Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Wabunge wote wa Chadema walitangazwa kwa Shinikizo la nguvu ya umma . Na hata mwaka huu TUNDU ANTIPAS LISSU atatangazwa kuwa raisi kwa shinikizo la nguvu ya ummakwani tume huru haipo? ingekuwa haipo wabunge wa upinzani waliwezaje kuwa wabunge?
Mada iliyopo ni tume huru sasa mbowe kaingiaje hukuMuulize ilo swali mbowe kwann hatak kuachia uenyekit wakat chadema Ina vijana Makin
Kama jecha alivo rudi ccm kuchukua fomuhata mkipewa tume ya malaika kusimamia uchaguzi kuitoa CCM madarakani ni mpaka Yesu arudi.
Swala lako zuri ndio maana jecha akaenda kuchukua fomu kweli muna tume hurukwani tume huru haipo? ingekuwa haipo wabunge wa upinzani waliwezaje kuwa wabunge?
Basi mpeni jechaJmn watu mpo mna upofu acheni ushabiki tu angalia mtu anayejali maisha ya wananchi hata kidogo tu.
Mim nnawahakikishia kiongozi wa upinzani akiishika nchi hii hatakua na tofauti yeyote na Hawa wa ccm.
Tume huru sio ajenda yetuKwa mujibu wa serikali ya awamu ya tano ,imefanya mambo makubwa sana , ununuzi wa ndege ,ujenzi reli ya kisasa SGR, Stiegersgorge , rais aliyepo amefanya makubwa kuliko marais wote waliopita ikiwrmo ujenzi wa viwanda 100 kila mkoa ,kama hivyo ndivyo kwanini wanaogopa tume Huru ya uchaguzi? Ili waonyeshe wananchi wanavyoweweseka.
Mkuu mimi mtumishi nimepigwa 5 - 0...Kwa mujibu wa serikali ya awamu ya tano ,imefanya mambo makubwa sana , ununuzi wa ndege ,ujenzi reli ya kisasa SGR, Stiegersgorge , rais aliyepo amefanya makubwa kuliko marais wote waliopita ikiwrmo ujenzi wa viwanda 100 kila mkoa ,kama hivyo ndivyo kwanini wanaogopa tume Huru ya uchaguzi? Ili waonyeshe wananchi wanavyoweweseka.
Kwan kufanya vitu ving na tume huru vinafanana vipMada iliyopo ni tume huru sasa mbowe kaingiaje huku
Historia ya Magu akiwa Mbunge hadi amekuwa rais , hajawahi kuruhusu awepo mgombea wa kum challenge. Unategemea out of blue aruhusu mazingira ya kumchallenge ?Kwa mujibu wa serikali ya awamu ya tano ,imefanya mambo makubwa sana , ununuzi wa ndege ,ujenzi reli ya kisasa SGR, Stiegersgorge , rais aliyepo amefanya makubwa kuliko marais wote waliopita ikiwrmo ujenzi wa viwanda 100 kila mkoa ,kama hivyo ndivyo kwanini wanaogopa tume Huru ya uchaguzi? Ili waonyeshe wananchi wanavyoweweseka.
Mawazo ya dark ageshata mkipewa tume ya malaika kusimamia uchaguzi kuitoa CCM madarakani ni mpaka Yesu arudi.
Usibishane na mpumbavuUmeulizwa swali, kama mnajiamini kiasi hicho, ni kwanini basi mnaiogopa Tume huru ya uchaguzi kama ugonjwa wa corona?
Tatizo ni moja tu, wamebeba hoja ya maendeleo ya vitu, lkn wemekosa kabisa hoja juu ya maendeleo ya watu ndani ya awamu hii ya tano. Pasipo hata kujali nini ambacho kimefanyika na hata kulazimishwa kupewa "coverage" ndani ya vyombo vya habari vilivyofungwa mikono. Bado tunaiona "style" ya uongozi huu ikiwa ni "naïve" kwa kuilinganisha na awamu zilizotangulua.Kwa mujibu wa serikali ya awamu ya tano ,imefanya mambo makubwa sana , ununuzi wa ndege ,ujenzi reli ya kisasa SGR, Stiegersgorge , rais aliyepo amefanya makubwa kuliko marais wote waliopita ikiwrmo ujenzi wa viwanda 100 kila mkoa ,kama hivyo ndivyo kwanini wanaogopa tume Huru ya uchaguzi? Ili waonyeshe wananchi wanavyoweweseka.
Waliorudi na wanaorudi ccm ni wengi.upinzani unazidi kupoteza dira kila baada ya masaa 24.Kama jecha alivo rudi ccm kuchukua fomu
Tume huru ipi ambayo unaitaka? USA au UK pamoja na Germany ndio wakikwambia unakubali, lakini sisi tukikwambia husikilizi. Kizazi potofu ambacho kinategemea kulishwa uji wa maziwa wakati wanaamka asubuhi bila kufanya kazi yoyote, kizazi kinachopendelea ushoga, kizazi kinachopendelea kuabudu wazungu, kizazi kisichojitambua.Kwa mujibu wa serikali ya awamu ya tano ,imefanya mambo makubwa sana , ununuzi wa ndege ,ujenzi reli ya kisasa SGR, Stiegersgorge , rais aliyepo amefanya makubwa kuliko marais wote waliopita ikiwrmo ujenzi wa viwanda 100 kila mkoa ,kama hivyo ndivyo kwanini wanaogopa tume Huru ya uchaguzi? Ili waonyeshe wananchi wanavyoweweseka.
Hiyo mbege imekulewesha? bora unywe togwa au utakimbila konyagi kama DJ Mbowe?Tatizo ni moja tu, wamebeba hoja ya maendeleo ya vitu, lkn wemekosa kabisa hoja juu ya maendeleo ya watu ndani ya awamu hii ya tano. Pasipo hata kujali nini ambacho kimefanyika na hata kulazimishwa kupewa "coverage" ndani ya vyombo vya habari vilivyofungwa mikono. Bado tunaiona "style" ya uongozi huu ikiwa ni "naïve" kwa kuilinganisha na awamu zilizotangulua.