ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Kwanini tena😄Ningelia sana kama ungesema hutumiii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini tena😄Ningelia sana kama ungesema hutumiii
Ushawahi kunywa supu ya kwato/kongoro za mdudu?Aiseee bora nikose vyote ila sio huyo mdudu
Japo sija soma comment yako, ila Nime Lia Sana, wewe sio wa 🤣😂😄Em ngoja ifike Ijumaa nikitoka msikitini nitembelee maeneo hayo
Hiyo sijajaribu, ila ni mtumiaji mzur wa makongoroUshawahi kunywa supu ya kwato/kongoro za mdudu?
Ungekua unakosa mengiKwanini tena😄
Asante Kaka, yaani watu hatu wajui, halafu una letewa sheria zisizo kuhusu😂Walawi nasisi Wangoni wapi na wapi
Jaribu hiyo ni tamu hadi kisogoniii...Hiyo sijajaribu, ila ni mtumiaji mzur wa makongoro
Duh hv hawatanicheka kwel nikiulizia makongoro ya mdudu😄Jaribu hiyo ni tamu hadi kisogoniii...
Kipande kimoja cha kongoro kina nyama kama kilo😂
Kuyapata ni mtihani lakini jaribu kuuliziaDuh hv hawatanicheka kwel nikiulizia makongoro ya mdudu😄
Si ndiooooo 😂Japo sija soma comment yako, ila Nime Lia Sana, wewe sio wa 🤣😂😄
Ntajaribu...Kuyapata ni mtihani lakini jaribu kuulizia
Ko ni kweli wame 🤣😂Si ndiooooo 😂
Imeisha hiyoooo 😂Ko ni kweli wame 🤣😂
Wahuni sio watu 🤒🤣Imeisha hiyoooo 😂
Sidhani kama unaeleweka.Labda wakianza kubeua mlo safi wa kitimoto ndiyo wataomba urudie ombi lako.Walawi 11:6-8
Sungura msimle; yeye hucheua lakini kwato zake hazikugawanyika; kwenu huyo ni najisi. 7Nguruwe msimle; ana kwato zilizogawanyika lakini hacheui; kwenu huyo ni najisi. 8Kwa sababu wanyama hao ni najisi msile nyama yao wala msiguse mizoga yao.
Uje kwa upole.Siyo ufike halafu uanze kutuambia Walawi walivyokuwa wanaambiwa enzi hizo.Unabugia vipande vyako,unashushia kinywaji na kupongeza mpishi.Em ngoja ifike Ijumaa nikitoka msikitini nitembelee maeneo hayo
Mm Nimefunga ila kitimoto nakula kama kawaida tena nahakikisha iwe kilo mbili tena rost na ndiziUje kwa upole.Siyo ufike halafu uanze kutuambia Walawi walivyokuwa wanaambiwa enzi hizo.Unabugia vipande vyako,unashushia kinywaji na kupongeza mpishi.