mwanateknolojia
JF-Expert Member
- Nov 17, 2014
- 1,026
- 1,749
Mkuu usimkataishe tamaa ukaacha aendelee kuipunguza pesa, Zipo biashara hiyo milioni 4 anafika bei, sema tu ni uchaguzi wa biashara gani anataka kuifanya! Mfano hiyo milion 4, unaweza kuwa unanunua vifaranga vya siku moja kwa makampuni ya utotoleshaji, kisha unavilea vikifikisha wiki 5 au 6 unavitoa!milioni 4 haitoshi.
Ungekuwa na angalau milioni 8 ningekushauri ufungue bakery maeneo ya madale au goba hii ni fursa.