Maeneo Bora kwa Kijana wa Miaka 18 Hadi 25 Kuwekeza

Maeneo Bora kwa Kijana wa Miaka 18 Hadi 25 Kuwekeza

Labda hapa nichangie kidogo. Vijana wengi katika umri huu huwa hawana utambuzi wa kujitambua na hucheza sana na maisha. Wanapata fursa, lakini hawana uelewa wa kuzitumia. Huu ndio umri wa moto.

Kama unaweza, wekeza katika uhusiano wako na Mungu. Uhusiano huu utakupa nidhamu, ambayo ni muhimu sana kwa mafanikio.

Pili, kama unasoma, wekeza kwenye elimu yako. Soma kwa bidii. Elimu ni muhimu sana ikiwa uko katika nafasi ya kusoma.

Tatu, jifunze kuhifadhi pesa. Anza kuwa na tabia ya kuweka akiba; utajishukuru sana ukiwa na miaka 30. Usije ukachezea pesa zako zote kwa pombe na wanawake. Vijana wengi katika umri huu hawana majukumu na hutumia pesa nyingi kwenye klabu na burudani. Ni kawaida sana kutumia laki moja au mbili kwa usiku mmoja.

Kuhusu akiba, tafuta saccos yenye sifa nzuri, fuata taratibu za kujiunga, na lipa ada za uanachama ili uwe mwanachama. Hii ni nzuri sana kwa kijana. Riba za saccos ni ndogo sana na unaweza kukopa mara 2 au mara 3 ya mtaji wako. Hii inaweza kukusaidia baadaye kama unapenda biashara. Ukiweka akiba kwa kuendelea, hata 10% ya kipato chako inatosha. Kwa mfano, ukiingiza laki 5, weka akiba elfu 50. Uwe mwaminifu na hii, na kwa muda mrefu itakulipa sana.

Nne, anza kujifunza biashara kwa kufanya biashara. Kumbuka, utaanza biashara na nyingi zitakufa mwanzoni. Ni kama kujifunza kuendesha baiskeli; utaanguka mara nyingi mwanzoni, lakini ukishajua, ni nadra sana kuanguka tena. Anzisha biashara unayoipenda na pambana nayo. Ikifa, utapata somo ambalo litaingia akilini vizuri sana. Unajifunza kwa njia ngumu.

Si lazima biashara ife au zife, lakini ikitokea, ni kawaida sana. Biashara haihitaji waganga, usiende kwa waganga. Ukishazoea biashara, utafurahia mwenyewe.
 
Labda hapa nichangie kidogo. Vijana wengi katika umri huu huwa hawana utambuzi wa kujitambua na hucheza sana na maisha. Wanapata fursa, lakini hawana uelewa wa kuzitumia. Huu ndio umri wa moto.

Kama unaweza, wekeza katika uhusiano wako na Mungu. Uhusiano huu utakupa nidhamu, ambayo ni muhimu sana kwa mafanikio.

Pili, kama unasoma, wekeza kwenye elimu yako. Soma kwa bidii. Elimu ni muhimu sana ikiwa uko katika nafasi ya kusoma.

Tatu, jifunze kuhifadhi pesa. Anza kuwa na tabia ya kuweka akiba; utajishukuru sana ukiwa na miaka 30. Usije ukachezea pesa zako zote kwa pombe na wanawake. Vijana wengi katika umri huu hawana majukumu na hutumia pesa nyingi kwenye klabu na burudani. Ni kawaida sana kutumia laki moja au mbili kwa usiku mmoja.

Kuhusu akiba, tafuta saccos yenye sifa nzuri, fuata taratibu za kujiunga, na lipa ada za uanachama ili uwe mwanachama. Hii ni nzuri sana kwa kijana. Riba za saccos ni ndogo sana na unaweza kukopa mara 2 au mara 3 ya mtaji wako. Hii inaweza kukusaidia baadaye kama unapenda biashara. Ukiweka akiba kwa kuendelea, hata 10% ya kipato chako inatosha. Kwa mfano, ukiingiza laki 5, weka akiba elfu 50. Uwe mwaminifu na hii, na kwa muda mrefu itakulipa sana.

Nne, anza kujifunza biashara kwa kufanya biashara. Kumbuka, utaanza biashara na nyingi zitakufa mwanzoni. Ni kama kujifunza kuendesha baiskeli; utaanguka mara nyingi mwanzoni, lakini ukishajua, ni nadra sana kuanguka tena. Anzisha biashara unayoipenda na pambana nayo. Ikifa, utapata somo ambalo litaingia akilini vizuri sana. Unajifunza kwa njia ngumu.

Si lazima biashara ife au zife, lakini ikitokea, ni kawaida sana. Biashara haihitaji waganga, usiende kwa waganga. Ukishazoea biashara, utafurahia mwenyewe.
well said
 
Ni maeneo yapi yenye fursa kubwa zaidi ya kuwekeza kwa kijana wa miaka 18 hadi 25? Na ni kwa nini sehemu hizi zinachukuliwa kuwa bora kwa uwekezaji kwa vijana?
Kama utaweza weka nguvu kwenye uzalishaji...
....
Hii nchi Bado production Iko chini sana...usihangaike na Gucci au kukimbilia china, wewe ruhusu tuu Kila mtanzania akuchangie gharama za uzalishaji......
Just consider the four factors of production
Land, labour, entrepreneurship skills and capital

Utakuwa mo au bakhresa, ni utani tuu unaouma...
 
