Imenibidi nistuke usingizini nikajua ninaota labda..Na bado ! wewe tulikuonya mapema sana kwamba Shetani hana rafiki lakini ukatubeza , sasa utalimia meno
Nilipokuwa namuonya alidai mimi ni mfanyakazi wa Desderia hotel ya Mbeya, sasa nadhani kishaelewa kwamba mimi ni namba nyingine.Hakika sindano imegusa mfupa
Somebody ameamka kutoka usingiziniUnajenga mabarabara lakini mwananchi hana uwezo wa kulipa nauli na kupanda basi hata kama barabara ni nzuri. Hii haisaidii kitu. Mwananchi lazima awe na kipato cha ziada ili kuwa na uwezo mkubwa kumudu.
Unajenga hospital lakini huduma za kulipia na wananchi hawawezi kumudu inasaidia nini?
Unatoa tamko kuwa elimu ni bure. Lakini michango na gharama za mwanafunzi ni maradufu ya ada ambayo angelipa. Hapa kuna elimu bure?
Mabil ya pesa za umma yanayokusanywa kwenye kodi za umma yanakwenda wapi?
Ni kweli chadema hana Rafiki, jinsi wanavyoshupaa na Halima! Kweli shetani hana RafikiNa bado! wewe tulikuonya mapema sana kwamba Shetani hana rafiki lakini ukatubeza, sasa utalimia meno.
🧐 Wooh! Huyu mtoa mada ni Idugunde kweli ninayemfahamu, au kuna mtu ameihack simu yake! Anyway, Makada wote wa ccm mngesimama kwenye ukweli, hii nchi isingechezewa kiasi hiki.Unajenga mabarabara lakini mwananchi hana uwezo wa kulipa nauli na kupanda basi hata kama barabara ni nzuri. Hii haisaidii kitu. Mwananchi lazima awe na kipato cha ziada ili kuwa na uwezo mkubwa kumudu.
Unajenga hospital lakini huduma za kulipia na wananchi hawawezi kumudu inasaidia nini?
Unatoa tamko kuwa elimu ni bure. Lakini michango na gharama za mwanafunzi ni maradufu ya ada ambayo angelipa. Hapa kuna elimu bure?
Mabil ya pesa za umma yanayokusanywa kwenye kodi za umma yanakwenda wapi?
Hii ni awamu ya posho brother hakuna namnaUnajenga mabarabara lakini mwananchi hana uwezo wa kulipa nauli na kupanda basi hata kama barabara ni nzuri. Hii haisaidii kitu. Mwananchi lazima awe na kipato cha ziada ili kuwa na uwezo mkubwa kumudu.
Unajenga hospital lakini huduma za kulipia na wananchi hawawezi kumudu inasaidia nini?
Unatoa tamko kuwa elimu ni bure. Lakini michango na gharama za mwanafunzi ni maradufu ya ada ambayo angelipa. Hapa kuna elimu bure?
Mabil ya pesa za umma yanayokusanywa kwenye kodi za umma yanakwenda wapi?
UVCCM ni matapeliNa bado! wewe tulikuonya mapema sana kwamba Shetani hana rafiki lakini ukatubeza, sasa utalimia meno.
CC🧐 Wooh! Huyu mtoa mada ni Idugunde kweli ninayemfahamu, au kuna mtu ameihack simu yake! Anyway, Makada wote wa ccm mngesimama kwenye ukweli, hii nchi isingechezewa kiasi hiki.
Ila kwa bahati mbaya ndiyo hivyo tena! Mkiwa ndani ya mfumo mnapoteza kabisa network vichwani mwenu! Na mkiwa nje sasa.....! Mnatoa madini balaa kutoka kwenye vichwa vilevile!
Wao na familia zao wanatibia nje kwa kodi zetuNa ndugu yangu alikua pale muhimbili. Yaani nilifika kumuona nikasema hivi hapa ndio hospital ya taifa tunayotegemea. Huduma ni mbovu plus mazingira
Idugunde the witch one of the accredited and certified f*ol in the forum for the first time ever has posted a sensible thread.Unajenga mabarabara lakini mwananchi hana uwezo wa kulipa nauli na kupanda basi hata kama barabara ni nzuri. Hii haisaidii kitu. Mwananchi lazima awe na kipato cha ziada ili kuwa na uwezo mkubwa kumudu.
Unajenga hospital lakini huduma za kulipia na wananchi hawawezi kumudu inasaidia nini?
Unatoa tamko kuwa elimu ni bure. Lakini michango na gharama za mwanafunzi ni maradufu ya ada ambayo angelipa. Hapa kuna elimu bure?
Mabil ya pesa za umma yanayokusanywa kwenye kodi za umma yanakwenda wapi?
Hopeless replyNa bado! wewe tulikuonya mapema sana kwamba Shetani hana rafiki lakini ukatubeza, sasa utalimia meno.