Walawi nasisi Wangoni wapi na wapiWalawi 11:6-8
Sungura msimle; yeye hucheua lakini kwato zake hazikugawanyika; kwenu huyo ni najisi. 7Nguruwe msimle; ana kwato zilizogawanyika lakini hacheui; kwenu huyo ni najisi. 8Kwa sababu wanyama hao ni najisi msile nyama yao wala msiguse mizoga yao.
basi sawaWalawi nasisi Wangoni wapi na wapi
Wewe badala ya kuijoy rost eti unaleta agano la kale hapa. Kwani Agano jipya hujasoma Mungu kasemaje?Walawi 11:6-8
Sungura msimle; yeye hucheua lakini kwato zake hazikugawanyika; kwenu huyo ni najisi. 7Nguruwe msimle; ana kwato zilizogawanyika lakini hacheui; kwenu huyo ni najisi. 8Kwa sababu wanyama hao ni najisi msile nyama yao wala msiguse mizoga yao.
Hiki kisa kimeanzia matendo 10. Kumbuka hili ni maono, na Petro alijiuiliza ni nini maana ya hayo maono. HONGERA kwa kuwa unajifunza maandiko. ila soma sura nzima kwa kuwa inajitafsiri yenyewe . hapo chini nimekuwekea tafsiriWasabato bana 😁😁😁
Kwa nini huwa mnachukua viamri vichache vya agano la kale na kuacha zingine? Ni Ellen G. White ndiye aliwachagulia amri hizi chache za kufuata au ni nani? Mtu kweli atashindwa kwenda mbinguni kisa alikula mnyama asiyecheua, asiye na kwato zilizogawanyika au samaki asiye na magamba?
Matendo 11
View attachment 2933605
tukiweka reference maneno ya agano la kale mnagoma kwamba ni la kale limepitwa na wakatiWasabato bana 😁😁😁
Kwa nini huwa mnachukua viamri vichache vya agano la kale na kuacha zingine? Ni Ellen G. White ndiye aliwachagulia amri hizi chache za kufuata au ni nani? Mtu kweli atashindwa kwenda mbinguni kisa alikula mnyama asiyecheua, asiye na kwato zilizogawanyika au samaki asiye na magamba?
Matendo 11
View attachment 2933605
Jibu na yale maswali mengine sasa. Mtu atakwenda motoni kisa alikula samaki asiye na magamba?Hiki kisa kimeanzia matendo 10. Kumbuka hili ni maono, na Petro alijiuiliza ni nini maana ya hayo maono. HONGERA kwa kuwa unajifunza maandiko. ila soma sura nzima kwa kuwa inajitafsiri yenyewe . hapo chini nimekuwekea tafsiri
mATENDO 10:27Petro alipokuwa akizungumza naye akaingia ndani na kukuta watu wengi wamekusanyika. 2810:28 Yn 4:9; 18:28; Mdo 15:8-9Akawaambia, “Mnajua kabisa kwamba ni kinyume cha sheria yetu Myahudi kuchangamana na mtu wa Mataifa au kumtembelea. Lakini Mungu amenionyesha kwamba nisimwite mtu yeyote kuwa najisi au asiye safi. 29Ndiyo sababu ulipotuma niitwe nilikuja bila kupinga lolote. Basi sasa naomba unieleze kwa nini umeniita?”
kwani tumeagizwa sisi tu kufuata, wewe vipi. ni zipi tumeacha mkuuJibu na yale maswali mengine sasa. Mtu atakwenda motoni kisa alikula samaki asiye na magamba?
Kwa nini mnachukua sheria chache za agano la kale na kuacha maelfu na maelfu mengine?
Atuache tufunge kwa amaniSubiri kwanza tupo kwenye mfungo
Tabata kinapatikana Mikasa Bar and Night Club iliyopo Tabata Magengeni.Wadau hamjamboni nyote
Nawaletea maeneo yenye kitimoto nzuri sana maeneo ya Tegeta/ MbeziBeach/ Kunduchi
1. Family bar Tegeta mbele ya Azania bank
2. Skanska njia ya kwenda IPTL
3. Bushman pub salasala
4. Kwa malanja Kunduchi Mtongani
5. Poripoa Bar Salasala mbele ya big brother bar
6. Tin vibe salasala
7. King-size bar salasala opposite na China bar
8. Juliana Bar Mbezi Africana njia ya kwenda White Sands Hotel
Bei ya wastani kwa kilo moja ni kati ya shs 15,000 - 25,000
Basi hakuna hata tunachojadili. Kila la heri mkuu 🙏🏿...ila mbinguni tunaenda kwa neema siyo kwa matendo ya sheria
KabisaAtuache tufunge kwa amani
Aisee! Mate yamejaa mdomoni.
Wewe badala ya kuijoy rost eti unaleta agano la kale hapa. Kwani Agano jipya hujasoma Mungu kasemaje?
Matendo ya Mitume 10: 14-15 "Lakini Petro akasema, Hasha, Bwana, kwa maana sijakula kamwe kitu kilicho kichafu au najisi.
Sauti ikamjia mara ya pili, ikimwambia, Vilivyotakaswa na Mungu, usiviite wewe najisi."
Ningelia sana kama ungesema hutumiiiAisee! Mate yamejaa mdomoni.