Maeneo ya Mikocheni yamejaa wakongwe wanaong'ang'ania ujana

Kuna hawq vibibi vibinti unamsalimia anakula mikausho halafu anakwambia mambo, mm huwa siwalaziagi damu kabisa, napunguza mwendo halafu nawa set kwenye rader halafu naenda kuwa funza adabu....
 
Kuna hawq vibibi vibinti unamsalimia anakula mikausho halafu anakwambia mambo, mm huwa siwalaziagi damu kabisa, napunguza mwendo halafu nawa set kwenye rader halafu naenda kuwa funza adabu....
Mkuu huogopi laana?

Sent from my SM-J500F using JamiiForums mobile app
 
Age is just ones attitude toward life.... Kuna watoto wadogo ila washazeeka kiakili..and toka ukonga hadi mikocheni we mwanachuo ushapata sponsor nn ulikipeleka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna umri ukifika inakupasa umrudie Muumba wako kwa nguvu zote, Kwenye ujana watu tunafanya mambo ya kutisha kwakwel. Pole yao
 
mbna ata we mwnyw mzee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…