Maeneo yenye watu washamba kanda ya ziwa

Kwa kweli ni washamba ....kama mtetezi ndio unakuja na hoja za Msekwa na Mongella ....aseee acheni ushamba mnatudhalilisha Kanda ya ziwa
 
Hakuna kabila lililo bora zaidi ya jingine, kila kabila au ukanda una ushamba wake kiuharisia. Ni sawa na kusema lugha furani ni bora kuliko lugha fulani huo ni ushamba pia.

Wachaga, masai, wasukuma, wahehe, wazaramo, waruguru, wagogo, wanyakyusa nk. Kila mtu anaushamba wake over.
 
Kwa kweli ni washamba ....kama mtetezi ndio unakuja na hoja za Msekwa na Mongella ....aseee acheni ushamba mnatudhalilisha Kanda ya ziwa
Ungeelewa nini thread inamaanisha sizan kama unge comment hiv
Hapo nimezungumzia wilaya ya ukerewe tu sjaizungumzia kanda ya ziwa yote
Hiv ningesema niizungumzie kanda ya ziwa unadhan thread ingekua fupi namna hii
 
Sawa ndugu unataka kunamby butiama wanakaa wachaga na wahehe πŸ€”πŸ€”??
Bitiama ni Zanaki, Musoma ni mchanganyiko, Wakurya wanatoka Tarime.

Mchaga akikwambia kwao ni Same inaleta maswali mengi ingawa Same IPO mkoa wa Kilimanjaro lakini Same na Mwanga ni upareni, Uchagani ni Moshi, Rombo, Hai na Siha. Umeelewa?
 
Ungeelewa nini thread inamaanisha sizan kama unge comment hiv
Hapo nimezungumzia wilaya ya ukerewe tu sjaizungumzia kanda ya ziwa yote
Hiv ningesema niizungumzie kanda ya ziwa unadhan thread ingekua fupi namna hii
Yaani Wewe Unataka Kuwatosa Wenzio Wa Ukerewe Lakini Ukweli Ndio Huo.

Kanda ya Ziwa Yote Ni Washamba
Niseme tu Pamoja na Wewe[emoji23][emoji23][emoji23]

Moja Ya Tabia Kubwa Kabisa ya Ushamba Ni "Kujimwambafai" Ambayo Tayari Umeidhihirisha.

Fikiria Msekwa Na Mongela Kwa Heshima Zao Ndio Iwe Fimbo Ya Kuwaona Kanda Ya Ziwa Yoote Sio Washamba Hapana.

Hapa Kwa Ushamba Wako Unakusudia Tuwaoneni Woote ni Waheshimiwa [emoji23][emoji23][emoji23]

Sasa Huo Ndio Ushamba Yaani Baba Yako Akiwa Meneja Basi Watoto na wajukuu Wote Mameneja.

Dah Kweli Ushamba Mzigo. Usiwatenge Wenzio Wa Ukerewe Bwana Nyinyi Woote Ni Washamba tu.

Tena Hao Wazee Uliowataja Ni Katika Watu Wachache Sana Wa Kanda Ya Ziwa Ambao Hawajadhihirisha Ushamba Wao Na Ndio Maana Umekimbilia Ukerewe.

Tena Nathubutu Kusema Angalau Ukerewe Kuna Washamba Wachache Sana Kuliko Hayo Maeneo Mengine Ya Kanda Ya Ziwa [emoji23][emoji23]

Tena Haimaanishi Kuwa Ushamba Ni Kutosoma Hapana
Au Kutokuwa Na Cheo Hapana
Au Kutokuwa Na Uwezo Au Kipato Hapana Na Ukifikiria Hivyo Unakosea.

Yaani Mshamba Hata Akisoma Na Wote Mnamjua Huyu Kasoma Atataka Akulingishiie Kuwa Kasoma.
Au Akiwa Na Pesa Na Wewe Unajua Kuwa Ana pesa Atataka Ajigambe Kuwa Anazo Pesa.
Au Awe na Cheo Nawe Unajua Anacho Lakini Atataka Kila Mtu Ajue Yeye Ndio Mtawala Wenu. Nk

Yaani Huo Ndio Ushamba

Kwa Bahati Mbaya Huku Kutaka Sifa Sana Ndio Wakikutana Na Wajanja Wanawasifia Huku Wanawaibia Na Wao Ndio Wanakuwa Mabingwa Wa Kupika Takwimu Yaani Kutengeneza Ushahidi Ili Wasishitukiwe Kuwa Wanaiba.

Mwisho Wa Siku Unakujagundua Nimepigwa Umeshachelewa
Jamani eee Ni Kweli Watani Ni Ndugu Lakini Nyie Washamba Kweli [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
kanda ya ziwa inawashamba na malimbukeni !.
ninaishi nao kanda ya ziwa .mtu hakipata pesa kidogo kijitutumia kujiona wengine wamefili maisha na yeye ndio ana akili kuliko wote.

nazani yale ya mwendazake ilikuwa mfano tosha
Usiwasingizie wasukuma hapa sifa hii wanayo wajita kule anakotoka yule Komandoo waziri wa mambo ya ndani na yule mwanaharakati hawa watu ka kabila kadogoo lakini kila kitu wanajua wabishiiiii kujimwambafai hata mtu akijenga choo akaezeka ni shida mtaani
 
mi nashindwa kuelewa MSHAMBA ni yupi hasa!!!??!!, maana kwangu mimi hata mtu awe msomi sana, awe maarufu sana, awe na madaraka makubwa popote, awe na mapesa mengi mno, isuue ya USHAMBA inaweza kumwangukia tu, hakuna cha mkerewe, mkwere, msukuma, mzaramo, mchaga, unaweza kuwa MSHAMBA tu, kwa sababu ushamba unagusa vionjo vingi sana, kutokana na utaratibu fulani katika sehemu/jamii fulani, kwa wakati huo
 
Mshamba mu1 hiv ety watu muhim kuna mtu ambaye siye muhimu kiazi mbatata weπŸ˜‡πŸ€£πŸ˜…
 
Ushamba ni ushamba tu hata ungekuwa na degree nane still you are a layman
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…