Maeneo gani ni mazuri kwa kuishi na familia hapa DsM

Maeneo gani ni mazuri kwa kuishi na familia hapa DsM

Ubungo-Kibamba. Hiyo njia haina shida. kama hujaelewa ishi Mbagala utakuja kunielewa baada ya miaka 10 ijayo
kwa utafiti wangu kwa sasa Dar inahamia maeneo hayo kuanzia mbezi mwisho, kibamba na kiluvya na hili linasababishwa na;

1.kituo kikubwa cha mabasi ya Mikoani na nchi jirani (Magufuli bus terminal) kujengwa maeneo hayo.

2. Hospitali kubwa ya kisasa Muhimbili Mloganzila

3. kituo kikubwa cha Polisi kiluvya Gogoni.
n.k
hayo yote yamepelekea maeneo hayo kuwa bora zaidi kuishi kutokana na ukaribu wa huduma hizo muhimu na usalama.
 
Masaki na O'bay...

Kama Dar ingekuwa imepangika kama hizi sehemu mbili basi tungekuwa tunaishi kwa raha sana...

Kwa sisi uchumi wa kati acha tuendelee kujimiksi Sinza, unakula mziki bila hata kwenda pub
 
Maeneo yote Dsm yanafaa kuishi, kama vipi kaishi manzese , kigogo , tandika
 
Kimara bonyokwa kutamu, buza kwa rurenge hadi kwa mparange pako wazi, kunduchi kule kupana pia, mbweni panafaa pia ila kuna maji maji!
Buza kwa rurenge kama uzunguni vile [emoji39]
 
Ubungo-Kibamba. Hiyo njia haina shida. kama hujaelewa ishi Mbagala utakuja kunielewa baada ya miaka 10 ijayo
Ukishahamia tu, its doesnt take even a month utaanza kutambua kuwa maeneo yanayoambatana na Kilwa Road si sehemu salama...
 
Ubungo-Kibamba. Hiyo njia haina shida. kama hujaelewa ishi Mbagala utakuja kunielewa baada ya miaka 10 ijayo
Huko Mbagala Hakuna Kitu , Ni shida tu ila sio choice ya kuishi binadam
 
The experience of fearing something is worse than something itself.
 
Kilomo, kerege,mapinga safi mbona

Ova
Haya maeneo ni mazuri sana mkuu. Hata mimi nayapenda sana. Tatizo ni changamoto za usalama. Huko majambazi ni wengi sana. Tena ukijenga vzr na kuweka gate wanakulia timing getini wakati unarudi. Au siku mvua kubwa ikinyesha wanaruka ukuta na kuingia ndani. Kelele za mvua hata ukipiga kelele watu hawasikii hasa ukizingatia nyumba ziko mbali mbali
 
Back
Top Bottom