Maeneo gani ambayo hupaswi kutafuta mke?

Maeneo gani ambayo hupaswi kutafuta mke?

Habari wana mmu , leo naomba kila mtu ataje sehemu ambazo kwa mtazamo wake anaona haipaswi au haitakiwi kumsaka binti wa kumuoa na kuishi nae,

Naanza mimi,
=>Kwenye maguest house

=>kwenye migahawa ya chakula

=>kwenye ma bar na kumbi za muziki

=>Sokoni au maeneo ya ghulioni

=>kwenye mabasi na vyombo vingine vya usafiri,

BINAFSI hizi sehemu hata binti anivutie vipi siwezi kumtongoza.
pfunk/majani mbona kajala alikutana naye kweney strip club/night clup akamwona anavyocheza kwa kuzungusha lile uno.hapohapo akaweka ndani. sugu alishaandika wakiwa na faiza walikutana club. nafikiri matokeo ya ndoa zote hizo unayajua.
 
Haya mambo ya kuoa/kuolewa nayo ukiyatafuta sana yanakutokea puani tu

Ishi kitulivu tu mida sahihi zikifika mambo yanajipa
 
By the way.....
Mke hatafutwi kama utadhani umeangusha hela kwenye mchanga.
Ebu kaa kwa kutulia, jipende, nenda kwenye ibada, fanya kazi kwa bidii, kua mwenye nidhamu na kisha utamuona mke amekujia
Nimeipenda hii mbinu yako, vipi umewahi kuitumia na ukafanikiwa?
 
Mitandaoni
Aisee umenikumbusha mbali mkuu nakumbuka mwaka 2012 ndo kwanza najiunga facebook nikaanza huo mchakato , nilijikuta nakosa raha kwa mtu nisiemjua mpaka leo sijawahi kurudia kufanya huo upuuzi wa kumtongoza binti mtandaoni.
 
Aisee umenikumbusha mbali mkuu nakumbuka mwaka 2012 ndo kwanza najiunga facebook nikaanza huo mchakato , nilijikuta nakosa raha kwa mtu nisiemjua mpaka leo sijawahi kurudia kufanya huo upuuzi wa kumtongoza binti mtandaoni.
😂😂bora nishinde gym since its my hobby kuliko kupoteza mda kwa mtu simjui
 
Habari wana mmu , leo naomba kila mtu ataje sehemu ambazo kwa mtazamo wake anaona haipaswi au haitakiwi kumsaka binti wa kumuoa na kuishi nae,

Naanza mimi,
=>Kwenye maguest house

=>kwenye migahawa ya chakula

=>kwenye ma bar na kumbi za muziki

=>Sokoni au maeneo ya ghulioni

=>kwenye mabasi na vyombo vingine vya usafiri,

BINAFSI hizi sehemu hata binti anivutie vipi siwezi kumtongoza.
umepotea sasa wewe utampata wapi sema hizo sehemu, sokoni, gulioni na kwenye vyombo vya usafiri hutaki, bila shaka utaoa mwanamke bundi au popo.

Kauli mbiu kuoa ni upupu wa kujitakia
 
Uzi umekuwa mfupi sana

Ungeelezea kwa ufupi sababu za/ya kushindwa kutongoza maeneo hayo ili sisi tunafika maeneo hayo tujue tunafanyaje
Hivi kwa muktadha wake malaika wa Mungu wana mipaka? Dimensions ya maeneo ni akili mgando hajawaza expansively, there is always what if? Na profounding factors, relativity, notion, stereotype, and and many
 
Back
Top Bottom