Seifumsafi
Member
- Jun 30, 2024
- 13
- 32
ULIZA KUPITIA CHAT GPT
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakikisha unapanga mipango ya miaka mi5 mbele,yani lzima utafika tu,so usiangalie return ya miezi 6 mbele,angalia return ya kuanzia moaka mi5 mbele.Ni maeneo yapi yenye fursa kubwa zaidi ya kuwekeza kwa kijana wa miaka 18 hadi 25? Na ni kwa nini sehemu hizi zinachukuliwa kuwa bora kwa uwekezaji kwa vijana?
Nitajie bilionea Tz alie tokana na betting nijihakikishie kama kijanaBetting mwana, njoo nikupe odds, kesho ww n bilionea hapa TZ
😂😂😂Nasikia mlio wa ndege inayoanguka ndio kitu kinaogopesha vijana Kwa sasa😂
Sio bunduki tena
Mkuu ni changamoto zipi hizo wakati wa masika?Nyanya masika zitamsumbua sana, ila akifuzu atapata pesa nzuri.
Taifa lina mzigo mzito sanaNimekuja mbiombio nkajua unatoa ushauri, kumbe nawewe unaomba ushauri..
Nimekuelewa mkuu 👍👍👍Kama utaweza weka nguvu kwenye uzalishaji...
....
Hii nchi Bado production Iko chini sana...usihangaike na Gucci au kukimbilia china, wewe ruhusu tuu Kila mtanzania akuchangie gharama za uzalishaji......
Just consider the four factors of production
Land, labour, entrepreneurship skills and capital
Utakuwa mo au bakhresa, ni utani tuu unaouma...
Kwanini?Taifa lina mzigo mzito sana
Hii unaweza kuajiri mtu asifanye lakini si mpaka upate darasa la Chakula Bora chenye nutrition. Kinanunuliwa special au unatengeneza?Biashara ya unenepeshaji ng'ombe
Hapa kijana atakuwa anatafuta ng'ombe waliokondeana na kwenda kuwanenepesha na kuwauza na life kusonga
Well said 👏👏👏Labda hapa nichangie kidogo. Vijana wengi katika umri huu huwa hawana utambuzi wa kujitambua na hucheza sana na maisha. Wanapata fursa, lakini hawana uelewa wa kuzitumia. Huu ndio umri wa moto.
Kama unaweza, wekeza katika uhusiano wako na Mungu. Uhusiano huu utakupa nidhamu, ambayo ni muhimu sana kwa mafanikio.
Pili, kama unasoma, wekeza kwenye elimu yako. Soma kwa bidii. Elimu ni muhimu sana ikiwa uko katika nafasi ya kusoma.
Tatu, jifunze kuhifadhi pesa. Anza kuwa na tabia ya kuweka akiba; utajishukuru sana ukiwa na miaka 30. Usije ukachezea pesa zako zote kwa pombe na wanawake. Vijana wengi katika umri huu hawana majukumu na hutumia pesa nyingi kwenye klabu na burudani. Ni kawaida sana kutumia laki moja au mbili kwa usiku mmoja.
Kuhusu akiba, tafuta saccos yenye sifa nzuri, fuata taratibu za kujiunga, na lipa ada za uanachama ili uwe mwanachama. Hii ni nzuri sana kwa kijana. Riba za saccos ni ndogo sana na unaweza kukopa mara 2 au mara 3 ya mtaji wako. Hii inaweza kukusaidia baadaye kama unapenda biashara. Ukiweka akiba kwa kuendelea, hata 10% ya kipato chako inatosha. Kwa mfano, ukiingiza laki 5, weka akiba elfu 50. Uwe mwaminifu na hii, na kwa muda mrefu itakulipa sana.
Nne, anza kujifunza biashara kwa kufanya biashara. Kumbuka, utaanza biashara na nyingi zitakufa mwanzoni. Ni kama kujifunza kuendesha baiskeli; utaanguka mara nyingi mwanzoni, lakini ukishajua, ni nadra sana kuanguka tena. Anzisha biashara unayoipenda na pambana nayo. Ikifa, utapata somo ambalo litaingia akilini vizuri sana. Unajifunza kwa njia ngumu.
Si lazima biashara ife au zife, lakini ikitokea, ni kawaida sana. Biashara haihitaji waganga, usiende kwa waganga. Ukishazoea biashara, utafurahia mwenyewe.
Kulingana na mtaji wa muwekezaji,soko na pia upatikanaji wa malighafi ya kutengenezea chakula na pia nyasi na vingine vya muhimuHii unaweza kuajiri mtu asifanye lakini si mpaka upate darasa la Chakula Bora chenye nutrition. Kinanunuliwa special au unatengeneza?
Sometimes we need to think rather than depending on Chat GPT kwakuwa JamiiForums ipo let us use it na kufanyia kazi mawazo ya watu mbalimbali Chat GPT ni extra tu ila mawazo ya watu yana nguvu than this machine.ULIZA KUPITIA CHAT GPT
Wanaotegemewa nao wanategemeaK
Kwanini?
Hali kwenye soko ndo nakutana na madalali tena? Unauzoefu na hii project? Naweza ajiri mtu na nikapata matokeo mazuri. Isiwe kama kilimo Cha kwenye simuKulingana na mtaji wa muwekezaji,soko na pia upatikanaji wa malighafi ya kutengenezea chakula na pia nyasi na vingine vya muhimu
Mi naona vitunguumaji ndio afadhaliNyanya masika zitamsumbua sana, ila akifuzu atapata pesa nzuri.
Kupata mtaji wa biashara ni changamoto mtu unashindwa uanzie wapi kwenye kilimo, kuajiriwa, biashara ndogondogo, bodaboda watu wengi wangefanikiwa kwenye mambo mbalimbali ila tatizo mtaji unatukwamisha sana.Mi naona vitunguumaji ndio afadhali
Kuna mwana kapata mtaji wa mil10 kiutani tu masika alilima akaotea bei ya laki 2.5 then sahivi anafanya biashara ya mahindi
Actually nahisi atasaidia ng'ombe kunenepa kwa uharaka na kutengeneza faida kubwa kwa muda mfupiHii unaweza kuajiri mtu asifanye lakini si mpaka upate darasa la Chakula Bora chenye nutrition. Kinanunuliwa special au unatengeneza?