Maeneo ambayo kwasasa ya Fursa ya Ajira kutokana na ujenzi hapa Dar

Maeneo ambayo kwasasa ya Fursa ya Ajira kutokana na ujenzi hapa Dar

UtdProfile_

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2021
Posts
255
Reaction score
314
Hizi ndio sehemu ambazo kwasasa zinafursa za ajira kwa mafundi kujenga, umeme, Rangi nk

1. KIGAMBONI, Maeneo mengi ya Kigamboni kwa Sasa yanaendelea na ujunzi wa nyumba, shule, na majengo mbalimbali, maeneo hayo ni kama ifuatavyo; Mjimwema, Kibada, Kimbiji, nk. Nakuhakikishia Fundi ujenzi ukitembelea huko hulali njaa.

2. Mbezi, Huko Mbezi bhana nako hakupo nyuma kwenye masuala ya Ujenzi, kwahyo fursa ni zilezile kupaua, ujenzi wa boma, fundi Rangi, Umeme nk

3. Vikindu, (Pwani), ukitoka kipande cha Vikindu na kuendelea mpaka kibiti ujenzi unaofanywa ni mkubwa sanaa, so sanuka fundi ✍️✍️✍️
 
Shukrani.Hizo ni cheap labours zinazosaidia kujikimu/kupata kijiuhakika ka kula.Kwa hiyo kazi za maofisini/white-colour jobs tuwaachie hao tutakaoenda kujenga hizo nyumba zao?Yaani tunapoenda kwenye hizo sites zao ndiyo tunapishana nao wanaenda maofisini?
 
Shukrani.Hizo ni cheap labours zinazosaidia kujikimu/kupata kijiuhakika ka kula.Kwa hiyo kazi za maofisini/white-colour jobs tuwaachie hao tutakaoenda kujenga hizo nyumba zao?Yaani tunapoenda kwenye hizo sites zao ndiyo tunapishana nao wanaenda maofisini?
Umeongea point ✍️✍️✍️
 
Back
Top Bottom