Kijana Wa Dar
Member
- Sep 22, 2016
- 98
- 216
MsasaniJe nikijichanganya mitaa ipi hapa nitakuwa na nafasi kubwa kukutana na wazungu wengi na hatimaye nikaopoa mchumba ?
Nahitaji kuanza kucheza mechi za kimataifa ili niwe balozi
Msaada please
Tupe connectionwazee wa telegram hawawez hili kweli?
Naipataa wapi?Tupe connection
Anza kufuga Rasta kwanza
Dar ni ngumu nenda arachuga ......Je nikijichanganya mitaa ipi hapa nitakuwa na nafasi kubwa kukutana na wazungu wengi na hatimaye nikaopoa mchumba ?
Nahitaji kuanza kucheza mechi za kimataifa ili niwe balozi
Msaada please