Maeneo ya Mikocheni yamejaa wakongwe wanaong'ang'ania ujana

Aisee tusichukuliane poa,unijui sikujui, usipende kuhukumu watu kupitia maandiko unayaona humu ndani..we unazijua tabia za kwetu ni zipi? heshima kitu cha bure! usitake nikaongea sana.[/QUOTE]
Aisee charty haiwezi kua kipindi cha ankali magu utakua jah Kaya tu...AF hata ungempa ungetuambia mama maana asilimia 90 ya masister Du mjini ndo wanaowasponsor hao wazee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee tusichukuliane poa,unijui sikujui, usipende kuhukumu watu kupitia maandiko unayaona humu ndani..we unazijua tabia za kwetu ni zipi? heshima kitu cha bure! usitake nikaongea sana.[/QUOTE]
Aisee charty haiwezi kua kipindi cha ankali magu utakua jah Kaya tu...AF hata ungempa ungetuambia mama maana asilimia 90 ya masister Du mjini ndo wanaowasponsor hao wazee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee tusichukuliane poa,unijui sikujui, usipende kuhukumu watu kupitia maandiko unayaona humu ndani..we unazijua tabia za kwetu ni zipi? heshima kitu cha bure! usitake nikaongea sana.
Aisee charty haiwezi kua kipindi cha ankali magu utakua jah Kaya tu...AF hata ungempa ungetuambia mama maana asilimia 90 ya masister Du mjini ndo wanaowasponsor hao wazee

Sent using Jamii Forums mobile app[/QUOTE]
ha ha ha ha ilikua ni kipindi cha Jay k mwishoni hivi nikikwambia huyo mtu hutoamini...alivyoje mtu mkubwa niliokota dodo kwenye mbuyu siko hiyo!Alafu alinitunukuu tu bila kuomba nanihii si ningekwambia kama nilitoa lakini hahahah
 
Hiyo namba moja ni kama Le fulaniz...teh
 
Hii story lazima ina mwendelezo wa siri
 
Wazee huwa hawaachi kuchukua namba
Sasa unajua mie nilitamani angechukua namba hata haikua hivo..lol akaniaga ghafla nikaona mwenzie anamfuata hao akatokomea!yaani natamani nikutane naye yaani we acha tu na hivi baba jay kabana kila mahali hahahah!Natamani angepita hapa asome jaman ajue binti yake namkumbuka mno hahahah
 
Ni mm yule mzee polee sana ila sorry nimeshadafiri nimejirudia zangu kwa trump.Never mind next time inshaalah.
Pm muhimu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni mm yule mzee polee sana ila sorry nimeshadafiri nimejirudia zangu kwa trump.Never mind next time inshaalah.
Pm muhimu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha ha sio wewe for sure,Yule saivi namuonaga kwenye tv yuko kwenye kitengo nyeti!! hadharani siwezi mtaja hahah nisijemuharibia Babu yangu lol
 
Pambana na Sup zako, usije uka disco.
 
Mie jirani yako nipo Ukonga mazizini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…