Teh teh hiyo ndy changamotoHaya maeneo ni mazuri sana mkuu. Hata mimi nayapenda sana. Tatizo ni changamoto za usalama. Huko majambazi ni wengi sana. Tena ukijenga vzr na kuweka gate wanakulia timing getini wakati unarudi. Au siku mvua kubwa ikinyesha wanaruka ukuta na kuingia ndani. Kelele za mvua hata ukipiga kelele watu hawasikii hasa ukizingatia nyumba ziko mbali mbali
Njoo kiluvya gogoni hapa jirani na kituo Cha police km 1 tu toka lami Kuna kiwanja ninakiuza pazuri Sana umeme, maji,vipo hapo hapo eneo Lina heka 2.5 Bei ml 120
Huku kelele Ni za ndege tu ,jirani labda umfwate au umwite kwako
Njoo kiluvya gogoni hapa jirani na kituo Cha police km 1 tu toka lami Kuna kiwanja ninakiuza pazuri Sana umeme, maji,vipo hapo hapo eneo Lina heka 2.5 Bei ml 120
Huku kelele Ni za ndege tu ,jirani labda umfwate au umwite kwako
Msaada wenu...nikiweka laki mfkon/ pochi/mkoba kesho 50000 haipo...wandg dawa yao n nn hawa chuma ulete?? Msaada wenuBuza kunatisha naogopa kwa Mpalange๐๐๐Na comment ss hv npo Buza nimetoka Mbezi msigani,Malamba,Kufuru,Kinyerezi .Maeneo haya yote yametulia nimefika Yombo fujo kama zote
KibwegereUbungo nishaishi ,ila kibamba ni maeneo gani mazuri zaidi?
Kumbe Kinyerezi nako kuna vigagura๐๐Nipo kinyerez Nimejenga huku...nikiweka laki mfkon/ pochi/mkoba kesho 50000 haipo...wandg dawa yao n nn hawa chuma ulete?? Msaada wenu
Kibwegere si mbali sana kule daraja la mbao sijuhi la jeshi au Kibwegere ipi unazungumziaKibwegere
Wapi huko kwenye bei cheeHuko ni Mbali sana mbona?
pembezoni mwa mji maeneo yapo mengi na bei chee.
Nimeshajibu MkuuWapi huko kwenye bei chee
Boko hata bure sikai, wakati wa masika lol[emoji18]Yeah madale kuko poa pia boko na Bunju mbezi beach yote kumetulia kote siipendi tegeta tu Mimi kwa uku bagamoyo road maana tegeta imevamiwa sana.
Unaishi wapi niwe jirani yako best??Boko hata bure sikai, wakati wa masika lol[emoji18]
kwann skwata anaeza lia mkuu? em tupe uzoefu mana wengine ndo tuko kweny mipangoSehemu yeyote iliyopimwa kama unaimudu nunua jenga ,huko hakuna uswahili wala makelele lakini ukinunua "Skwata" utalia.
Upepo mwanana na utulivu wa kutosha. Utasahau kwamba uko Dar.Njoo mton kijichi hutojutia.
Temeke sio sehemu ya kuishi nimeishi sana ,japo Kijichi kupo poa sana .Ila bahati mbaya ipo Temeke wandengereko na wamakonde wengi sana๐๐๐Upepo mwanana na utulivu wa kutosha. Utasahau kwamba uko Dar.
Anaweza kujenga choo chake mkabala na sitting room yako na huna la kumshawishi. Au akaziba njia kabisa na ukimuuliza atakwambia yeye amenunua sehemu yote na hana ulazima wa kuwacha sehemu ya barabara.kwann skwata anaeza lia mkuu? em tupe uzoefu mana wengine ndo tuko kweny mipango
Mdengereko atoke wapi huku Kijichi kwenye maeneo yaliyopimwa? Kila kiwanja siyo chini ya sqm 2500 ukijipigia ukuta wako umetulia.Temeke sio sehemu ya kuishi ,japo Kijichi kupo poa sana .Ila bahati mbaya ipo Temeke wandengereko na wamakonde wengi sana๐๐๐
kwann skwata anaeza lia mkuu? em tupe uzoefu mana wengine ndo tuko kweny mipango
Mkuu kuzuri sana kule. Weka ndizi mzuzu fuga na ngombe upate mboleaMlandizi napakubali nataka ninunue eneo kubwa huko nikajifiche