Maendeleo yasiyoweza kumgusa mwananchi moja kwa moja ni ubatili. Kwa miaka 60 tumepata uhuru lakini CCM haijamsaidia mwananchi wa Kawaida

Maendeleo yasiyoweza kumgusa mwananchi moja kwa moja ni ubatili. Kwa miaka 60 tumepata uhuru lakini CCM haijamsaidia mwananchi wa Kawaida

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Unajenga mabarabara lakini mwananchi hana uwezo wa kulipa nauli na kupanda basi hata kama barabara ni nzuri. Hii haisaidii kitu. Mwananchi lazima awe na kipato cha ziada ili kuwa na uwezo mkubwa kumudu.

Unajenga hospital lakini huduma za kulipia na wananchi hawawezi kumudu inasaidia nini?

Unatoa tamko kuwa elimu ni bure. Lakini michango na gharama za mwanafunzi ni maradufu ya ada ambayo angelipa. Hapa kuna elimu bure?

Mabilioni ya pesa za umma yanayokusanywa kwenye kodi za umma yanakwenda wapi?
 
Unajenga mabarabara lakini mwananchi hana uwezo wa kulipa nauli na kupanda basi hata kama barabara ni nzuri. Hii haisaidii kitu. Mwananchi lazima awe na kipato cha ziada ili kuwa na uwezo mkubwa kumudu.

Unajenga hospital lakini huduma za kulipia na wananchi hawawezi kumudu inasaidia nini?

Unatoa tamko kuwa elimu ni bure. Lakini michango na gharama za mwanafunzi ni maradufu ya ada ambayo angelipa. Hapa kuna elimu bure?

Mabil ya pesa za umma yanayokusanywa kwenye kodi za umma yanakwenda wapi?
Somebody ameamka kutoka usingizini
 
Na bado! wewe tulikuonya mapema sana kwamba Shetani hana rafiki lakini ukatubeza, sasa utalimia meno.
Ni kweli chadema hana Rafiki, jinsi wanavyoshupaa na Halima! Kweli shetani hana Rafiki
 
Unajenga mabarabara lakini mwananchi hana uwezo wa kulipa nauli na kupanda basi hata kama barabara ni nzuri. Hii haisaidii kitu. Mwananchi lazima awe na kipato cha ziada ili kuwa na uwezo mkubwa kumudu.

Unajenga hospital lakini huduma za kulipia na wananchi hawawezi kumudu inasaidia nini?

Unatoa tamko kuwa elimu ni bure. Lakini michango na gharama za mwanafunzi ni maradufu ya ada ambayo angelipa. Hapa kuna elimu bure?

Mabil ya pesa za umma yanayokusanywa kwenye kodi za umma yanakwenda wapi?
🧐 Wooh! Huyu mtoa mada ni Idugunde kweli ninayemfahamu, au kuna mtu ameihack simu yake! Anyway, Makada wote wa ccm mngesimama kwenye ukweli, hii nchi isingechezewa kiasi hiki.

Ila kwa bahati mbaya ndiyo hivyo tena! Mkiwa ndani ya mfumo mnapoteza kabisa network vichwani mwenu! Na mkiwa nje sasa.....! Mnatoa madini balaa kutoka kwenye vichwa vilevile!
 
Unajenga mabarabara lakini mwananchi hana uwezo wa kulipa nauli na kupanda basi hata kama barabara ni nzuri. Hii haisaidii kitu. Mwananchi lazima awe na kipato cha ziada ili kuwa na uwezo mkubwa kumudu.

Unajenga hospital lakini huduma za kulipia na wananchi hawawezi kumudu inasaidia nini?

Unatoa tamko kuwa elimu ni bure. Lakini michango na gharama za mwanafunzi ni maradufu ya ada ambayo angelipa. Hapa kuna elimu bure?

Mabil ya pesa za umma yanayokusanywa kwenye kodi za umma yanakwenda wapi?
Hii ni awamu ya posho brother hakuna namna
 
🧐 Wooh! Huyu mtoa mada ni Idugunde kweli ninayemfahamu, au kuna mtu ameihack simu yake! Anyway, Makada wote wa ccm mngesimama kwenye ukweli, hii nchi isingechezewa kiasi hiki.

Ila kwa bahati mbaya ndiyo hivyo tena! Mkiwa ndani ya mfumo mnapoteza kabisa network vichwani mwenu! Na mkiwa nje sasa.....! Mnatoa madini balaa kutoka kwenye vichwa vilevile!
CC
johnthebaptist
 
Unajenga mabarabara lakini mwananchi hana uwezo wa kulipa nauli na kupanda basi hata kama barabara ni nzuri. Hii haisaidii kitu. Mwananchi lazima awe na kipato cha ziada ili kuwa na uwezo mkubwa kumudu.

Unajenga hospital lakini huduma za kulipia na wananchi hawawezi kumudu inasaidia nini?

Unatoa tamko kuwa elimu ni bure. Lakini michango na gharama za mwanafunzi ni maradufu ya ada ambayo angelipa. Hapa kuna elimu bure?

Mabil ya pesa za umma yanayokusanywa kwenye kodi za umma yanakwenda wapi?
Idugunde the witch one of the accredited and certified f*ol in the forum for the first time ever has posted a sensible thread.
 
Back
Top Bottom