Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
15,000 ya kuchomaBei elekezi tafadhari
Karibu sana Kwa maswali
Hii inawahusu wanaohusika pekeyaoSubiri kwanza tupo kwenye mfungo
Hata sisi tuliofunga tunahusika. Ukitaka kujua tembelea hivyo vijiwe utakuta wateja wamepunguaHii inawahusu wanaohusika pekeyao
Aisee!Em ngoja ifike Ijumaa nikitoka msikitini nitembelee maeneo hayo
Ngoja nifanye utafitiHata sisi tuliofunga tunahusika. Ukitaka kujua tembelea hivyo vijiwe utakuta wateja wamepungua
Kivipi MkuuBahati nipo kwenye Kwaresma π₯²
Mate yamenitoka hapa Kwa huo msosi ulioutaja...Kivipi Mkuu
Ivi inakuwaje kwa waru ambao n ma dr wa wanyama kuwatibu nguruwe inaruhusiwaWalawi 11:6-8
Sungura msimle; yeye hucheua lakini kwato zake hazikugawanyika; kwenu huyo ni najisi. 7Nguruwe msimle; ana kwato zilizogawanyika lakini hacheui; kwenu huyo ni najisi. 8Kwa sababu wanyama hao ni najisi msile nyama yao wala msiguse mizoga yao.
Wasabato bana πππWalawi 11:6-8
Sungura msimle; yeye hucheua lakini kwato zake hazikugawanyika; kwenu huyo ni najisi. 7Nguruwe msimle; ana kwato zilizogawanyika lakini hacheui; kwenu huyo ni najisi. 8Kwa sababu wanyama hao ni najisi msile nyama yao wala msiguse mizoga yao.