Maeneo gani ni mazuri kwa kuishi na familia hapa DsM

Usije Dar, kaa hukohuko!
 
Maeneo yapo mengi, kama Madale, Mbezi mpaka mlandizi, Bunju, Kigamboni, Kijichi, Bagamoyo n.k
Mkuu nakupa 5,niko arusha ila maeneo uliyotaja bado kuwa high population.napenda sana Bunju or Bagamoyo
 
Njoo bunjub sokoni, ma site, kiwanja siyo chini ya 890sq meters, kumepangika, soko la ukweli kubwa lenye gulio kila alhamisi, laweza kuwa kubwa kuliko yote barabara ya Bagamoyo, shule za kutosha Mapinga, Kiharaka, Kerege, Zinga na Bagamoyo, boarding na day, upepo mwanana, nyumba hazijabanana, maji ya dawasa na umeme yapo, beach zipo karibu kwa mapumziko ya weekend, Ununio, bunju beach, Bagamoyo, its a suburb area, wewe tu..
 
Bei inachezea ngapi per square meter Mkuu bagamoyo
 
Nyie ndio mnavuruga miji Sasa square metre 300 si kujenga Mabanda ya Mbwa
Wapuuzi sana hao jamaa na viwanja vyao wa kujenga mabanda ya nguruwe wabaki navyo,
kampuni nyingi za upimaji zina mambo ya kipuuzi ya kupima kiwanja sqm 200, 300, 400 hawa ndo wa hujumu uchumi na wanachafua mji. viwanja vidogo ivo hata hewa haipiti watu wataishije?
 
Kibamba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…