Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuanzia Kibamba, kiluvya hadi kibaha.Kama wapi?
Chanika hapana kwa kweli,labda Malamba na KinyereziTabata kuna maeneo kama Kinyerezi, Kifuru mpaka mbezi malamba mawili
Chanika, Mvuti
Yeah madale kuko poa pia boko na Bunju mbezi beach yote kumetulia kote siipendi tegeta tu Mimi kwa uku bagamoyo road maana tegeta imevamiwa sana.Karibu,mashamba ya jeshi wazo(madale)
Sehemu tulivu
Ova
MasakiHabari wadau..!
Zamani wakati nipo chuo pale Mlimani nilikuwa naamini maeneo mazuri kwa kuishi DsM ni Sinza na Survey maana maeneo hayo yana totozi nzuri na bata za kufa mtu kwa kipindi hicho.
Hivyo nilijitahidi kila mwaka wa masomo lazima nipate chumba Survey au Sinza .
Ila sasa nina familia napata ugumu kuchagua sehemu ya kuishi na kulea familia,maana familia inahitaji maeneo yenye utulivu na penye huduma zote za jamii na pasiwe wachawi au vigagura na msongamano wa nyumba kama za huku kwetu Buza.
Hivi kwa hapa Dar ni maeneo gani yametulia kwa kuishi na kulea familia ,ambapo hautajutia kujenga au kununua nyumba ya kuishi maeneo hayo.
Kwa malezi ya familia kinondoni , mwanayamala , hazifai niliwahi kupanga miaka ya nyuma , asee huvuki nyumba tatu bila kukuta mtoto tejaKinondoni, karibu na kwa tarimba pametulia, kinondoni kule kwa mengi apmerulia pia. Mi napenda kinondoni ni rahisi kwa kazini na shule kwa watoto. Sema sio ukakae kinondoni nyumba ya watu kumi nyumba yako mwenywe ndo naona ubora
KigamboniKigamboni
Ni zamu yako na weye uwapelekee totoz wazuri.Kwani wale totoz wazuri uliokuwa ukiwakuta huko ulidhani hawakuwa na wazazi?Mbona unafurahisha sana?Hamia hukohuko.Habari wadau..!
Zamani wakati nipo chuo pale Mlimani nilikuwa naamini maeneo mazuri kwa kuishi DsM ni Sinza na Survey maana maeneo hayo yana totozi nzuri na bata za kufa mtu kwa kipindi hicho.
Hivyo nilijitahidi kila mwaka wa masomo lazima nipate chumba Survey au Sinza .
Ila sasa nina familia napata ugumu kuchagua sehemu ya kuishi na kulea familia,maana familia inahitaji maeneo yenye utulivu na penye huduma zote za jamii na pasiwe wachawi au vigagura na msongamano wa nyumba kama za huku kwetu Buza.
Hivi kwa hapa Dar ni maeneo gani yametulia kwa kuishi na kulea familia ,ambapo hautajutia kujenga au kununua nyumba ya kuishi maeneo hayo.
Ndio maana nikamtajia hizi sehemu nilizokaa. Kule kwa mengi kila mtu ndan ya get lake hao mareja labda wawe wamefungiwa humo magetiniKwa malezi ya familia kinondoni , mwanayamala , hazifai niliwahi kupanga miaka ya nyuma , asee huvuki nyumba tatu bila kukuta mtoto teja
Kimara watu wamekuwa nyomi Sana aisee Hadi Tabia za ajabu ajabu zimeanza .Kuanzia Kibamba, kiluvya hadi kibaha.
na kuna highway so hupati shida kufika mjini..
huku ustaarabu bado upo. si, kama kimara na kwingineko.
DuuhNjoo mton kijichi hutojutia.