Kasome rules za jf huenda kuna kitu hutimizi kutofautisha na thread kuuhuyu jamaa hata akianzisha vithread vinavyofanana ishirini kama hivi bado mods wataendelea kumwangalia tu..(sashv haka kathread ka tano)...... lkn wengine wakitumbukiza uzi wa maana kuliko huu utaukuta kule kwenye matukio special yanayojili vita vya Ukraine...