Maeneo ya kishua Dar? Taja eneo lako kama sijataja

Masaki na Mikocheni ni Majina ya Kizaramo na Kiswahili.

Masaki original ipo mkoa wa Pwani wilaya ya Kisarawe by the way.

Mikoche ni miti. Mikocheni ni sehemu yenye miti ya mikoche.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Masaki na Mikocheni ni Majina ya Kizaramo na Kiswahili.

Masaki original ipo mkoa wa Pwani wilaya ya Kisarawe by the way.

Mikoche ni miti. Mikocheni ni sehemu yenye miti ya mikoche.

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah....masaki imetokana na neno massacre lilipatikana baada ya WWI sehemu ambayo wahindi wengi kutoka Burma waliuawa....Mikocheni Ni Michael Chang mchina...[emoji2960]

Sent using Beretta ARX 160
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…