Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samia Mzanzibar, Mnataka nini tena? Vunjeni muungano acheni ulalamishi wa kikeTukisherehekea Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar niwakumbushe tu namna ambavyo Zanzibar ni Maarufu Kwa utalii wa fukwe. Ila kikwazo Ni Tanganyika, mtalii Lazima apate viza ya Muungano ili kuingia Zanzibar (ambao mgao wake haueleweki).
Mbona povu lawatoka timu za Simba na Yanga zikitolew mapema kwenye mashindano ya Mapinduzi? Au hao ni Wazanzibara!!!!!Tukisherehekea Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar niwakumbushe tu namna ambavyo Zanzibar ni Maarufu Kwa utalii wa fukwe. Ila kikwazo Ni Tanganyika, mtalii Lazima apate viza ya Muungano ili kuingia Zanzibar (ambao mgao wake haueleweki).
Akili huna ukiwa hivyo na vizazi vyako mtakufa maskini hao wa Oman wameshindwa kuwa km Dubai ije kwenu Zanzibar halafu hizo ndoto mnaota tu nyie ni mkoa wetu vizazi na vizaziZanzibar ni zaidi ya Dubai pasipo Tanganyika
wewe ndio ulikuwa Morogoro juzi ?Tukisherehekea Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar niwakumbushe tu
1. Namna ambavyo Zanzibar ni Maarufu Kwa utalii wa fukwe. Ila kikwazo Ni Tanganyika,
2. Mtalii Lazima apate viza ya Muungano ili kuingia Zanzibar (ambao mgao wake haueleweki).
Sasa badilisheni tu sheria,Marais wote sasa hv si wale wenye vichwa "bapa"sio machogo kama wa bara!!acheni kulalamika,mmepewa ajira bara,makatibu tawala,ma DC,ma RC,wakurugenzi,Dodoma mnajinunuia ardhi mnavyotaka bila shida,sasa kwanini mnalia Lia,mnataka tuwapakate?Tukisherehekea Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar niwakumbushe tu
1. Namna ambavyo Zanzibar ni Maarufu Kwa utalii wa fukwe. Ila kikwazo Ni Tanganyika,
2. Mtalii Lazima apate viza ya Muungano ili kuingia Zanzibar (ambao mgao wake haueleweki).
Dawa ya Zanzibari ni sisi mama yao Tanganyika kuamua kukata kitovu siku moja uone majanga yatakayotokea. Tuanze na kuacha kufadhili bajeti ya Zanzibar, halafu umeme, gesi na megineyo yafuate.Tukisherehekea Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar niwakumbushe tu
1. Namna ambavyo Zanzibar ni Maarufu Kwa utalii wa fukwe. Ila kikwazo Ni Tanganyika,
2. Mtalii Lazima apate viza ya Muungano ili kuingia Zanzibar (ambao mgao wake haueleweki).
Punga ni wewe. Dhalimu mkubwa juu ya WazanzibariDuuh,utakua punga wewe sio bure
Ninyi wazenziberi watu wa shawarma ,urojo na zenziberi pizza hakuna kitu mnaweza kufanya kizazi cha watu wavivu mnaochagua kazi.Tukisherehekea Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar niwakumbushe tu
1. Namna ambavyo Zanzibar ni Maarufu Kwa utalii wa fukwe. Ila kikwazo Ni Tanganyika,
Mfano, Mtalii Lazima apate viza ya Muungano ili kuingia Zanzibar (ambao mgao wake haueleweki).
Zanzibar hii ya watu mnaoendekeza kuzaana bila mpango,ushirikina na kuchagua kazi??Zanzibar ni zaidi ya Dubai pasipo Tanganyika