendelea na hizi nonsense theories zenu za kukuza uchumi
[emoji117]Tumeridhika hapa tulipo na hatutaki kwenda hata hatua moja mbele mpaka tupate katiba
[emoji117]CCM hamna uwezo tena wa kukuza uchumi wala kuleta maendeleo" (Asiyefahamika july 16 2021)
Mimi naunga mkono hoja.
Kwa sasa sisi wananchi hatuhitaji maendeleo tena. Hapa tulipofika panatutosha. Tunahitaji katiba mpya kwanza ndio itatuletea uchumi thabiti.
Tunahitaji revolutionary ili tuelewane. Tujadiliane tukiwa na makovu. Kama kwa hiari imeshindikana.

#Katibampyakwamaendeleo.
#katibampyakwanza.
kwan we mwananchi
 
Katiba mpya ndio kitu gani.
Kwani Taifa ndio linaanza leo?
 
Miongozo thabiti ilishawekwa wakati nchi inaanza ...issue ni imolimentation tu
Wanaoimplement hawatimizi wajibu wao. Hii ni kutokana kuwa muongozo uliopo hauna uwezo wa kuwawajibisha kisawasawa.
 
"Sasa sisi tuna simple solution kuwasaidia haya yote;
[emoji117] Hatuko tayari kuendelea na hizi nonsense theories zenu za kukuza uchumi
[emoji117]Tumeridhika hapa tulipo na hatutaki kwenda hata hatua moja mbele mpaka tupate katiba
[emoji117]CCM hamna uwezo tena wa kukuza uchumi wala kuleta maendeleo" (Asiyefahamika july 16 2021)
Mimi naunga mkono hoja.
Kwa sasa sisi wananchi hatuhitaji maendeleo tena. Hapa tulipofika panatutosha. Tunahitaji katiba mpya kwanza ndio itatuletea uchumi thabiti.
Tunahitaji revolutionary ili tuelewane. Tujadiliane tukiwa na makovu. Kama kwa hiari imeshindikana.

#Katibampyakwamaendeleo.
#katibampyakwanza.
Kama tumeshindwa KUENDELEA kwa MIAKA 60 tufanye Mambo Mengi ikiwa ni KUTAFUTA KATIBA MPYA
 
"Sasa sisi tuna simple solution kuwasaidia haya yote;
👉 Hatuko tayari kuendelea na hizi nonsense theories zenu za kukuza uchumi
👉Tumeridhika hapa tulipo na hatutaki kwenda hata hatua moja mbele mpaka tupate katiba
👉CCM hamna uwezo tena wa kukuza uchumi wala kuleta maendeleo" (Asiyefahamika july 16 2021)
Mimi naunga mkono hoja.
Kwa sasa sisi wananchi hatuhitaji maendeleo tena. Hapa tulipofika panatutosha. Tunahitaji katiba mpya kwanza ndio itatuletea uchumi thabiti.
Tunahitaji revolutionary ili tuelewane. Tujadiliane tukiwa na makovu. Kama kwa hiari imeshindikana.

#Katibampyakwamaendeleo.
#katibampyakwanza.
Uko sahihi. Kaya haiwezi kuendelea kiuchumi kama utaratibu wa kuiongoza kaya hiyo hautoshi. Utaratibu bora wa kujiongoza ndiyo shina la maendeleo kiuchumi.
 
Back
Top Bottom