Maeneo gani ni mazuri kwa kuishi na familia hapa DsM

Maeneo gani ni mazuri kwa kuishi na familia hapa DsM

Tulipo Mbezi beach ya Salasala tuna enjoy sana.. jenga kwako weka uzio.. Pia siku zote anagalia neighbourhood kama utaona waswahili wengi usijenge maana watu wa low education na low income wana tabia ya kuamini ushirikina kuliko kujituma kiuchumi.. nime yaona hayo sana uswailin na pia wana wivu sana kwa anaye wazidi maendeleo.. wanakufuatilia sana na kuteta sana tarifa zako zinasambaa sana na katika kusambaa zinakutana na mtabe wa uchawi anakuchezea mpaka unakuwa fukara kama wao..

Amini nisemacho nimekiishi jimejifunza mateso yakuishi na watu uswazi nineona sana.. nenda kwenye maeneo yenye makazi ya watu wa middle income. achana na low income hutajifunza kuwaza juu uta jikuta una waza migogoro ya majiran na hila zao kwako.
 
Tulipo Mbezi beach ya Salasala tuna enjoy sana.. jenga kwako weka uzio.. Pia siku zote anagalia neighbourhood kama utaona waswahili wengi usijenge maana watu wa low education na low income wana tabia ya kuamini ushirikina kuliko kujituma kiuchumi.. nime yaona hayo sana uswailin na pia wana wivu sana kwa anaye wazidi maendeleo.. wanakufuatilia sana na kuteta sana tarifa zako zinasambaa sana na katika kusambaa zinakutana na mtabe wa uchawi anakuchezea mpaka unakuwa fukara kama wao..

Amini nisemacho nimekiishi jimejifunza mateso yakuishi na watu uswazi nineona sana.. nenda kwenye maeneo yenye makazi ya watu wa middle income. achana na low income hutajifunza kuwaza juu uta jikuta una waza migogoro ya majiran na hila zao kwako.
true ndio maana sitaki uswahilini
 
Habari wadau..!

Zamani wakati nipo chuo pale Mlimani nilikuwa naamini maeneo mazuri kwa kuishi DsM ni Sinza na Survey maana maeneo hayo yana totozi nzuri na bata za kufa mtu kwa kipindi hicho.

Hivyo nilijitahidi kila mwaka wa masomo lazima nipate chumba Survey au Sinza .

Ila sasa nina familia napata ugumu kuchagua sehemu ya kuishi na kulea familia,maana familia inahitaji maeneo yenye utulivu na penye huduma zote za jamii na pasiwe wachawi au vigagura na msongamano wa nyumba kama za huku kwetu Buza.

Hivi kwa hapa Dar ni maeneo gani yametulia kwa kuishi na kulea familia ,ambapo hautajutia kujenga au kununua nyumba ya kuishi maeneo hayo.
Kijitonyama, Makumbusho, Mikocheni, Mwenge, Msasani, Masaki, Upanga, Sea View, Oysterbay
 
Njoo mton kijichi hutojutia

et njoo mtoni kijichi duuuu we jamaa ni gaidi sanaa
 
Njoo nikuuzie kiwanja madale

square metre 300

kwa milioni 6.5

ujenge uishi kwako

0683011003 mawasiliano hayo

Screenshot_20210729-201206.png
 
Back
Top Bottom