Maendeleo Zanzibar mchawi Tanganyika

Maendeleo Zanzibar mchawi Tanganyika

and 300

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
26,398
Reaction score
36,406
Tukisherehekea Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar niwakumbushe tu
1. Namna ambavyo Zanzibar ni Maarufu Kwa utalii wa fukwe. Ila kikwazo Ni Tanganyika,
Mfano, Mtalii Lazima apate viza ya Muungano ili kuingia Zanzibar (ambao mgao wake haueleweki).
 
umeme unaotoka kwetu,ajira na bajeti nayo ni uchawi au tunalazima watu kuwa nchi ya oman
 
Tukisherehekea Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar niwakumbushe tu namna ambavyo Zanzibar ni Maarufu Kwa utalii wa fukwe. Ila kikwazo Ni Tanganyika, mtalii Lazima apate viza ya Muungano ili kuingia Zanzibar (ambao mgao wake haueleweki).
KWA HERUFI KUBWA : MCHAWI WA ZANZIBAR NI WAZANZIBAR WENYEWE NOW DORA IPO MIKONONI KWENU KILA PANDE MUPO KIMYA INSHU YA MUUNGANO KAMA HAIPO ILA SIKU MUKIKOSA NGUVU NDO MUTAONGEA INSHU YA MUUNGANO....

NOW MBONA MUPO KMYA SANA KWANI INSHU YA MUUNGANO HAIPO AU
 
KWA HERUFI KUBWA : MCHAWI WA ZANZIBAR NI WAZANZIBAR WENYEWE NOW DORA IPO MIKONONI KWENU KILA PANDE MUPO KIMYA INSHU YA MUUNGANO KAMA HAIPO ILA SIKU MUKIKOSA NGUVU NDO MUTAONGEA INSHU YA MUUNGANO....

NOW MBONA MUPO KMYA SANA KWANI INSHU YA MUUNGANO HAIPO AU
Awamu hii bomba la neema linamwagia ndani kwao. Ndiyo maa a wazenji wako kimya "kweri kweri" (in jiwe's voice)
 
Hela ya visa za watalaii wanaokwenda zanzibar zote wanakula watanganyika.
 
Tukisherehekea Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar niwakumbushe tu namna ambavyo Zanzibar ni Maarufu Kwa utalii wa fukwe. Ila kikwazo Ni Tanganyika, mtalii Lazima apate viza ya Muungano ili kuingia Zanzibar (ambao mgao wake haueleweki).
Hahaha! Jidanganyeni tu kwamba nje ya muungano Zanzibar itakuwa kama Dubai.

Niwaambie tu ndugu wazanzibari, nje ya muungano kutakuwa na jamhuri ya watu wa uamsho siyo Zanzibar tena.

Na nchi itatawaliwa na milipuko ya mabomu ya kujitoa mhanga kuanzia Mwanakwerekwe mpk Wete
 
Back
Top Bottom