Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujaeleweka. Mfafanulie kidogo ulichomaanisha kutokana na alichouliza.Ubungo-Kibamba. Hiyo njia haina shida. kama hujaelewa ishi Mbagala utakuja kunielewa baada ya miaka 10 ijayo
umenena..Kigamboni / Mikocheni/Mbezi Beach/ Makongo/ Goba / sala sala / kunduchi / unununio
kigamboni maeneo yapi yanafikika kirahisi na kuna viwanja vilivyopimwa kwa ujenzi?Kigamboni
nitakuwa km Alex wa Lemax nawawashia moto tu gun fire mtu akisogelea binti yanguNi zamu yako na weye uwapelekee totoz wazuri.Kwani wale totoz wazuri uliokuwa ukiwakuta huko ulidhani hawakuwa na wazazi?Mbona unafurahisha sana?Hamia hukohuko.
true ndio maana sitaki uswahiliniTulipo Mbezi beach ya Salasala tuna enjoy sana.. jenga kwako weka uzio.. Pia siku zote anagalia neighbourhood kama utaona waswahili wengi usijenge maana watu wa low education na low income wana tabia ya kuamini ushirikina kuliko kujituma kiuchumi.. nime yaona hayo sana uswailin na pia wana wivu sana kwa anaye wazidi maendeleo.. wanakufuatilia sana na kuteta sana tarifa zako zinasambaa sana na katika kusambaa zinakutana na mtabe wa uchawi anakuchezea mpaka unakuwa fukara kama wao..
Amini nisemacho nimekiishi jimejifunza mateso yakuishi na watu uswazi nineona sana.. nenda kwenye maeneo yenye makazi ya watu wa middle income. achana na low income hutajifunza kuwaza juu uta jikuta una waza migogoro ya majiran na hila zao kwako.
Acha kushobokea wanaume. Mhusika amenielewa.Hujaeleweka. Mfafanulie kidogo ulichomaanisha kutokana na alichouliza.
Akili kisoda. Marijali tunakuangalia tu.Acha kushobokea wanaume. Mhusika amenielewa.
Kijitonyama, Makumbusho, Mikocheni, Mwenge, Msasani, Masaki, Upanga, Sea View, OysterbayHabari wadau..!
Zamani wakati nipo chuo pale Mlimani nilikuwa naamini maeneo mazuri kwa kuishi DsM ni Sinza na Survey maana maeneo hayo yana totozi nzuri na bata za kufa mtu kwa kipindi hicho.
Hivyo nilijitahidi kila mwaka wa masomo lazima nipate chumba Survey au Sinza .
Ila sasa nina familia napata ugumu kuchagua sehemu ya kuishi na kulea familia,maana familia inahitaji maeneo yenye utulivu na penye huduma zote za jamii na pasiwe wachawi au vigagura na msongamano wa nyumba kama za huku kwetu Buza.
Hivi kwa hapa Dar ni maeneo gani yametulia kwa kuishi na kulea familia ,ambapo hautajutia kujenga au kununua nyumba ya kuishi maeneo hayo.
Bado kuna viwanja huko?Karibu,mashamba ya jeshi wazo(madale)
Sehemu tulivu
Ova
Buza kunatisha naogopa kwa Mpalange😂😂😂Na comment ss hv npo Buza nimetoka Mbezi msigani,Malamba,Kufuru,Kinyerezi .Maeneo haya yote yametulia nimefika Yombo fujo kama zoteNjoo huku Buza mkuu.
Msigani mbona naona kama kuna changanyikeniNjoo nikuuzie kiwanja madale
square metre 300
kwa milioni 6.5
ujenge uishi kwako
0683011003 mawasiliano hayo
View attachment 1873264
Kipo barabarani au ndichi??kina hati??Yah maeneo yapo mkuu
Ova