Labda hapa nichangie kidogo. Vijana wengi katika umri huu huwa hawana utambuzi wa kujitambua na hucheza sana na maisha. Wanapata fursa, lakini hawana uelewa wa kuzitumia. Huu ndio umri wa moto.

Kama unaweza, wekeza katika uhusiano wako na Mungu. Uhusiano huu utakupa nidhamu, ambayo ni muhimu sana kwa mafanikio.

Pili, kama unasoma, wekeza kwenye elimu yako. Soma kwa bidii. Elimu ni muhimu sana ikiwa uko katika nafasi ya kusoma.

Tatu, jifunze kuhifadhi pesa. Anza kuwa na tabia ya kuweka akiba; utajishukuru sana ukiwa na miaka 30. Usije ukachezea pesa zako zote kwa pombe na wanawake. Vijana wengi katika umri huu hawana majukumu na hutumia pesa nyingi kwenye klabu na burudani. Ni kawaida sana kutumia laki moja au mbili kwa usiku mmoja.

Kuhusu akiba, tafuta saccos yenye sifa nzuri, fuata taratibu za kujiunga, na lipa ada za uanachama ili uwe mwanachama. Hii ni nzuri sana kwa kijana. Riba za saccos ni ndogo sana na unaweza kukopa mara 2 au mara 3 ya mtaji wako. Hii inaweza kukusaidia baadaye kama unapenda biashara. Ukiweka akiba kwa kuendelea, hata 10% ya kipato chako inatosha. Kwa mfano, ukiingiza laki 5, weka akiba elfu 50. Uwe mwaminifu na hii, na kwa muda mrefu itakulipa sana.

Nne, anza kujifunza biashara kwa kufanya biashara. Kumbuka, utaanza biashara na nyingi zitakufa mwanzoni. Ni kama kujifunza kuendesha baiskeli; utaanguka mara nyingi mwanzoni, lakini ukishajua, ni nadra sana kuanguka tena. Anzisha biashara unayoipenda na pambana nayo. Ikifa, utapata somo ambalo litaingia akilini vizuri sana. Unajifunza kwa njia ngumu.

Si lazima biashara ife au zife, lakini ikitokea, ni kawaida sana. Biashara haihitaji waganga, usiende kwa waganga. Ukishazoea biashara, utafurahia mwenyewe.
Umemaliza
 
Labda hapa nichangie kidogo. Vijana wengi katika umri huu huwa hawana utambuzi wa kujitambua na hucheza sana na maisha. Wanapata fursa, lakini hawana uelewa wa kuzitumia. Huu ndio umri wa moto.

Kama unaweza, wekeza katika uhusiano wako na Mungu. Uhusiano huu utakupa nidhamu, ambayo ni muhimu sana kwa mafanikio.

Pili, kama unasoma, wekeza kwenye elimu yako. Soma kwa bidii. Elimu ni muhimu sana ikiwa uko katika nafasi ya kusoma.

Tatu, jifunze kuhifadhi pesa. Anza kuwa na tabia ya kuweka akiba; utajishukuru sana ukiwa na miaka 30. Usije ukachezea pesa zako zote kwa pombe na wanawake. Vijana wengi katika umri huu hawana majukumu na hutumia pesa nyingi kwenye klabu na burudani. Ni kawaida sana kutumia laki moja au mbili kwa usiku mmoja.

Kuhusu akiba, tafuta saccos yenye sifa nzuri, fuata taratibu za kujiunga, na lipa ada za uanachama ili uwe mwanachama. Hii ni nzuri sana kwa kijana. Riba za saccos ni ndogo sana na unaweza kukopa mara 2 au mara 3 ya mtaji wako. Hii inaweza kukusaidia baadaye kama unapenda biashara. Ukiweka akiba kwa kuendelea, hata 10% ya kipato chako inatosha. Kwa mfano, ukiingiza laki 5, weka akiba elfu 50. Uwe mwaminifu na hii, na kwa muda mrefu itakulipa sana.

Nne, anza kujifunza biashara kwa kufanya biashara. Kumbuka, utaanza biashara na nyingi zitakufa mwanzoni. Ni kama kujifunza kuendesha baiskeli; utaanguka mara nyingi mwanzoni, lakini ukishajua, ni nadra sana kuanguka tena. Anzisha biashara unayoipenda na pambana nayo. Ikifa, utapata somo ambalo litaingia akilini vizuri sana. Unajifunza kwa njia ngumu.

Si lazima biashara ife au zife, lakini ikitokea, ni kawaida sana. Biashara haihitaji waganga, usiende kwa waganga. Ukishazoea biashara, utafurahia mwenyewe.
😍 Noted
 
Back
Top Bottom